Vita ya Europe sio Dunia. Acha kuwasifia kiboya boyaUkraine haiko nato kwahiyo nayo Hawawezi kuingia moja kwa moja. Hiyo italeta vita ya tatu ya dunia
Anaweza sana tu.putin hawez kuvamia nchi za NATO,
Kwa sasa na mgogoro huu sio rahizi kutumia hayo madudu ya maangamizi.Naomba kuuliza swali:- kwa mfano jeshi la NATO likaingia ukraine kuwasaidia kupambana na Urusi, Je urusi anaweza akatumia nuclear bombs?
Ni wakati gani nuclear weapon inatumika?
Hata Ukraine mlisema hivyo hivyo.putin hawez kuvamia nchi za NATO,
Hii comment inatosha kufunga uziKwani OMAN anataka nini ZANZIBAR?
Wamarekani wenzangu wa kimbiji eyo wasup man. Hahahaaa.
Nimetania kidogo hapo lakini kwakweli babu Biden na serikaliyake hawalali usingizi kwa aibu wanayo ipata huko ulaya, yani nikama Putin anawapiga wao.
Kwamtazamo wangu.
ukiangalia kimkakati Putin akimalizana na Kiev hataishia pale.
Kama kweli kilicho mfanya kuvamia Ukraine ni security issues,then anahitaji kuwafurusha wanajeshi wa US Poland na Romania.
Sababu nyingine nikwamba tayari Putin na washirika wake wameona US ni debe tupu kwahiyo watataka kumjaribu Poland waone atafanyanini.
Bilashaka Putin anaamini US akibaki Poland atakuwa haja maliza kazi sababu US watatumia ukaribu huo wa Poland ama Romania kuleta usumbufu Ukraine ambayo itakuwa tayari chini ya Russia.
Wamesha mjaribu Syria, na Venezuela wakaonakumbe hanauwezo mkubwa kiasi hicho.
Vi nchi vingine kama Latvia na Lithunia havina sumu Putin akivitaka anaweza kutuma migambo tu.
Ngoja tusubiri muda simrefu moto utawakatu.
Zanzibar pia kuna mashambulizi ya kivita??Kwani OMAN anataka nini ZANZIBAR?
sawa..asante kwa taarifaHii comment inatosha kufunga uzi
[emoji23]Dah aiseeh sikujua Kama humu bongo tuna warusi weusi na wamarekani wengi namna hii
Lengo lake ni nini hasa ni hiyo miji??Puttin kaishachukua mji mkuu wa Ukrain.
Wamarekani wenzangu wa kimbiji eyo wasup man. Hahahaaa.
Nimetania kidogo hapo lakini kwakweli babu Biden na serikaliyake hawalali usingizi kwa aibu wanayo ipata huko ulaya, yani nikama Putin anawapiga wao.
putin hawez kuvamia nchi za NATO,
Mwamba Putin ameshasema atakaeshoboka atamuoa bila mahari😂Kidume siku ya leo kaishachukua kyiev, mji mkuu wa Ukraine.
● Marekani yuko wapi???
● Umoja wa mataifa uko wapi???
● Umoja wa ulaya uko wapi???
● Umoja wa africa uko wapi???
Wamekalia porojo tu kenge hao.
Hakuna yeyote aliyekuwa na obligation ya kuilinda ukraine, hio ndio tofautiHata Ukraine mlisema hivyo hivyo.
Watu wanakurupuka tu na kuchongoa midomo yao, hawajui chanzo cha haya yote. Russia sio mwenye tatizo katika hii vita.Lengo lake ni nini hasa ni hiyo miji??
Kwani wanaoenda mlengo wa marekani au EU huwa wanafuata nn? maana ht serbia ally mkubwa wa urusi anafight kujiunga na EUMarekani ameprove Hana lolote. Hii itasaidia nchi kuingia kwenye mrengo wa Russia. Maana naye Ni mbabe haingiliwi.
Anazungumza Raisi wa Ukraine, Zelensky.Mwamba Putin ameshasema atakaeshoboka atamuoa bila mahari[emoji23]