LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Unaamini Venezuela italipa madeni ambayo yameshatazamiwa yamekufa? Venezuela imejichimba shimo kiasi, watafurahi kila senti ili warudishe kidogo hali ya kawaida (pamoja na wote wenye mamlaka ambao zamani waliweza kushiba, na sasa baada ya kuharibu nchi wameanza kuona njaa...)
 
Naam na kuna maelezo apo mengine hayapo ambapo alisema angekuwa yeye angemtishia kufungia mazima Oil Imports ya Mrusi....

Na kuna sehem nyingine anajinadi kua wakati wake hakukuwa na vita kwasabab ya "Personality" yake.

Kuna mda anazungumza unamwelewa kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] af kuna mengine anaongezea kiharakati za kikampeni [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
 
Tupo pamoja Mkuu, Kherson imetembea, na aliyesababisha mfanya vurugu kwa raia wake kuwa na kiburi kwa karibu miaka nane analipa gharama bila kupenda.

Hivi kwa kitendo hiki cha US kumpigia magoti Maduro, Guaido rais wa mfukoni wa US anajisikiaje?
 
Afrika jinga sana, badala ya kuhangaika na matatizo yetu,sie tunakaa nyuma ya keyboard Kushabikia ya wenzetu huko.
Mkuu Wewe mwerevu Kuna mtu humu amekuomba bando la kupiga porojo? Kafanye kazi uje utuuzie bidhaa na malighafi sisi wajinga,yanini utupangie kipi Cha kufanya,by the way kila mtu huwa ana interest zake maishani,kwanini wewe wataka kutufanya tuwe na interest moja na tuzifuate za kwako?
 
Nilikuwa sijui kama Urusi inaogopwa kiasi hichi tena Marekani na NATO wamesema hadharani kuwa hawataingilia vita ya Urusi na Ukraine

Poleni sana Ukraine nyinyi sio wa kwanza kufanyiwa hivyo walishafanyiwa Iraq, Afikhanstani, na Libya
Kuna huyu jamaa kaniacha hoi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • 2_5287440779617244582.mp4
    2.5 MB
Nilikuwa sijui kama Urusi inaogopwa kiasi hichi tena Marekani na NATO wamesema hadharani kuwa hawataingilia vita ya Urusi na Ukraine

Poleni sana Ukraine nyinyi sio wa kwanza kufanyiwa hivyo walishafanyiwa Iraq, Afikhanstani, na Libya
Unashangaa?? Kwa nini? kanuni za Nato ni wanajitetea wakati mwanachama anashambuliwa. Ukraine si mwanachama wa NATO.
Ukraine ilitaka kuingia (na miaka 14 iliyopita rais wa Marekani alitaka waingie) lakini NATO waliamua hawawezi kupokelewa ilhali kuna matatizo kuhusu mipaka .

Kama wangepokelewa wakati ule sioni Urusi ingeshambulia sasa.
 
Watu 9 wauawa baada ya majeshi ya Russia kuishambulia ngome kubwa ya kijeshi ya Ukraine ambayo hutumika kufanya mazoezi ya pamoja ya kivita kati ya Ukraine na majeshi ya NATO (Mwezi jana tu wajuba wa NATO walikuwa wakijichua hapo, tazama Picha hapo chini).

Mashambulizi hayo yamejiri siku moja baada ya Putin kuonya kuwa misafara ya misaada ya silaha toka Marekani na NATO kwenda Ukraine itakuwa ni kitoweo chake (ataishambulia)


 
Poland ajiangalie sana naona kama vile bado ajamuelewa vzr Putin anamanisha nini
 

KAMA HIZI ZOTE ZIMETOKA KWENYE SOURCE MOJA YA HABARI, BASI TATIZO SI LAKO NI LA CHANZO CHAKO CHA HABARI.
 
Hizo nimezifuma... Af ukiangalia vizuri ni kama Promo za Trump zinaanzwa kupigwa taratibu...

Ila siasa dah kweli "konyo" nimezinyooshea mikono...



[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2148780

[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]

View attachment 2148782

[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]

View attachment 2148779

[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Wamefikia mpk hatua ya kuprint mashati yao

View attachment 2148781

Af kuna mswahili mmoja waa JF ukimwambia wanaoisoma number ni wao wenyewe achilia mbali Mrusi wanaemsakama... Anakuijia juu na matusi zaidi anakuuliza na miswali ya ki*en*e eti we "ndo unajua kuliko Biden" au?
 
Na apo sasa hawaja-switch Off supply...
 
Nilikuwa sijui kama Urusi inaogopwa kiasi hichi tena Marekani na NATO wamesema hadharani kuwa hawataingilia vita ya Urusi na Ukraine

Poleni sana Ukraine nyinyi sio wa kwanza kufanyiwa hivyo walishafanyiwa Iraq, Afikhanstani, na Libya

Kuna mtu anataka lile tsar bomb litue pale los angeles au Washington? Au litue pale paris au london??[emoji28][emoji28].

Unakumbuka ule mzozo wa kiduku na trump kiduku alisema yeye hana cha kupoteza atatuma kombora mji maarufu pale US uliona raia walivoanza kureact??[emoji28][emoji28]
 
Urusi aache porojo amalize hiyo anayoiita operation isiambukize kwengine maana na sisi itatuathiri kama itasambaa, anatumia muda mrefu sana. Kuna watu wanamtaka sana Mmarekani wanatafuta tu sababu, na akiguswa akareapond tayari ni tatizo hadi huku na biashara zetu wakati ndo tumetoka kurecover from Covid.
 

Biden anajiharibia aseee hajui tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…