RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Habari zake nyingi za uongo, mpaka Leo hajawahi kukubali kama Bakhamut Iko chini ya Russia.Kipanya anatutandika mpaka kwa memes
West ni wazuri sana kwa propaganda na hasa kwa sababu wengi hupenda kuamini habari zao bila kufikiri.Kipanya anatutandika mpaka kwa memes
Nashangaa warusi wanapanik wakati wao wamefanya offensive karibu mwaka mzima huku Ukraine ikiwa inawachek tu., mwachen Ukraine atambe,ni zamu yake!
Yani US alietoka nyumbani kwenda kupigana Iraq unalinganisha na Urusi anayepigana na kanchi alikopakana nako?West ni wazuri sana kwa propaganda na hasa kwa sababu wengi hupenda kuamini habari zao bila kufikiri.
Ili tukio la incursion kwa kikosi kidogo cha Ukraine ni la kawaida na lenye impact ndogo sana kwenye matokeo ya SMO.Propaganda iliyotengenezwa utaaminishwa Ukraine kateka mji mzima kumbe ameambush tu kutia hofu wananchi wasio na hatia.Hii ni kama Sept 11 alivyoshtukizwa USA na wale wahuni wachache.
kuna walioenda mbali kutoa tathmini ya ubovu wa jeshi ra URUSI,lakini nawakumbusha USA na washirika wake 30 walipambana kwa wiki tatu kukikomboa kitongoji cha Fallujah pale Iraq,je ni kwamba USA alikuwa mchovu? Vita ni sayansi kamili na kuna macalculation makali yanapigwa.Wengi wenu hamjui ya kuwa asilimia kubwa sana ya waukraine wana asili ya Urusi na bado wana mafungamano ya dhati na Russia .NATO wanamprovoke RUSSIA awaNetanyahu wa UKRAINE ili kubomoa hii connection.Putin na cabinet yake wanajua huu mtego na ndio maana wanadestroy miundo mbinu ya kijeshi ili kumvunja nguvu Zelensky aende kwenye majadiliano.
Lakini ikifika wakati ambao RUSSIA wataona inatosha(Mungu aepushe) Kiev itakuwa sawa na Jangwa linalotengenezwa GAZA.Weka hii kumbukumbu.
Unadhani hataki kushinda vita? mambo ni magumu.Ningekuwa mie ndio Putin, keiv ningeifanya kama gaza au allepo. Ningedondosha mizigo pale usiku na mchana huku hawa mbwa koko waliongia kuksy nikiwaadabisha bila huruma...aaarrrggghhh
Kioanya anazo taarifa ambazo hata wa Ukraine wenyewe hawana hongera sana kwake,anatoa taarifa unazitafuta RT,DW,SKY NEWS, AL JAZEERA Huzipati na ikitokea BBC wameandika atatupostia humu Kila page ila hongera ana muda wa mzuri wa kutafuta taarifaHabari zake nyingi za uongo, mpaka Leo hajawahi kukubali kama Bakhamut Iko chini ya Russia.
Sio mahala pake we bibi kizeeHii ni mubashara "live":
Kuangalia kwa sasa
Started streaming 3 hours ago #HezbollahStrikes #IranWarning #RegionalConflict
Kambi za jeshi la Israel zimeshambuliwa vikali, huku Hezbollah ikidai kuhusika na mashambulizi dhidi ya kambi za wanajeshi, kituo cha ujasusi, na kituo kipya cha kijeshi. Mashambulizi hayo yanafuatia mauaji ya kiongozi wa Hamas Ismail Haniyeh mjini Tehran, ambayo Iran imeonya kuwa yatakuwa na "athari kubwa". Mlipuko mkubwa ulitikisa kambi ya Tzeelim karibu na Gaza, na kuwajeruhi wanajeshi ya mazayuni tisa, wawili wakiwa katika hali mbaya. IDF wanalia...
View: https://www.youtube.com/live/SUM0bnSDLFU?si=9hHwYkfrGjjL1Nl_
Jamaaa muongo wewe duhOver the past two days, Russian Defense Minister Belousov tried three times to call Austin at the Pentagon, but he does not pick up the phone, — CNBC
Unaizungumzia Marekani hii ambayo ilikimbizwa na watalaban wa Afghanistan na kuacha silaha kibao ambazo sasa zikimilikiwa na jeshi la Taleban?Nakuunga mkono.
Nimekuwa nikilisema hili toka muda.
Hii vita kama ingekuwa ni mpakani kwa Marekani sasa hivi huyo jirani yake zingetapakaa maiti tu na vifusi.
Hapo umewekewa source ya habari, lakini bado unakomaa " mwongo" na hili ndio tatizo kubwa la watanzania walio wengi,Huwa hatutaki kuumiza ubongo tunapenda vitu soft tuJamaaa muongo wewe duh