LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
hata mim nazielewa naruka nikiona ya jamaa nasoma.naingia youtub RT naechek headlines na cgtn narud huku siwez kuangalia bbc wala sky mana najua kule brainwash nyi g
Kama hii ya hao wajeda 16000... Ukiisoma kutoka source tfauti tfauti unakutana na haya maneno "Agree" mwingine unasema "Plan" af haya fanani kabisa...

Kukubali maana ake ni kuletewa taarifa kisha ukakubaliana nayo...

Plan maan ake ni kupanga kitu kuanzia mwanzo mpaka utekelezaji...

Sasa heading ya upande inasema Putin Plan to Send....

Heading ya upande mwingine inasemma Putin agrees to....

Ukiichukua taarifa kutoka source ya kwanza unaona kama Jamaa ndo kapanga kufanya hivo...

Ukiichuku taarifa kutokka upande wa pili unaona kama Putin karidhia ila kwenye kitu ambacho hakukipanga....

Sasa swali linabaki ipi taarifa sahihi japo zinafanana kwa asilimia kidogo...?
Taarifa sahih mpaka uyafate maongezi husika rasmi yalipo...

Ukiyapata unakutana na kukubaliana na huyo wa pili kwamba kakubali wale walotaka kujitolea...

Sasa unageuka tena kujiuliza huyo aliesema kwamba anapanga hivi na vile lengo haswa lilikuwa nini kuupindisha uhalisia wa habari husika.
 
The WhatsApp messenger will not be affected by the measures that may be introduced in Russia against Meta, as it is a means of communication, a law enforcement source told RIA Novosti.View attachment 2146985
Ila kwa mtzamo wangu bora Meta Platforms Inc. wasingejihusisha na hizi siasa... Mwezi ulopita walireport kwa mara ya kwanza kupungua kwa Active users kwe platform y FB tangu ianzishwe...

Ikapelekea kushuka kwa speed thaman ya kipande cha hisa cha kampuni hiyo ka unakumbuka si geni kwako hili. Kiasi kilichopelelea Zuckerberg kutoka kwe list ya mabilionea kumi duniani.

Sasa ikifungiwa tena kwa sabab ya kijinga ka hyo si ndo itazidi kupoteza watumiaji?

Siasa na biashara wapi na wapi ndo maana Elon Musk huwa anaizodoa sana FB.
 
Hizo ni gold na foreign exchange reserves, Huo ni wizi tu, mna transfer hela ya Nchi bila wao ku confirm. Kuna kitu wanakitafuta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Af unafatwa nyumbani kwako na mama neema anakwambia sema humpendi mama kabula kisa tu wamechambana uko walikokutana wakati wanasuka....

Then kichwa kichwa tu unaanza Mama Kabula popote ulipo Taaaahira wewe nakuchukia kwanza hujui ata kuoga huna akili.... Bas Mama Neema anafrah anaondoka zake.

Ndo sie sasa wabongo waswahili wa Nato na watemi wa kirusi.... Tunashoboka sana na kuhukum kimahaba. Ilhali nyuma ya pazia wahusika wanajua wametifuana wapi.
 
The European Union will adopt the 4th package of sanctions against Russia, aimed at isolating it, said the head of the EC von der Leyen.
 
Josep Borrell, the European Union’s high representative for foreign affairs and security policy, has conceded that the West has made errors in its relations with Russia.

Speaking to France’s TF1 channel on Thursday, Borrell said he was “ready to admit that we made a number of mistakes and missed the chance to get closer with Russia.” The EU’s most senior diplomat went on to acknowledge that there were things “we could have done better,” as well as “things which we offered and then failed to realize, such as … promises that Ukraine and Georgia would become part of NATO.” He said he was of the view that “making promises that you can’t make good on is a mistake.
 
Sahihi social networks zote, zingekuw neutral hasa kwenye swala la siasa katika Dunia, ikishakuwa ya kisiasa tayari imeshachagua upande.

Na kukiwa na upande basi kuna bias, na kukiwa na bias basi kuna kuminywa uhuru na uwazi wa tarifa au habari au maendeleo ya mahali flani.

Effect yake tutashindwa kuona hata uzuri wa Russia na Ukraine na ubaya wao na chanzo haswa cha mgongano, sababu Asilimia kubwa ya vyombo vya habari Duniani n vimeshikwa na Nchi zenye lengo moja na ukaribu wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…