Taleban haijawahi shinda battle yoyote na Marekani, sembuse vita. Aliyekuwa kiongozi wao wakati Marekani inaenda alikuwa Mullah Omar, Marekani ikafika akakimbia kujificha. Taleban ilishinda vipi at the same time kiongozi wao kakimbilia Pakistan mafichoni? Na Taleban ikaachia madaraka.
Hamid Karzai kaongoza Afghanistan kwa support ya Marekani huku Taleban hawajulikani walipo. Miaka 20 yote Taliban wako mafichoni wanashambulia kwa kujitoa mhanga na ugaidi. US ikaamua zake kuondoka Taliban wakarudi na adabu. Waambie wafuge tena magaidi waone.
Ufaransa iko kilomita 11,000 kutoka Vietnam. Warships, missiles, fighter aircrafts, artillery, troops, ammunition, fuel na almost resources zote kasoro vyakula vilikuwa vinatoka far away na ikapigana ikashindwa.
Urusi inapigana na Ukraine pua na mdomo, technically unaweza tambaa kutoka Urusi ukafika Ukraine bila kuchoka. Zile border checkpoints si unatembea kwa miguu unavuka nchi. Imagine Ukraine haina navy, ila imeitesa vibaya Black Sea fleet ya Russian Navy. Sasa ndio Urusi ipigane na nchi kama Japan au South Korea yenye navy.