LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Uko sahihi kabisa Mkuu millerson.
Hivyo unavyojishitukia na hivyo unavyojiwazia uko sahihi kabisa na watu wengi wako hivyo kwa Hali jinsi inavyoendelea huko Ukraine.
Hali uliyonayo ndio Ile kitu inaitwa mshangao,bumbuwazi au kutoamini unachokiona maana Kwa miaka mingi watu waliamini NATO ndio Kila kitu,ndio wababe wa vita hapa duniani,hakuna kama wao,Leo hii iweje washindwe kuidhibiti nchi moja TU Tena iliyowekewa vikwazo kuliko nchi yoyote hapa duniani?
Hali unavyojisikia wala sio wewe TU,Bali ni mshangao kwa watu wengi hapa Duniani,yaani hawaamini wanachokiona na wanachokisikia.
Kama usemavyo watu wengi wanahisi kama unavyohisi wewe kua NATO wanamvuta TU Urusi ili aingie kwenye kumi na nane zao ili wamle kichwa,lakini ukweli sio hivyo hata kidogo,ngoma imewashinda na hamna namna watamfanya Urusi.

Ukweli uko hivi.
NATO hawana uwezo wa kuipiga Urusi hata kidogo,Bali wanaweza kupigana na Urusi na asitokee mshindi wa wazi.
Vita ya NATO na Urusi sio vita kama Ukraine na Urusi.
Vita ya Urusi na NATO itakua ni vita ya kuangamizana kabisa maana Kila upande hautatoa hata nafasi ya kujisalimisha,kwa sababu wote wanaogopa aibu ya kushindwa na hawako tayari kua chini ya mwenzake (koloni,mtumwa au mateka)baada ya vita,wanaona ni Bora wapotee wote.
Ishu ya kusema eti NATO bado wanamsoma Urusi hiyo Haipo,kwa sababu kwa tabia za NATO hua hawajisikii vizuri kuona watu wanakufa Kwa maelfu kama vile ilivyokua Bosnia and Herzegovina,Kosovo,Sarajevo n.k. hasa nchi iliyopo bara la ulaya.

Leo hii wa Ukraine wanakufa Kwa maelfu namna hiyo eti bado wanamsoma Urusi,hii sio kweli,ukweli wanaogopa majibu ya urusi.
NATO hawana uvumilivu huo wa kumsoma Urusi kama Wana uwezo wa kumpiga,maana Hali inazidi kua mbaya kwao Kila kukicha,miji inachukukiwa na watu wanakufa,wakimbizi wanazidi kujazana ulaya,uchumi wao unayumba na akiba zao za silaha zinazidi kupungua.
Wangekua Wana uwezo wangeshaingia mapema na kumpa Urusi pigo moja takatifu na kumaliza vita ili kuepusha maafa makubwa kama hayo barani ulaya,lkn wanaogopa kwa sababu Urusi inao uwezo thabiti kabisa ya kuwajibu vizuri na mara dufu kuliko wao.
NATO waliingia Yugoslavia ili kuepusha muaji ya kimbari,NATO waliingia Libya ili kuepusha mauaji ya ya kimbari.leo hii Kwa Nini waendelee kupoteza muda eti wanamsoma Urusi ambae anafanya mauaji kwa nchi ambayo wao ndio wameiponza ?
Wataendeleaje kumsoma Urusi ambae Kila siku anachukua maeneo?
Je wanasubiri ili afike wapi?
Kwa kifupi uwezo wa kuingia kwa Urusi kama walivyokua wanaingia kwa akina Iraq hawana,Urusi ni maji ya bahari sio maji ya mto.
 
Wapendwa kumekucha huko, vijana wameanza safari ya kuifuata Kharkov, wale wafuasi wa upinde kp kipanya44 na wenzake wakae chonjo saa mbaya
The village of Strelechya in the Kharkov region completely came under the control of the Russian army

The information was confirmed by Readovka’s source. Strelechya is located right on the border - it was previously well fortified by the Ukrainian Armed Forces.

According to information from the ground, the Russian army is advancing towards Kharkov.

We are waiting for official
confirmation!

Update
❗️ URGENTLY
Kharkov region.
10.05 10:50

OUR TROOPS HAVE STARTED ASSAULT OPERATIONS!

LET'S FOLLOW THE NEWS DEVELOPMENT!

FRONT BIRD.
SUBSCRIBE.

▶️❗️ URGENTLY
Kharkov region.
10.05 10:55

AT LEAST 5 DIRECTIONS OF OFFENSIVE WE KNOW ABOUT!

GOOD LUCK TO OUR WARRIORS!

FRONT BIRD.

SUBSCRIBE.

Urgently
From 4am today. Our army began the assault in the Volchansk area. Good luck guys!!!
Enemy resources confirm .

📱 REVIEWS-SUBSCRIBE

❗️ URGENTLY
KHARKOV REGION.
10.05 11:07
n.p. GATISHCHE

OUR GATISHCHE! WE TOOK THIS VILLAGE AT A STROKE.
FURTHER MORE!

FRONT BIRD.
SUBSCRIBE.
URGENTLY
KHARKOV REGION.
10.05 11:30

IN SOME AREAS THE ENEMY IS RUNNING FASTER THAN WE ARE APPROACHING THEM!

FRONT BIRD.

SUBSCRIBE.
❗️ URGENTLY
KHARKOV REGION.
10.05 12:27
N.P. OGURTSOVO

⚡️ THE FIGHT IS ON! FOR THE SETTLEMENT OF OGURTSOVO!

FRONT BIRD.
SUBSCRIBE.



▶️❗️ URGENTLY
KHARKOV REGION.
10.05 12:45
N.P. OGURTSOVO

⚡️ STOP THE FIGHT!
THE SETTLEMENT OF OGURTSOVO IS OURS!
CUCUMBER IS OUR!

GLORY TO THE RUSSIAN WARRIOR!

FRONT BIRD.
SUBSCRIBE.

The village of Pylnaya, Kharkov region, also came under the control of the Russian Armed Forces

Readovka's source reports this from the field



❗️ URGENTLY
KHARKOV REGION.
10.05 13:45
N.P. GREEN

⚡️ THE SETTLEMENT OF GREEN IS OUR!
GREEN IS OUR!
CONTROL OF THE RF AF!!!


FRONT BIRD.

SUBSCRIBE
 
Zelensky fires state security chief
The sacking of Major General Rud could be linked to an alleged plot to assassinate the Ukrainian leader, according to local media

Zelensky fires state security chief
Major General Sergey Rud © State Security Administration of Ukraine
Ukrainian President Vladimir Zelensky has dismissed Major General Sergey Rud as the head of the state guard service, according to the presidential website.

The move comes after two officers of the agency, tasked with protecting government bodies and senior officials, were detained over an alleged plot to assassinate the Ukrainian leader.

“Dismiss Sergey Rud from the post of head of the State Security Administration of Ukraine,” a decree by Zelensky, published on his website on Thursday, read. The reasons for the sacking of the guard chief, who had held the role since 2019, have not been announced.

The Strana.ua news website claimed that Rud’s dismissal was on the cards after the Ukrainian Security Service (SBU), which is Kiev’s successor to the Soviet-era KGB, announced on Tuesday that two officers of the State Security Administration were allegedly part of a conspiracy to assassinate Zelensky, SBU chief Vasily Malyuk, military intelligence chief Kirill Budanov, and other top Ukrainian officials.

Two Ukrainian officials arrested over alleged plot to kill ZelenskyREAD MORE Two Ukrainian officials arrested over alleged plot to kill Zelensky
According to the SBU, the detained colonels have been working for Russia’s Security Service (FSB), leaking classified information to Moscow. They could face life in prison on charges of treason and preparing a terrorist attack.

The SBU did not disclose the identities of the two officers. Strana.ua named them as Andrey Guk and his colleague, with the surname Derkach.

The outlet reported on Friday, citing unnamed sources, that Ukrainian security agencies had harboured suspicions about Guk's activities for a long time, but that Rud was shielding his “close associate” from persecution.

The announcement of the alleged plot targeting Zelensky was made by Ukraine on the day when Vladimir Putin was inaugurated for his fifth term as Russia’s president.

Moscow has denied having any plans to assassinate the Ukrainian leader, with Kremlin press secretary, Dmitry Peskov, telling the journalists: “as you understand, the information coming from the SBU can hardly be perceived as accurate.”
 
Russian MOD confirms the beginning of ground operations in Kharkov oblast. The first Russian troops entered in Ukrainian territory during the first hours of May, 10, 2024. Some groups have surpassed a series of villages, but it's premature to confirm the control over them. Ukrainian Army defenses (which were built during the past months) are working well and have repelled further Russian attempts.
❗️ URGENTLY
KHARKOV REGION.
10.05 14:55
N.P. PLETENEVKA

THE SETTLEMENT OF PLETENEVKA IS OUR!
HAVE TAKEN!

LET'S MOVE!

FRONT BIRD.

SUBSCRIBE.
Your browser is not able to display this video.




Zelensky confirmed the offensive of the Russian army in the north of the Kharkov region.

He says that the Ukrainian Armed Forces were waiting for this and are holding back the Russians. But he noted that it is not yet known what reserves the Russian Federation is ready to throw into battle there.

We wrote in more detail about what goals the Russians may have in the Kharkov region here.

Website "Country" | YouTube | Send news/photo/video | Advertising on the channel | Help "Country
 
Jamaa wameanzisha mashambulizi mengine kwenye huu mji! Wataweza?? Watafanikiwa??

Russian forces attack Ukraine's Kharkiv region opening new front​


KYIV, May 10 (Reuters) - Russian forces launched an armoured ground attack on Ukraine's northeastern Kharkiv region early on Friday, advancing 1 km (0.6 mile) near the border town of Vovchansk in an effort to create a buffer zone, a senior Ukrainian military source said.


The assault opens a new front in the war more than two years since Russia's full-scale invasion. Fighting in the border areas of the Kharkiv region continued and Kyiv has sent more forces to the area as reinforcements, the defence ministry said.


 
Russian forces have captured several villages in the Ukrainian side of the Kharkov border after artillery preparation yesterday.

Most likely aimed at supporting operations on the Kupyansk axis rather than initiating a drive on Kharkov itself.
 
5 ways for man to be completely happy.
1. Be with a woman who makes you laugh
2. Be with a woman who gives you her time
3. Be with a woman who takes care of you
4. Be with a woman who really loves you
5. Finally, make sure these four women don’t know each other!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…