kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Nipo pamoja na wewe, hakuna mwanajeshi wa Ukraine amekufa. Russia wana hali mbaya sana.Propaganda ni hii ya kwako hapa mkuu, umeandika unavyotaka, report za kwanza zinasema 12,000 lakini nyengine za UN wamekadiria 3000 hadi 6000, kwa ufupi elewa russia wana kibarua kigumu ukrain na wewe changanya na zako, hii hapa chini ni mifano na hali halisi ya hii vita
View attachment 2147794View attachment 2147798
Mwamba inaonekana walikushilikisha kwenye plans zao[emoji16]Hapana mkuu, Russia wanakwenda na plans wana AB na C
Plan A iliishamalizwa na sasa wapo kwenye plan B ambayo ni kuizunguruka kabisa Kyiv yote na asitoke hata panya, na ndo maana raia wote waliambiwa waondoke.
Plan C ni kuhakikisha mji warejea katika hali yake yaani umeme, askari wa Russia mitaani na kutangazwa raisi mpya.
Mzee kwanini usifungue darasa la kiingereza nasi tuje kujielimisha!?Acha ujinga, Kiingereza cha standard 3 kinakushinda afu unakuja kuchambua vita vya Urusi!
Ufutiliaji tu, mkuu.Mwamba inaonekana walikushilikisha kwenye plans zao[emoji16]
Punguza hasira jamaa zako wanachimba mahandaki huko Kyiv.Acha ujinga, Kiingereza cha standard 3 kinakushinda afu unakuja kuchambua vita vya Urusi!
[emoji3][emoji3]Ufutiliaji tu, mkuu.
Tena kasimu kangu haka hapa Kibaigwa kameanza kusumbua na bando.
Kisha wachambua upi mchele na yapi makapi.
🙂
Asante, kuhusu GDP pekee unasema kweli, hapa Urusi ni nafasi ya 11 duniani (kwa sasa, tuone mwaka ujao baada ya vikwazo walivyojipatia). Ila hii ni pamoja na biashara ya gesi na mafuta, inayoweza kucheza sana (nimeona ni asilimia 60% ya GDP).Duh hizi data sijui umeztolea wapi...
2021 Russia World Rank by GDP ni ya 11....
Sasa hyo 91 umeitolea wapi na ata kama ni GDP per Capita haijafika uko... Nia ya 64 data zingine zinaonesha 57... Ila cha kunote ni kua GDP per Capita huathiriwa na Idadi ya watu...
Mfano USA ndo anaongoza kwa GDP Nominal kwa 19.8Trillion Dollar's ila inapokuja kwa GDP per capital kaachwa mbali na mataifa ambayo kwe sura ya Dunia kwa walio wengi yanachukuliwa poa...
Mfano anayeongoza list ya GDP per capita ni Singapore, kuna Luxembourg, kuna Qatar kuna Macao... Je hao Uchumi wao wanamzidi Mmarekan?
So per Capita n wastan wa kichwa kimoja kimoja sio wastan wa Nchi husika.
Pitia link hyo ukaongezee GDP by Country - Worldometer
Wawachinje hakuna jinsi apoSijui ni kwa uzembe au walichukulia Ukraine poa hadi kujiamini kwamba wanaweza kuingia kundi lote ndani ya lifti na kupanda hadi juu ya jengo, lifti ilizimwa umeme na mwenye jengo jamaa wakabaki wamechanganyikiwa humo, hadi pale wanajeshi wa Ukraine walikuja na kuwakamata mateka, hamna kitu kigumu kama kuingia upigane na watu kwwenye nchi yao...
=======================
A team of Russian soldiers wanted to use the elevator to reach the roof of an office building. The Ukrainian administration of the building trapped them inside by cutting off the electricity. The Ukrainians also used an industrial camera to take this commemorative photo.
watu wanaingia kyiev huko wamagaribi propaganda zimewaishaInaonekana leo vita ime simama maana naona vyombo vya habari vimeacha kutuletea kinacho endelea.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Mzee Russia siyo Zimbabwe.Asante, kuhusu GDP pekee unasema kweli, hapa Urusi ni nafasi ya 11 duniani (kwa sasa, tuone mwaka ujao baada ya vikwazo walivyojipatia). Ila hii ni pamoja na biashara ya gesi na mafuta, inayoweza kucheza sana (nimeona ni asilimia 60% ya GDP).
Upande wa Pato la Taifa GDP kwa kila raia unasema kweli pia, nchi ndogo ziko juu. lakini linganisha chanzo hiki (inaunganisha data za IMF, Benki ya Dunia na UM) utaona Urusi kati ya nafasi 80-85 (nilikosea kuhusu 92, ilikuwa ya zamani), Marekani nafasi ya 6-10, Ufaransa 24-29. Pato kwa raia inasema kidogo kuhusu utajiri halisi ukiangalia ugawaji wa mali ndani ya nchi, ambayo huko Urusi ni kati ya nchi zenye tofauti kubwa sana kati ya matajiri wachache na maskini wengi (ni vibaya kote duniani, lakini hapa vibaya zaidi).
Ukiangalia si mapato bali mali, ninakuta hiyo: Wealth inequality is even more drastic, with the richest 10 percent of Russians owning 87 percent of the country's wealth, making it the most unequal of the world's major economies.
Nenda kagugu😂Z ndio nini.. au ni mashindano ya seat ya mbele ??? Aya.. umeshinda 😂😂😂
Ukiona ivyo ujue NATO washazama mule. Wakati wanaenda kujitolea wale makomandooo waliostaafuu, watu waliwadhani watalii wale kisa hawajavaaa makombati ya kutisha tisha wananchi. Na wale makomandooo waliostaafuu wameenda kwa ajiri ya kumalizia maisha yao pale. Kwa iyo tutegemeee mengi sanaUkiona generali kauawa basi ujue Askari wengi wa Russia wameuawa sababu generali hulindwa na Askari wengi
Nampongeza aliyeua huyo generali wa Tatu wa urusi
Unamaanisha Russia katinga mitaa ya ndani Kyiv?watu wanaingia kyiev huko wamagaribi propaganda zimewaisha
Naomba kujuzwa habari ya huto tumabomu tulio gandishwa hapo kwemye mabawa. Kwa umbile yanaonekana madogo kubebwa na dege lote hilo.Bado madude haya hayajaonekana yapo yanasubiri mnoto mmoja ajitokeze
MiG-35
View attachment 2147069
View attachment 2147070
View attachment 2147071
View attachment 2147072
View attachment 2147073
Bora umesema mana nimekaa nikaona kuna watu hata uwaeleweshe propaganda imewaingia sana yani high ranking senior officers hao waende front ? Labda wa Adf Nalu hukoHizi habari unapata wapi, generals 9 wameuliwa? General mwenye 4 stars anaenda kufanya nini Ukraine. Hata Lt. General na Major General si rahisi aende
tuko pamoja. Tumeanza kwenye swali ni nani anayepeleka silaha nyingi duniani (na hivyo kuwajibika kwa mauaji duniani, pamoja na kusaidia nchi kujihami). Hapo Urusi ina nafasi ya pili kabla ya Marekani na mbele ya China.Mzee Russia siyo Zimbabwe.
Inaitwaje niitafuteHii documentary inaelezea kwa kina namna mgogoro wa Ukraine tangu miaka ya nyuma na nani huwa ndio wapo nyuma yake. Humu wamehojiwa Maraisi na Viongozi wa juu ambao wamewahi kuiongoza serikali ya Ukraine na kupinduliwa. Hii video imekuwa-banned kwenye Social Media mbalimbali. Kwenye hii video kunaoneshwa mbinu mbalimbali zinazotumiwa na Westerners(USA) kupindua serikali.