Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 1,535
- 5,332
Putin yupo salama na hakuna wa kumuua. Kumuua Putin ni suicide mission ya kuimaliza Ulaya na Ukraine ambavyo imetokea kuwa mbele kuipinga Urusi.Wafuasi wa Putin tumuombeeni sana Putin.
Pamoja na kua jeshi la Urusi linafanya vizuri,lakini maisha yake binafsi Yako hatarini sana Sasa hivi.
Binafsi namuomba Mungu amlinde.
zile f-16 vipi kwan hazifanyi kazi au zele kapewa kwaajili ya maonyeshoTukiwaambia kua NATO anapigana na Urusi hamtaki kukubali.
NATO wamempa Ukraine ADS zao weeee lakini zote zimechomwa,Sasa wanataka watumie ADS zao kutungua makombora ya Urusi lakini wakiwa nje ya Ukraine Kwa nchi Wanachama wa NATO.
Hapo ndipo Kuna kigugumizi.
Nakumbuka mwamba alishatoa angalizo kua yoyote atakae dungua kombora atakua ameingia kwenye vita rasmi
Kuleba, Sikorski discuss steps to use NATO air defenses to take down targets over Ukraine
In the military sphere, we focused on the issue of MIG jets and agreed on further steps to create the possibility for Ukraine's neighbours to intercept from their territory Russian missiles and drones in the Ukrainian airspace, Foreign Ministers of Ukraine said
MOSCOW, August 28. /TASS/. Foreign Ministers of Ukraine and Poland Dmitry Kuleba and Radolsaw Sikorski discussed the Kiev’s request for NATO to use their air defense systems to protect the Ukrainian airspace.
"In the military sphere, we focused on the issue of MIG jets and agreed on further steps to create the possibility for Ukraine's neighbours to intercept from their territory Russian missiles and drones in the Ukrainian airspace," Kuleba said on his X page.
Speaking at the "Poland of the Future" forum in Olsztyn earlier, Kuleba admitted that, due to the West’s concerns regarding an escalation of the conflict, "each Ukrainian request for a new type of weapon was initially met with denial."
On July 8, Polish Prime Minister Donald Tusk said that Warsaw will discuss the option of downing missiles travelling over western parts of Ukraine close to the Polish border. Back then, Washington treated the Polish initiative with skepticism. In Particular, White House Strategic Communications Advisor John Kirby noted that this could lead to an escalation of the conflict.
Sasa kwanini mnapigwa?? YaaanjSince the start of Russia's full-scale invasion, Ukraine has significantly ramped up its military production, investing $7 billion in its domestic defense industry this year alone, stated Ukrainian Defense Minister Rustem Umerov at the "Ukraine 2024. Independence" forum.
"We are boosting the nation's strength through the acquisition of drones, robotic systems, and electronic warfare technology, which is already delivering tangible results on the battlefield, as our defenders can attest. One of our key priorities is long-term planning. We are building a Defense Forces model aligned with NATO standards, implementing digital solutions, and modernizing the army," Umerov said.View attachment 3081772n
Safi xnaaa ndio maana nasema Tanzania tuko vizuri kuna wajinga
The Armed Forces of Ukraine have completely closed the eastern border of the caldera in Kursk. Around 700 Russian soldiers are inside the boiler, now they have to wait until hunger and thirst make them come out and deliver. Meanwhile, Ukraine will bomb the place intensely, who wants to live? come out, who doesn't want to? wait for the hands of God.Narudia tena ni wamagharibi hao ndiyo wanatoa taarifa!
Russian forces recently advanced southeast of Kupyansk, within Toretsk, southeast of Pokrovsk, and northeast of Vuhledar.
August 28, 2024, 7pm ET
Institute for the Study of War
This page collects ISW and CTP's updates on the conflict in Ukraine. In late February 2022, ISW began publishing daily synthetic products covering key events related to renewed Russian aggression against Ukraine.www.understandingwar.org
Hello baby! Umenibamba mamii,xema tu naomba unixek inbox., uxjr kuhusu inxu nyingine ,7bu nimekumixi xan yaan!Safi xnaaa ndio maana nasema Tanzania tuko vizuri kuna wajinga
Ndio wanataka kutuaribia nchi
Ila serikali iko makini xnaa na
Usalama wetu ...