LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Make sure you have a woman...
 
Hawa jamaa vipi??

Russian forces advance 1km in Kharkiv in bid to make buffer zone - Ukrainian source​


More now from Kharkiv, where fighting appears to be intensifying.


Ukraine's defence ministry says its forces are repelling an attack in the Kharkiv region, with Kyiv sending reinforcements after an attempt to "break though" at about 5am this morning.


A high-ranking Ukrainian military source says Russian forces have advanced 1km near Vovchansk, in the Kharkiv region.


 


Urusi alivyojua marekani kapeleka makombora ya masafa marefu akapeleka hii mitambo yake kwaajili ya kuyajam bahati mbaya mitambo hii ikavuruga GPS karibu mataifa yote ya Baltic.

Baada ya hapo tukaanza kusikia kuwa Urusi anaingilia mawasiliano ya wanachama wa NATO upande wa mashariki 😁😁
 
Official: Operesheni ya mkoa wa Kharkiv/ kharkov imeanza.

Lengo kuu ni lipi:
Kubeba mkoa mwengine au kutengeneza njia ya kwenda maeneo mengine mfano kupyansk
Kharkiv ndipo mashambulizi yote ya Ukraine kwenda Belgorod huanzia.

Pili, Kharkiv ndipo NATO /Marekani wamekuwa wakipanga kufanya mashambulizi kwa Russia na baadae waingie Russia kupitia Belgorod.

Russia tayari siku nyingi walikuwa wakilifahamu hilo hivyo ndo wameanza kushambulia ili baadae waweke "Buffer Zone" kuizuia Ukraine wasiweze kushambulia tena kwenda Belgorod.

Na ndo maana Jenerali Surovikin kapewa kazi hiyo akasimamie shughuli hiyo ya kuishughulikia Kharkiv.
 
Maelezo mazuri na timilifu.
 
Kumbe General Surovkin yupo tayari kazini Tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…