MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Kwani Bush alifanywa nini baada ya kutumia uongo na kuua mamia kwa mamia roho zisizona hatia huko Iraq.Hicho kisingizio hakitawasaidia baada ya vita, uchunguzi wa mauaji unaendelea.
View attachment 2145266
View attachment 2145267
Baada ya mwezi itakuwa mara mbili ya hapa.The dollar at the opening of trading on the Moscow Exchange updated its historical maximum, jumping to 120.9 rubles.
View attachment 2145412
Warusi humu hawataki Ukraine apewe sifa.Habari hapa si Russia kuishinda Ukraine ambayo ni underdog,hapa habari ni vile Ukraine ametoa upinzani kwa Russia.Pambano la boxing kati ya Tyson na Rashid Matumla ni wazi mshindi anajulikana atakuwa nani hata kabla ya pambano,lakni Matumla akifika mpaka round ya nane bado yuko ulingoni anamsumbusa Tyson,sisi tutampongeza Matumla ambaye ni undedog.
Dadeki kutoka Ruble 60+ mpk 120.The dollar at the opening of trading on the Moscow Exchange updated its historical maximum, jumping to 120.9 rubles.
View attachment 2145412
Absolutely nakubaliana na hiliThe policy of sanctions pressure will not help resolve the Ukrainian crisis, the Chinese Foreign Ministry said.
View attachment 2145413
Unapocomment huna haja ya kuanza na blah blah za "sina upande" wakati kati kati ya comment unakuwa umeegemea upande.Wasiokuwa na upande humu comment zao zinaeleweka na wala hawatumii maelezo mengi kujieleza kwanza kuwa hawana upande kama ulivyoanza wewe.Hicho ndicho tunachokukatalia na tunakuambia ukweli wako.Haya endelea sasa na comment zako za kutokuwa na upande 🙂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] apo ndo huwa mnanifurahisha nyie viumbe. Kwa hiyo kuzungumza mpaka uchague team.
Kish team utakayokuwa uanze kuponda upande mwingine sio? Uo ni utoto na ushabiki wa kipuuuzi.
Kama ni kujadiliana kwa ushabiki apa ni kupoteza mda ila kama ni kujadiliana kujua kiini au kipi sahihi huezi zungumza kindezi ka hivo unavofanya.
Hakim umeletewa mashitaka ukiegemea upande wa mshitakiwa bila kumskiliza upande wa mshitakiwa utafanya maamuzi kwenye kesi?
Any way vyovyote utakavonchukulia iwe Pro Russsia au Pro Nato... Me bado ni Mswahili tu na nitaendelea kua hivo...
Ila atleast ain't like you anayebeba taarifa zinazomfrahisha na kuzipuuza zisizomfrahisha. Sishiki ushabiki kufinyya tafakuri ya kipi sahihi na kipi si sahihi ka wewe.
haaahaaa.The fact that you man not know about.
Asilimia 99% program zote za Android zimewezekana kwa sababu ya Ukraine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maswali kaa haya ndo hua nayapenda... "curiosity"...Unawezaje kusafiri na Silaha?? Viwanja vya ndege na kadhalika kuna ulinzi mkali. FIX
Nakumbusha tu.Habari hapa si Russia kuishinda Ukraine ambayo ni underdog,hapa habari ni vile Ukraine ametoa upinzani kwa Russia.Pambano la boxing kati ya Tyson na Rashid Matumla ni wazi mshindi anajulikana atakuwa nani hata kabla ya pambano,lakni Matumla akifika mpaka round ya nane bado yuko ulingoni anamsumbusa Tyson,sisi tutampongeza Matumla ambaye ni undedog.
Cry moreRussian military experts have received documents confirming the transfer of human biomaterials taken in Ukraine from the United States abroad, the Russian Defense Ministry said.View attachment 2145422
Huyu Sasa Mrusi au mkerene?lugha gonganamasikini dah! halafu mjinga mmoja yuko kwenye bunker kremlini kajilewea zake vodka anamwaga pumba hadharan
haya sasa mtoto mdogo huyu kadakwa
Hapo nimekupataAccording to Financial time
Bushi hakufanywa kitu kwa sababu Iraq na Afghanistan walikuwa wanatunza na kufadhili magaidi.Kwani Bush alifanywa nini baada ya kutumia uongo na kuua mamia kwa mamia roho zisizona hatia huko Iraq.
Na mbona uchunguzi ukifanywa na hao hao ICJ
Day 8; Kwanza Russia hatumii silaha zake za kisasa katika hii VitaDay 1:Ndani ya siku tatu Ukraine itakuwa chini ya urusi hii ni operation tu sio vita.
Day 3: Warusi wamesitisha vita kupisha mazungumzo.
Day 5: Mazungumzo yameshindikana sasa ndani ya saa 24 Ukraine itakuwa majivu.
Day 7: ukraine wanatumia raia wake kama ngao, wanatakiwa watoke kwanza.
⁸View attachment 2145459View attachment 2145460
Hawa ndio waliounda Android operating systemThe fact that you man not know about.
Asilimia 99% program zote za Android zimewezekana kwa sababu ya Ukraine.
Day 8; Kwanza Russia hatumii silaha zake za kisasa katika hii Vita
Day 9; Russia imegundua kuna mamluki wengi kutoka NATO wanaisaidia Ukraine
Day 10; To be continued.........................