LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Binafsi huwa nasema, Kama Sisi ndio Watu, basi wao sio watu. Na kama wao ndio watu, basi sisi sio watu.

Kiumbe kisicho na AIBU ni kiumbe cha kipuuzi kuliko vyote. Hata mbwa hujishtukia anapfanya kosa, sio wazungu.
Anaweza kumuwinda mtoto wako amuue, akimkosa atakuja kwako kukulalamikia kwamba mwanao amemkimbia alipotaka kumuua, akitarajia umpe ushirikiano.

Ni mafala sana.
Ni kama bink an
Inauma!!,😭😭😭😭😥
Blinis
Hawa watu sijui wana nini, wao wameanza kwa kutaifisha mali za URUSI, sasa imefika zami yao wanapiga kelele


View: https://x.com/mylordbebo/status/1784306603283345595?s=46&t=eQbA0aH9CX3YD3wUKRO_cw

Hawanaga aibu hata ukisikia eti mambo ya human raiti ni kwa baadhi ya watu tu kama Iran China na Russia ila kwao utasikia kielele hatakama wameua mchan kweupe
 
Back
Top Bottom