LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Tuseme wewe unaijua Kiev vyema kuliko warusi wenyew sio?
 
Ina maana Russia wameshaingia Viunga vya Kiev?
Russia aliingia viunga vya Kieve tokea ile wiki ya kwanza, lakini hakuweza kusogea. Vita imechukua mkondo mpya, maaskari wa Ukraine wamepunguza kutumia vifaru, wanatembea na yale Javelin waliopewa juzi, kazi kubwa ni kulipua vifaru vya Urusi. Hata ile miji Urusi aliyotangaza kuichukua vita vimelipuka upya. Hii ni ile inaitwa piga nikupige.
 

Ila wanateka miji [emoji23][emoji23]
 
Unatumia nguvu nyingi kwa kitu simple,,elewa kwamba wewe kama ni Mtanzania ukaenda kuwekeza Kenya,wanaofaidia kwa sehemu kubwa ni Wakenya na wewe binafsi,Nchi kunufaika itategemea ukipata faida unatunza kwenye subsidiaries za host country au laa.

Ndio maana Russia analia Lia kwa sababu anaona moto wa vikwazo.
 
Putin congratulated Lukashenka on the successful holding of a referendum on changing the Constitution in BelarusView attachment 2146763
kwa tafsiri ya kiswahili .
"Putin amempongeza Lukashenka kwa kuendesha vyema mchakato wa mabadiliko ya katiba "
Pale wanywa damu wanapokutana kupongezana kwa kunywa mapipa ya damu za watu.
 
Leo warusi wameingia 40 km mashariki ya kyv.
 
Zelesky ameruhusu nchi yake kuwa uwanja wa mapambano kati ya USA/NATO na URUSI.
Nililisema mapema kwenye thread hii ya kuwa


Majadiliano yanampa mwany a Ukraine kuingiza mamluki na silaha kutoka NATO USA. Putin ndo analiona leo.
Hii vita ina manufaa makubwa kwa wamagharibi na hasara kubwa kwa Urusi.

Haikwepeki Urusi atashinda uwanjani ila gharama itakuwa kubwa.


Karibuni mamluki mmsaidie comred Putin mlinzi wa amani ya dunia.

Bila wewe Putin mashoga watatuoa.

Mungu akupe heri na baraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…