GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
matumizi mabovu ya rasilimali watu.huyu mchuchu hapaswi kukamata huo mjegejo
Ni kama bink anBinafsi huwa nasema, Kama Sisi ndio Watu, basi wao sio watu. Na kama wao ndio watu, basi sisi sio watu.
Kiumbe kisicho na AIBU ni kiumbe cha kipuuzi kuliko vyote. Hata mbwa hujishtukia anapfanya kosa, sio wazungu.
Anaweza kumuwinda mtoto wako amuue, akimkosa atakuja kwako kukulalamikia kwamba mwanao amemkimbia alipotaka kumuua, akitarajia umpe ushirikiano.
Ni mafala sana.
BlinisInauma!!,πππππ₯
Hawanaga aibu hata ukisikia eti mambo ya human raiti ni kwa baadhi ya watu tu kama Iran China na Russia ila kwao utasikia kielele hatakama wameua mchan kweupeHawa watu sijui wana nini, wao wameanza kwa kutaifisha mali za URUSI, sasa imefika zami yao wanapiga kelele
View: https://x.com/mylordbebo/status/1784306603283345595?s=46&t=eQbA0aH9CX3YD3wUKRO_cw
eti dear ukranians