MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Kwani Bush alifanywa nini baada ya kutumia uongo na kuua mamia kwa mamia roho zisizona hatia huko Iraq.Hicho kisingizio hakitawasaidia baada ya vita, uchunguzi wa mauaji unaendelea.
View attachment 2145266
View attachment 2145267
Na mbona uchunguzi ukifanywa na hao hao ICJ