LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kwani Wanapotoa Silaha kwasababu gani?? Hujui chanzo cha hii vita kumbe wala hujui kinachopiganiwa hapo sasa mzee wa maramani ntakusaidiaje,??
Halafu anakuja na vijamaswali vyake vya kutegea mende akitegemea atanasa ndegeπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜€
 
Hapa ndipo Mimi mnaponifurahishaga wataalamu wa Tanzania mnapowaponda majenerali wa Urusi.
Ambapo elimu yetu ya vita tunaenda kujifunza kwao.
Yaani kwa kifupi Mtanzania ndio binadamu pekee hua anamkosoa Hadi mgunduzi wa kitu wakati yeye Hana hata hicho kitu.
 
Hali ya uchumi ni mbaya na VW wanataka kufunga Plant, inamaana watu wengi zaidi watapoteza ajira na serikali kupoteza mapato.
Scholz hawezi kuyala matapishi yake kuhusu Russian energy, inabidi atoke ampishe mwingine
 
Najaribu kuwaza kwa herufi kubwa!

1) Hitler (mjerumani) alijaribu kuivamia urusi akashindwa.

Operation Barbarossa



2) Napoleon ( mfaransa) alijaribu kuivamia urusi akashindwa!

French invasion of Russia | Napoleon, Battles, & Casualties



3) Marekani (West) (Wamagahribi) wote wameungana kwa kumtumia Ukraine, urusi atapona???

Nb 1: West anapambana kulinda hadhi yake ,urusi naye anapambana kulinda utaifa wake!

Nb 2: Hitler alisesma hivi :"If we talk about new soil and territory in Europe today, we can think primarily only of Russia and its vassal border states".

Naona mwisho wa dunia, wewe je??
 
Najaribu kuwaza kwa herufi kubwa!

1) Hitler (mjerumani) alijaribu kuivamia urusi akashindwa.

Operation Barbarossa



2) Napoleon ( mfaransa) alijaribu kuivamia urusi akashindwa!

French invasion of Russia | Napoleon, Battles, & Casualties



3) Marekani (West) (Wamagahribi) wote wameungana kwa kumtumia Ukraine, urusi atapona???

Nb 1: West anapambana kulinda hadhi yake ,urusi naye anapambana kulinda utaifa wake!

Nb 2: Hitler alisesma hivi :"If we talk about new soil and territory in Europe today, we can think primarily only of Russia and its vassal border states".

Naona mwisho wa dunia, wewe je??
 
Dah ! Aisee!
Hili ni onyo Kali sana aloo.!
Hii maana yake mwenye macho na aone ,na mwenye masikio na asikie.
 
Unapozungumzia vita ya Dunia ujue kutakua na pande mbili.
Upande wa USA tayari umeshajulikana.
Upande wa Urusi utaibuka kama ifuatavyo.
Maadui wote wa USA watakua upande wa Urusi.
Kwa sababu wanajua kaka Yao akipigwa wao watafuata na kuwa watumwa ,mateka na wafungwa wa USA.
Ni akina nani hao?
Wote tunawajua.
 
Mimi nawewe sio wataalamu wa vita nawala hatupo Frontline, siziamini sana media za west Wala za Urusi kwasababu vita vina propaganda nyingi sana.
 
Huko ni kujidanganya,hata Israel wanazuia makombora, lakini sio ya urusi
 
Acha makasiriko, kakwambia nani mimi ni pro- Ukraine? Kwanini mtu akiongea ukweli kwa upande wenu mnamchukulia kama adui? Kama Urusi ameshaichukua Donbass yote kwahyo mapigano yapo mji gani kwasasa?
 
Na ni wababe kinyamaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Pale middle East nchi takriban zote zitakua upande wa Russia.
Asia pacific 90% ni pro Russia kwasababu ya China.
North Korea mama yanguuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Dunia simama nishuke.
 
1).US Secretary of State Blinken says Ukraine will be NATO member

2).Stoltenberg hopes Ukraine will join NATO within 10 years

3)................................…..…..................
Will be NATO? Kwahiyo kama atakuwa isubirike baada yahapo akishambuliwa wakati nimwanachama wao ndio tutajua NATO wanamuogopa urusi kama hawatafata kanuni ya yao, sasa hivi unaona anachopewa ni msaada na wenye masharti tu ya wapi atumie, ila yeye ndiye anaekuwa anatishia kila kauli ya utumiaji wa nuclear,endapo Ukraine atashambulia ndani ya Urusi hiyo itakuwa judgment day, endapo NATO watamsaidia Ukraine silaha zinazopiga ndani ya Urusi basi itahesabika hiyo nchi imeshiriki mojakwamoja na itapata kipigo kikali, jee hayo hayajafanyika? Mbona kama ni mbabe hatumi makombora new York na washirika wengine na wakati Urusi anajua kama Ukraine anapewa makombora ya lnayopiga nchini kwake.

Tuacheni mahaba kila mmoja anapata hasara kubwa kwa wote kati ya Urusi na Ukraine.
.
 
Ninachokiona West ni wagomvi haswa na hata tunaomlaumu Russia kuvamia Ukraine ni kwa sababu ya uchokozi wa West kutaka kuingilia siri za Russia na kukaribia mipaka yake ili iwe rahisi kufanya chochote.
Na kwa kuwa ninachokiona 'mbabe' (West) hataki kuona anashindwa na huyu Russia hataki kuona anaonewa hapo ndo tunaweza kutarajia makubwa zaidi ambapo athari zake lazima zitufikie hata sisi watazamaji.

Kama West wataweka silaha na usaidizi mapema zaidi hii vita itaisha mapema sana.
Lakini kwa hali ninavyoiona Vita Kuu ya Tatu ya Dunia haizuiliki tena hapa.
Tujiandae kwa lolote.
 
.....hivyo pamoja na kuwa na makombora ya kupiga London au Marekani basi hatapata hiyo nafasi.....
Watakuwa wajinga kweli kama walikuwa hawajajiandaa kujilinda kisha wakaanza kumchokoza dubu kupitia Ukraine!!!

Hata hivyo, hayo maandaki unadhani yatakuwa salama kiasi gani kama Russia aliweza kufumua maandaki yaliyokuwa MITA zaidi ya mia chini ya Ardhi kwa kutumia makombora ya kawaida huko Azov walipokuwa wamejichia askari wa NATO?

 
Una Elimu gani mkuu,

Umawaza kama kuku aliekosa kichwa
HUWEZI kunielewa kwakuwa IQ yako ni ndogo sana. Na huu ndio umbumbumbu wa waafrika wengi , hatuna uwezo wa kuchanganua taarifa. Yaani sisi maadam Russia au Marekani kasema hivi na vile na akaweka kwenye Google basi nikuamini 100%. .

Wake up Afrika
Mimi nawewe sio wataalamu wa vita nawala hatupo Frontline, siziamini sana media za west Wala za Urusi kwasababu vita vina propaganda nyingi sana.
Ni wachache sana humu JF wenye IQ kubwa kama hii yako. Wengi humu wanapokea taarifa na kuziamini kama zilivyo. Yaani hata wakiambiwa kuwa Marekani au Russia wamepeleka Submarine angani au Mars wao watapokea hivyohivyo na ukiwabishia WANAKUONA WEWE HUNA ELIMU
 
Kabisa kaka, west hesabu zao haziendi kama walivopanga, na bahati mbaya sana wamekutana na warusi ambao jambo la Vita kwao nikama kunywa maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…