Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kwahiyo wewe jirani Yako Urusi?ndio sababu kila siku naishukuru serikali chama cha mapinduzi chini ya mama yetu kipenzi kwa kudumisha amani nchini mambo kama haya tunayasikia kwa majirani tuh kwa sasa
Vipi kuhusu Gaza?Urusi amekataa kufanya mazungumzo yeyote ya amani na Ukraine. Hali ni mbaya wanajeshi wa Ukraine wanakufa kama kumbikumbi. Umoja wa mataifa upo wapi jamani kuisaidia Ukraine? Jioneeni wenyewe.View attachment 3075122View attachment 3075123
Umefanya vizuri mkuu. Yule Asiyejua maana ya vita sasa ajue kwamba alikuwa hajui.Hizi picha zipo kwenye mitandao yote mikubwa duniani kama vile X na Telegram.nimeweka ili kuonesha ukubwa wa tatizo mkuu.
Jana wameuwawa wanajeshi watatu wa marekani Leo urusi imemwita balozi wa marekani Moscow kujieleza walikua wanafanya Nini ndani ya mipaka ya Russia.Mwambia US apeleke wanajeshi wakamsaidie walipo kubali wa9 kuwa uwanja wa vita, walipigwa warning na Mrusi kuwa US na Nato si watu wazuri yule Comedian akaona bora afanye action movie's za Rambo 😄
View: https://youtube.com/shorts/lMxIMuBCcF0?si=m_-LrzK7vqXG_b6f
Umeamua kujiokotea maiti zako ulizoamua kuinyesha, hongera.Urusi amekataa kufanya mazungumzo yeyote ya amani na Ukraine. Hali ni mbaya wanajeshi wa Ukraine wanakufa kama kumbikumbi. Umoja wa mataifa upo wapi jamani kuisaidia Ukraine? Jioneeni wenyewe.View attachment 3075122View attachment 3075123
nanimarafikizetu pia dunia kijiji nduguKwahiyo wewe jirani Yako Urusi?
Ukraine ameanza kupeleka wanawake , wagonjwa wa HIV na viwete vitani. Wanajeshi wake wanapopolewa kwa Kasi sana na urusi.wale wa 50/50 hawaonekani hapo wameufyata, watakuambia wanaume watakula kwa jasho
Kuzidiwa kupo kutegemeama na ubavu wa mtu.Vita ya miaka kadhaa na kuteka maeneo kuuana kwa Wanajeshi ni lazima Warusi na Ukraine wote wanakufa huko hakuna vita ya upande mmoja..
InashangazaKwan si tuliambiwa kuwa mambo yameniga Kursk kuwa urus amepakatwa??
Au ndio yale yale ya Israelna Gaza?
Naonesha attention kwa UN ili wachukue hatua za haraka mkuu.Acha kutupostia picha za miili mkuu....
Lakini usisahau pia kwamba Urusi nayo ilipeleka na hata sasa inapeleka wafungwa, walevi, wavuta bangi na wabwia unga.Ukraine ameanza kupeleka wanawake , wagonjwa wa HIV na viwete vitani. Wanajeshi wake wanapopolewa kwa Kasi sana na urusi.
Nilitakiwa kuandikaje mkuu?Watu wapo vitani halafu unaandika mauaji ya kimbari?
Hapa ni Russia kuhusu Gaza nitafungua Uzi mwengine utakuja kuchangiaVipi kuhusu Gaza?
Lakini mkuu kujidanganya kwamba Ukraine anaendelea vizuri wakati Hali halisi yupo ICU sidhani kama ni jambo jema sana. Anyway tujipe mudaUmeamua kujiokotea maiti zako ulizoamua kuinyesha, hongera.
Halafu hizo picha ni za huko Doneski siyo Kursk.
Kursk Ukraine anazidi kukamata maeneo huku akimsambaratisha Russia na kila silaha anayoijaribu.
Kuzidiwa kule Kursk ndiyo kaamua alianzishe Doneski akijaribu ku divide attention lakini anaishia kuona kama anapigana na majeshi tofauti yasiyohusiana.
Ku publish ni issue za kishamba wanajeshi wa Urusi tunaweza Kuwaweka kundi moja na Hamas ww lini umepona IDF wanatumia picha za maiti wa Hizbullah ama Hamas sana sana watakuambia tu eliminated.Sasa kwanini na wao wasi publish tuwaone wanavowaua warusi? Hivi sasa tunaenda kidijitali vita Inapoganwa inaonesha achievement bana
Hii ni kweli!?Wale WA Ukraine wanapojisalimisha,hawali ugari WA Bure,wanavuliwa gwanda za Ukraine,wanaveshwa za Urusi,wanageuzwa walipotoka,wanawachapa wenzao.
Nilitakiwa kuandikaje mkuu?