LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hicho kisingizio hakitawasaidia baada ya vita, uchunguzi wa mauaji unaendelea.



 
Ukiendelea kushabikia vita kwa kuisifia Ukraine, kuipa silaha, fahamu Ukraine inazidi bomolewa na watu kukimbia makazi na vifo, juwa Russia wanatumia nguvu kiasi na kuepusha vifo vya raia, hii inapelekea kupata hasara kubwa na kuuwa na kutekwa wanajeshi wake, Ukraine ikizidisha nguvu pia Russia wakizidisha hali haita kuwa nzuri, tuwaombee wasimamishe mapigano wazungumze, lazima wazungumze juu ya kujitanua NATO na usalama wake, lazima wazungumze juu ya majimbo mawili ya d/sky na l/ky.
 
Hauko sawa,wanafanya jitihada za kuhakikisha mapigano yanakoma lakini lqzima wawasaidie washirika wao wajihami,huko sio kuchochea.
 
Sasa hiki ndio kiini hasa cha hiyo Vita.
 
Habari hapa si Russia kuishinda Ukraine ambayo ni underdog,hapa habari ni vile Ukraine ametoa upinzani kwa Russia.Pambano la boxing kati ya Tyson na Rashid Matumla ni wazi mshindi anajulikana atakuwa nani hata kabla ya pambano,lakni Matumla akifika mpaka round ya nane bado yuko ulingoni anamsumbusa Tyson,sisi tutampongeza Matumla ambaye ni undedog.
 
Kwa mtazamo wangu Ukrine haikuwa nchi sahihi kwenda kusoma, baada ya mgogoro huu ndio nimebaini kuwa Ukrine haikuwa nchi sahihi kabisa kwa watanzania kujazana huko kwa lengo la kusoma, labda kama walikuwa wanafanya biashara.
 
nashangaa sana watanzania kujazana Ukrine!! kwenda kusoma!! hivi hata Ukrine kuna elimu bora? au kuna faida gani?! si bora wangeenda Urusi Taifa kubwa.
Yaani Ukitaja Mataifa ya Ulaya yenye Elimu Bora huwezi acha Ukraine na Uingereza...

Asilimia zaidi ya 20 Hadi 40 ya wataalaam wa IT wanatoka Ukraine
 
ukitaka kuaminika lete facts sio porojo kutokua Muislamu kusikufanye ukachukia Waislamu huenda icho.unachokichukia ni bora kwako lkn hujui
Nyie endeleeni kushabikia tu Ila mjue hicho mnachofanya ni upumbavu, Israel kuua wapelestina ni kosa, Us kuua Wa Syria Ni kosa, Urusi kuua wa Ukraine ni makosa pia Hao wote wanakufa Ni binadamu kama nyiny Imani yenu isiwatoe ufahamu kiasi hicho.
 
Unampongeza mtu ambaye nchi yake inaharibiwa Kwa Ujinga wake mwenyewe!
Waliomuingiza mkenge wamekaa kando wanaangalia tu!
Kama huyo Comedian angeyajua haya basi asingeingia mkenge wa US na washirika wake!
 
Yaani Ukitaja Mataifa ya Ulaya yenye Elimu Bora huwezi acha Ukraine na Uingereza...

Asilimia zaidi ya 20 Hadi 40 ya wataalaam wa IT wanatoka Ukraine
binafsi nisinge mshauri rafiki au ndugu yangu akasome Ukrine.
nadhani watanzania wengi walijazana huko kwa kutokana na unafuu wa ada na maisha....maana watanznia tunapenda urahisi sana huwa hatujali ubora.
 
Hii taarifa sidhani kama ina ukweli wowote.Mleta mada tumemwomba mara kadhaa source lakini wapi.
 
binafsi nisinge mshauri rafiki au ndugu yangu akasome Ukrine.
nadhani watanzania wengi walijazana huko kwa kutokana na unafuu wa ada na maisha....maana watanznia tunapenda urahisi sana huwa hatujali ubora.
The fact that you man not know about.

Asilimia 99% program zote za Android zimewezekana kwa sababu ya Ukraine.
 
Zelensky inabidi auawe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…