LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Waliomtuma Zelensky (Marekani na NATO) wakata tamaa kuwa Putin haoneshi dalili yoyote ya kuutatua mzozo wake na Ukraine kwa njia za kidiplomasia.

Waambieni si wanadai kibaraka wao Zelensky anashinda vita hii kwa kuua maelfu ya wanajeshi wa Russia, sasa diplomasia ya nini tena? Mwacheni aendelee kushinda mechi hii

 
Tunaendelea kujifunza. Its better to have our own systems here in Tanzania.
Mashule hayana madarasa ya kutosha wala vyoo wanafunzi bado wanajisaidia vichakani na zaidi ya nusu ya wananchi wanaoishi chini ya dola moja kwa siku.

Huoni kwamba bado tuna kazi muhimu ya kufanya kuliko kuwaza vitu tusivyovielewa. Tusiwe kama North Korea.
 
Asante me ni kajinga... We mwerevu endelea kubwabwaja... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usibishane na mie mjinga utakuwa mjinga... Sawa Mr Mwerevu [emoji3577]
Ushamjua akili yake na uwezo wake Kiongozi.
Endelea kumpiga nondo mpaka aanze kujitukana mwenyewe.
Ila anajipa elimu ambazo hana
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mzee unaongelea North Korea!? Wanatuzidi mbaaaaaaaaali mno.
Mzee sisi bado tupo kwenye zama za ujima. North korea anamkoromea USA na anatulia tuliii kama maji kwenye mtungi.

Fanya kama unajikuna tujaribu sisi kukoroma.
 
Nilipoangalia BBC, walileta mawazo kutoka pande zote mbili
Nilipoangalia TASS (Urusi), sijaona neno vita,
Ni vigumu kuangalia channel za Urusi sababu West wamezizuia usizione na Urusi hawana la kufanya kusaidia wapenzi watazamaji wa chaneli zake nje ya Urusi kuzitazama kwa uhuru.
Ugumu gani kaka? Angalia hapa Putin-TV:
https://www.rt.com/shows/news-on-rt-america/551008-george-w-bush-condemns-russian/
 
Ujerumani na Ufaransa bila mashinikizo ya Marekani huenda huu mgogoro usingefika huku...
 
Makombora ya Russia (manane tu) yameshambulia na kuisambaratisha ngome ya jeshi la anga la Ukraine huko Kyiv Oblast (Vasylkiv militaryairbase) . Amesema maya wa mji huo bwana Nataliia Balasynovych.

Mwendo mchakamchaka


 
Rais wa Ukrane imani imekufa kabisa kwa NATO.
 
Hizi taarifa za kusema wanajeshi wa URUSI hawataki hii vita wewe mtu wa GONGO LA MBOTO umeitoa wapi...
 
Tupe chanzo Cha huo utafiti unayosema Warusi wengi hawautaki vita?

Halafu hii sio vita kwa mtazamo wa kirusi.

Walichokifanya Warusi ni reciprocal inayotumika Dunia nzima.
Kumbuka Zelensky alialika wapiganaji Toka Mataifa mbalimbali kwenda kumsaidia hivyo Putin naye kajibu, Na Mataifa hasa Syria yamejibu yapo tayari
 
Ni Nani huyo? Israel au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…