LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Nipo pamoja na wewe, hakuna mwanajeshi wa Ukraine amekufa. Russia wana hali mbaya sana.
 
Mwamba inaonekana walikushilikisha kwenye plans zao[emoji16]
 
Asante, kuhusu GDP pekee unasema kweli, hapa Urusi ni nafasi ya 11 duniani (kwa sasa, tuone mwaka ujao baada ya vikwazo walivyojipatia). Ila hii ni pamoja na biashara ya gesi na mafuta, inayoweza kucheza sana (nimeona ni asilimia 60% ya GDP).
Upande wa Pato la Taifa GDP kwa kila raia unasema kweli pia, nchi ndogo ziko juu. lakini linganisha chanzo hiki (inaunganisha data za IMF, Benki ya Dunia na UM) utaona Urusi kati ya nafasi 80-85 (nilikosea kuhusu 92, ilikuwa ya zamani), Marekani nafasi ya 6-10, Ufaransa 24-29. Pato kwa raia inasema kidogo kuhusu utajiri halisi ukiangalia ugawaji wa mali ndani ya nchi, ambayo huko Urusi ni kati ya nchi zenye tofauti kubwa sana kati ya matajiri wachache na maskini wengi (ni vibaya kote duniani, lakini hapa vibaya zaidi).
Ukiangalia si mapato bali mali, ninakuta hiyo: Wealth inequality is even more drastic, with the richest 10 percent of Russians owning 87 percent of the country's wealth, making it the most unequal of the world's major economies.
 
Wawachinje hakuna jinsi apo
 
Mzee Russia siyo Zimbabwe.
 
Ukiona generali kauawa basi ujue Askari wengi wa Russia wameuawa sababu generali hulindwa na Askari wengi

Nampongeza aliyeua huyo generali wa Tatu wa urusi
Ukiona ivyo ujue NATO washazama mule. Wakati wanaenda kujitolea wale makomandooo waliostaafuu, watu waliwadhani watalii wale kisa hawajavaaa makombati ya kutisha tisha wananchi. Na wale makomandooo waliostaafuu wameenda kwa ajiri ya kumalizia maisha yao pale. Kwa iyo tutegemeee mengi sana
 

Russia-Ukraine conflict could trigger global food shortage – UN​


Following a dramatic global food shortage due to the Covid pandemic, disruption to agricultural production in Russia and Ukraine due to the ongoing military conflict could seriously exacerbate global food insecurity, said Qu Dongyu, director-general of the United Nations Food and Agriculture Organization (FAO).
 
Hizi habari unapata wapi, generals 9 wameuliwa? General mwenye 4 stars anaenda kufanya nini Ukraine. Hata Lt. General na Major General si rahisi aende
Bora umesema mana nimekaa nikaona kuna watu hata uwaeleweshe propaganda imewaingia sana yani high ranking senior officers hao waende front ? Labda wa Adf Nalu huko
 
Mzee Russia siyo Zimbabwe.
tuko pamoja. Tumeanza kwenye swali ni nani anayepeleka silaha nyingi duniani (na hivyo kuwajibika kwa mauaji duniani, pamoja na kusaidia nchi kujihami). Hapo Urusi ina nafasi ya pili kabla ya Marekani na mbele ya China.
Nimeona kwamba nafasi kubwa ya Urusi ya kusambaza silaha duniani hailingani sana na nguvu yake ya kiuchumi halisi, yaani sekta ya silaha ina nafasi kubwa kwenye uchumi wake.
Ambayo si rahisi kujenga maendeleo thabiti, maana silaha hazizalishi kitu, tofauti na tasnia nyingi nyingine.
 
Inaitwaje niitafute

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…