Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Waliomtuma Zelensky (Marekani na NATO) wakata tamaa kuwa Putin haoneshi dalili yoyote ya kuutatua mzozo wake na Ukraine kwa njia za kidiplomasia.
Waambieni si wanadai kibaraka wao Zelensky anashinda vita hii kwa kuua maelfu ya wanajeshi wa Russia, sasa diplomasia ya nini tena? Mwacheni aendelee kushinda mechi hii
Waambieni si wanadai kibaraka wao Zelensky anashinda vita hii kwa kuua maelfu ya wanajeshi wa Russia, sasa diplomasia ya nini tena? Mwacheni aendelee kushinda mechi hii