LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Alafu anaomba mkae mezani myamalize baada ya kupokea kipondo heavy!View attachment 3088468
Putin hajawahi kutupilia mbali uwezekano wa mazungumzo mkuu,he has always shown willingness for negotiations pamoja na utapeli wa nchi za Magharibi.You remember the Minsk accords?Ile ilionyesha uhalisia wa utapeli wa the US and its' allies mkuu.Infact mimi huwa namshangaa mtu yeyote anayejifanya ana akili timamu huku anatetea kwa lolote Marekani.
 
Nimeshakujibu kua satellite ziko za aina mbili,Kuna satellite kwa matumizi ya kiraia na Kuna satellite kwa matumizi ya kijeshi.
Satellite kwa matumizi ya kijeshi ziko kwenye kundi la silaha.
Silaha sio makombora TU peke yake hata helmet miwani za kuona usiku vifaa vya logistics ushauri wa kijeshi, intelligence n.k vyote ni sehemu ya misaada ya kijeshi
Huduma inayopewa Ukraine kutokana na picha za satellite ni msaada tosha kabisa na hii Iko kwenye misaada ya Siri anayopewa ukraine.
 
✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏
 
Msitake kutufanya sote mazombi kama nyie,hata kama unajifanya kupoteza kumbukumbu lakini kuwa na kiasi angalau,haijapita hata miezi 2 kila Mmoja alisikia Putin akibwatuka kwamba hawezi Tena kuzungumza na Ukraine baada ya kutembezewa kipondo huko Kursk, na si Putin tu Bali hata wasaidizi wake walisikika wakisema Hivyo, akili zimeanza kuwarudia taratibu baada ya kuona kwamba Ukraine hatanii huko Kursk Bali anatembeza mkong'oto kwelikweli
Nakuwekea link wakati Putin mwenyewe akiweka ngumu kukaa meza Moja na Ukraine

 
U.S. Defense Secretary Lloyd Austin on Sept. 6 said Washington would provide Ukraine with an additional military aid package worth $250 million.
 
Off course umejibu vyema, chochote kinachomsaidia adui kutekeleza malengo yake katika uwanja tayari hiyo ni silaha., ndio maana unaona hata magari ya kubeba mafta ni legitimate target katika uwanja wa vita., chochote kile hambacho adui anatumia kutekeleza malengo yake.,hizo microchip., sijui macrochip ,kama zinamsaidia urusi katika kutengeneza rocket na makombora ya kutumia uwanja wa vita tayari ni silaha iyo.,na Ukraine akibahatika kuzilocate na kuzijua zinapoifadhiwa hapo urusi,hiyo itakuwa legitimate military target .,nakupa mfano tu ujaribu kuangalia military target zinazolengwa
 
10,000+ NATO and USA soldiers dead at Kursk.
Kama USA atamupa Ukraine long range missile, Israel inafutika kwenye USO wa dunia. Pia kambi za kijeshi za USA zilizoko Iraq, Syria watafutika wote.
 

Attachments

  • Screenshot_20240906-135745.png
    255.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240906-135205.png
    464.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240906-140056.png
    395.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240906-135857.png
    215.6 KB · Views: 2
Ukraine Loses Over 10,400 Troops During Operation in Kursk Direction - Russian Military

06.09.2024
MOSCOW, (Sputnik) - The Russian armed forces have eliminated more than 10,400 Ukrainian servicemen and 81 tanks during military operations in the border areas of the Kursk Region, the Russian Defense Ministry said on Friday.
In total, during the military operations in the Kursk direction, the enemy lost more than 10,400 servicemen, 81 tanks, 41 infantry fighting vehicles, 74 armored personnel carriers, 599 armored combat vehicles, 339 cars, the ministry said in a statement.
Over the past 24 hours, Kiev lost up to 300 servicepeople and 12 units of armored vehicles, including two armored personnel carriers and 10 armored combat vehicles, the ministry said.
 
The situation in the Kharkiv direction through the eyes of European Osint analysts already has numbers. Near Liptsi, the Armed Forces of Ukraine 3advanced 2 km. and freed 5.12 km² of previously occupied territory.
 
The US announced a large military aid package for Ukraine worth 250 million dollars, - the Pentagon.
It included:
🔹RIM-7 missiles and air defense maintenance;
🔹Stinger missiles;
🔹ammunition for HIMARS;
🔹155 mm and 105 mm caliber artillery ammunition;
TOW missiles;
🔹 Javelin and AT-4 anti-tank systems;
🔹Bradley infantry fighting vehicles;
🔹M113 armored personnel carriers;
🔹mine-resistant vehicles with ambush protection (MRAP);
🔹ammunition for small arms and grenades;
patrol boats;
🔹maritime training equipment;
🔹 explosive equipment and ammunition;
🔹spare parts, auxiliary equipment, services, training, transport.
 
In the direction of Kursk, the Armed Forces of Ukraine advanced to Kamyshivka. Satellite geolocations show that not much of the Russian village remains. Now Russian villages are disappearing too.
 
Msitoe Mlio tukiyachoma haya Mascraper
 
Mr Putin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…