LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mbona hao wamemkimbia Ukrain mkuu. Raisi wa Ukrain anawapigia sim wanaogopa hata kupokea.
 
Kimsing Ukraine kaingizwa mkenge na NATO. Yeye alidhani atakubaliwa kujiunga NATO, kama ingetokea angekua salama na Urusi isingemgusa ila Putin kahack mchongo. Wote walioahidi kumlinda are nowhere to be seen.

Russia ana kila sababu za kuivamia Ukraine kwa usalama wake. Ukraine ilikuwa inawapa NATO easy access to RU including kukubali NATO waweke majeshi na nyenzo za kivita kwenye ardhi yake. Nchi yeyote inayojielewa haiwezi kukubali hili.

Kumekua na chokochoko za Znz kujiengua JMT ili wasaidiwe na mataifa mengine yenye mrengo tofauti na JMT. Nashauri wachukue notes toka kwa Ukraine ili wasije ingia mkenge kama wao.
 
Tz ina nguvu gani itakayo yafanya hayo mataifa yaliyo kinyume chake wamuogope?
Maana Urusi inaogopwa kwa sababu ya nguvu zake.
je ss tunazo hizo nguvu.
 
Bora angeandika tu #UziTayari akatembea mbele kuliko kuandika pumba na kuzidi kujiaibisha.
Kaka unajua nyuzi ilipotokea au umedakia tu baada kuona mods kuunganisha kwenye hiyi nyuzi mi sikuuongelea uzi huu tunaukoment saiz kuna nyuzi imeungwa humu ambao ndio niliouchangia huku mods wamefanya kutuleta tu
 
Kaka chek pm yako

Sent from my Infinix X609 using JamiiForums mobile app
 
Kivyovyote vile vita ni mbaya sana.

Kuna watu humu hawaipend USA na washirika wake basi wanatumia vita hii kuwadis na kushangilia umwagaji damu unaoendelea Ukrain. Na kuna watu wanaikubali sana Urusi nao hivhivo wanatumia vita hii kuisifia zaid.

Lakini pia kuna wadini nao pia wanajifanya kuiingiza Israel hapa na sababu zao za kidini wakati Israel ikivamia wao huwa upande wa hao wauwaji wa Israel ila tu udini unawasumbua.

Vita ni mbaya jama ni mbaya jama, hao njemba hapo wameacha wajane na yatima huko mtaani, wamewaliza wazazi wao pia.

Ni bora njia za kidiplomasia zikasuluhisha huu mgogoro. Yote mwa yote Marekani ni wa kwanza kuwaingiza mkenge wenzao na wao kukaa pembeni.
 
Hizo zilikuwa nchi moja kwenye muungano wa Kisovieti..
Kuna makubaliano kadhaa ya ki usalama kati ya Urusi na baadhi ya nchi zilizokuwa USSR.
Yaliingiwa lini hayo makubaliano? Mie naona Putin na RUSSIA anaceheza u kaka mkubwa tu
 
Tz ina nguvu gani itakayo yafanya hayo mataifa yaliyo kinyume chake wamuogope?
Maana Urusi inaogopwa kwa sababu ya nguvu zake.
je ss tunazo hizo nguvu.
Urusi haiogopwi ,ndo mana wameamua kumpiga tu kiuchumi , Hana mchongo wwte wa kuwafanya wahuni wapoteze Askari wao,aliyechochora ni Ukraine Kwa kukubali kugeuzwa toilet paper na hao NATO
 
Atachoka sana., Amemwaga mboga.....
Wakati nchi kama China Brazil India zinaendelea kukuza uchumi wao na kuendelea kuwa kwenye top Ten kwa maana ya GDP Russia (ambaye top ten hayupo) anapambana na vikwazo vya kiuchumi kwanza mpaka aje atoke hapo kachoka hatareeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…