Duh hizi data sijui umeztolea wapi...
2021 Russia World Rank by GDP ni ya 11....
Sasa hyo 91 umeitolea wapi na ata kama ni GDP per Capita haijafika uko... Nia ya 64 data zingine zinaonesha 57... Ila cha kunote ni kua GDP per Capita huathiriwa na Idadi ya watu...
Mfano USA ndo anaongoza kwa GDP Nominal kwa 19.8Trillion Dollar's ila inapokuja kwa GDP per capital kaachwa mbali na mataifa ambayo kwe sura ya Dunia kwa walio wengi yanachukuliwa poa...
Mfano anayeongoza list ya GDP per capita ni Singapore, kuna Luxembourg, kuna Qatar kuna Macao... Je hao Uchumi wao wanamzidi Mmarekan?
So per Capita n wastan wa kichwa kimoja kimoja sio wastan wa Nchi husika.
Pitia link hyo ukaongezee
GDP by Country - Worldometer