LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kaka Israel Bado ina silaha nzito kuizidi hiyo Hezbollah, kuna silaha kama Jericho III, F35, nyambizi, nuclear, huwezi pima mzani kwa kulinganisha Israel na Hezbollah,

Alafu nitajie AD yenye performance nzuri duniani kuizidi iron dome
Kuna Airdefence kibao hazijafanya kazi bado ikiwemo za China.
Je uliona ufanisi wake?
Kati ya Iron dome na Khordak bora nichague Khordak ya Iran ambayo imewahi kuonesha ufanisi mkubwa mara kibao tu kwa kudetect drone za USA.
 
Hizbollah anapokea silaha kutoka Iran.
Ukija upande wa makombora Iran ina sophisticated missiles kuliko Israel.
Pia Iran anao uwezo wa kumpa ADS Hizbollah,japo bado hajampa.
Mbona unahamisha hamisha magoli sasa hapa si tulikuwa tunalinganisha Israel na Hezbollah? Umesharukia kwa Iran. Nikakwambia nitajie AD yenye ufanisi kuizidi iron dome unakwepa kwepa tu..
 
Kuna Airdefence kibao hazijafanya kazi bado ikiwemo za China.
Je uliona ufanisi wake?
Kati ya Iron dome na Khordak bora nichague Khordak ya Iran ambayo imewahi kuonesha ufanisi mkubwa mara kibao tu kwa kudetect drone za USA.
Sasa, unalinganishaje kitu kinachofanya kazi na ambacho haijawahi kufanya kazi, hizo za china uliona wapi zikifanya kazi
 
Mbona unahamisha hamisha magoli sasa hapa si tulikuwa tunalinganisha Israel na Hezbollah? Umesharukia kwa Iran. Nikakwambia nitajie AD yenye ufanisi kuizidi iron dome unakwepa kwepa tu..
Sijakwepa kitu bro.
Labda hujaelewa nini nimelenga.
Hizbollah haisimami peke yake.
Jua silaha anazotumia Hizbollah ni silaha za Iran.
Sasa hapo nimedakia wapi kwa Iran??

Nimekuuliza ufanisi wa ADS za China unaujua?
Na nikakwambia kati ya Iron dome na Khordak bora nichague Khordak kwasababu imeonesha ufanisi mara nyingi dhidi ya drone za USA.
 
Specifications zake uliziona!??
Basi sawa tuitoe za China.
Uliwahi kuona ufanisi wa Khordak ADS ya Iran??
Ufanisi unaonekana zikishaingia vitani, wazipeleke Lebanon kwa Hezbollah zikishambuliwa kwa makombora mfululizo ndio tutaweza kupima ufanisi wake dhidi ya iron dome, lakini kwa kudungua vidrone kadhaa tu Kisha unarudishwa ndani hapo unapimaje ufanisi? Kitu hadi kipitie changamoto nyingi ndio unaweza kukipa credit.
 
Ja
Unapenda sana kujisifu kuwa mtu mwenye umri mkubwa, elimu mkubwa na mtambuzi wa mambo mengi kumbe uelewa wako ni wastani kabisa.
Usipende kujipa assurance kwa vitu ambavyo wewe ujausika navyo utajipotisha.
Jamaa anajikakamua kuandika weeee! Lakini ukisoma anachokiandika ni blabla tu, mawazo yake binafsi yanayomwingia kichwani baada ya kuburudika na mke wake ndio anayaweka hapa akitegemea tumuone kama great thinker 😅
 
Unapenda sana kujisifu kuwa mtu mwenye umri mkubwa, elimu mkubwa na mtambuzi wa mambo mengi kumbe uelewa wako ni wastani kabisa.
Usipende kujipa assurance kwa vitu ambavyo wewe ujausika navyo utajipotisha.
Sijakudharau hata kidogo.
Kumbuka humu ndani Kila mtu ni mbumbumbu wa fani Fulani.
Mfano wewe unaweza kua ni mtaalam wa uchumi,lakini ukawa mbumbumbu wa udaktari,Mimi nikawa mtaalamu wa kilimo akini nikawa mbumbumbu wa engineering,nicksonFrancis akawa mtaalam wa engineering lakini akawa mbumbumbu wa accountancy n.k
Hivyo unaweza ukawa huna ufahamu wa jambo Fulani humu ndani ndipo wakatokeq watu wenye ujuzi wa jambo hilo wakalifafanua vizuri TU.
Lakini pia kaa ukijua Kuna wengine wenzetu humu mambo mengine hawayafahamu vizuri kwa sababu TU ya umri wao kua mdogo.
Kua na umri mdogo wala sio dhambi,kwa sababu Kila mtu aliwahi kua mdogo.
Mfano Kuna watu humu walishuhudia vita vya Kagera na wengine hawakuishuhudia vita hiyo,hivyo kusema kua inawezekana mtu una umri mdogo hiyo sio dhambi.
Humu ndani tumekaa kimijadala zaidi wala sio uadui,kua na upande pia sio dhambi ni jinsi mtu una liona jambo Fulani.
 
Mkuu Uko sawa kuhusu idadi ya wanajeshi wa Ukraine walioingia kursk.
Hata Mimi nililiona jambo hilo la idadi ya walioingia kursk.
Lakini kitu nilichogundua sio Urusi wanaodanganya wala watu wengine,Bali ni kua idadi halisi ya askari wa Ukraine walioingia inabali kua ni Siri ya jeshi la ukraine,hata Urusi hawana idadi kamili.
Hiyo nadhani ni utaratibu wa majeshi kuweka Siri katika mambo Yao ili kutompa adui taarifa nyeti.
Isipokua Urusi yeye anachoweza ni kutangaza idadi ya aliowaua hiyo ndio ana uhakika nayo
 
Sasa kama mambo mengi ya jeshi ni siri maana yake mengi hayajulikani
Tunarudi palepale habari nyingi humu ni za kubumba tu, ukweli unafichwa/haujulikani.
 
Motorcade carrying Russian ambassador hit by explosion
An escort vehicle carrying Albert Khorev’s delegation has struck a landmine in Pakistan, resulting in injuries to police.

A motorcade carrying Russian Ambassador Albert Khorev and other diplomats has been hit by an explosion in Pakistan, the country’s mission has said in a statement.

The envoy was traveling in a motorcade alongside a delegation involving ambassadors of several other nations. Earlier in the day, the delegation attended a tourism forum hosted by the Trade and Industry Chamber of Islamabad.
 
Sasa kama mambo mengi ya jeshi ni siri maana yake mengi hayajulikani
Tunarudi palepale habari nyingi humu ni za kubumba tu, ukweli unafichwa/haujulikani.
Uko sahihi kabisa Mkuu,
Ila sema sie tunaripoti habari ambazo wao wenyewe wameamua kuzitoa.
Mfano habari kutoka wizara za ulinzi za nchi zinazohusika na vita.
Wote Urusi na Ukraine wanapenda kutangaza habari ambazo wao wamefanya vizuri lkn walizopigwa hawasemi.
Ila tuna shukuru pia Kuna vyombo binafsi na visivyo na upande.
Mfano Sasa hivi technologia imefanya hakuna Siri Tena.ukificha watu wanajua na wanafichua.
Hivyo ukitaka habari kamaili tafuta Toka pande zote Tatu halafu chuja.
 
MILITARY OPERATION IN UKRAINE
22 SEP, 16:20Updated at: 18:06
Russian aviation hit 20 areas of deployment of Ukrainian troops in Kursk Region

Russian warplanes hit 13 settlement in the Sumy Region as well, the Russian defense ministry said

MOSCOW, September 22. /TASS/. Russian warplanes hit areas of deployment of Ukrainian troops near 20 settlements in Russia’s borderline Kursk Region and 13 settlement in the Sumy Region, the Russian defense ministry said.

"Russian aircraft, artillery and land troops struck areas of deployment of Ukrainian troops and weapons of the 22nd, 41st, 61st, and 115th mechanized, 17th tank, 80th and 95th assault army brigades, 36th marine brigade and 1st National Guard brigade, as well as 103rd and 129th territorial defense brigades near the settlements of Guyevo, Kozachya Loknya, Kolmakov, Lyubimovka, Malaya Loknya, Melovoy, Malaya Obukhovka, Medvezhye, Novy Put, Novaya Sorocjina, Novoivanovka, Orlovka, Plekhovo, Russkore Porechnoye, Sverdlikovo, Pravda, Tolsty Lug, Cherkasskaya Konopelka, and Yuzhny," it said.
 
BoJo anapenda sana damu za watu,sema TU uwezo Hana.
Huyu ndie aliekwenda kumzuia zelensky aachane na mazungumzo ya amani badala yake aingie vitani.
Sasa masikini vita inaua waukraine zaidi kuliko waingereza.

It’s over for Russia’ – ex-UK PM

Boris Johnson has argued that Russia must be forced to accept defeat, even if doing so costs a trillion dollars

Russia must understand that “it’s over,” and that Ukraine will not concede any territory for peace, former British Prime Minister Boris Johnson has argued. For this goal to be achieved, however, Kiev will need long-range weapons, NATO membership, and half a trillion dollars, Johnson added.

In an op-ed published in The Spectator on Saturday, Johnson argued that Ukrainian forces still have the “ability to win,” if only the West would cave to every single one of Kiev’s demands. These include, he wrote, permission to strike deep inside Russian territory with Storm Shadow and ATACMS missiles, and immediate invitation to NATO with Article 5 security guarantees, and “half a trillion dollars… or even a trillion.”

Disregarding Russian President Vladimir Putin’s recent warning that enabling long-range strikes would place NATO in a state of war with Russia as “bluster and saber-rattling,” Johnson argued that these steps are necessary to “send the crucial message to the Kremlin.”

German chancellor told ‘Russia is militarily invincible’READ MORE German chancellor told ‘Russia is militarily invincible’
“The message is: that’s it. It’s over. You don’t have an empire any more. You don’t have a ‘near abroad’ or a ‘sphere of influence’. You don’t have the right to tell the Ukrainians what to do, any more than we British have the right to tell our former colonies what to do,” he asserted.

“It is time for Putin to understand that Russia can have a happy and glorious future, but that like Rome and like Britain, the Russians have decisively joined the ranks of the post-imperial powers, and a good thing, too,” he continued.

The West, Johnson argued, “must abandon any idea that the Ukrainians will do a deal” or “trade land for peace.”

“We in the West would be mad to try to impose that outcome,” he added
 
21-09-2024
Russia reports strike on ship carrying Western weapons to Ukraine

A dry cargo carrier delivering missiles and ammunition to Kiev was struck, the Defense Ministry has claimed

The Russian military has hit a ship that was transporting Western-made munitions to Ukraine, the Defense Ministry in Moscow has said. It added that it has conducted another series of strikes on Ukraine’s energy infrastructure.

In a statement on Saturday, the ministry claimed that Russian warplanes, drones, missiles, and artillery forces destroyed two Ukrainian ammo depots and “struck a dry-cargo carrier with missiles and ammunition, provided to the Kiev regime by Western countries.”

Officials did not say how badly the ship was damaged or where the attack took place, though Ukraine relies mainly on the Black Sea and Danube routes to receive sea shipments.

The ministry also said Russian forces conducted strikes using high-precision weapons and drones on Ukraine’s energy infrastructure linked to Kiev’s defense industrial complex as well as UAV workshops, and military deployment areas. “The objectives of the strike have been achieved. All designated targets have been hit,” it added.

While Ukrainian officials have not commented on Moscow’s claim that it hit a dry cargo ship, local media overnight reported explosions in Kharkov, Dnepropetrovsk, Poltava, Sumy, Krivoy Rog, and several other cities.
 
😂😂😂😂😂Bro unajitahidi kuitetea sana hiyo Iron dome ila ni paper tiger.
Khordak ina ufanisi kuliko hata hiyo Iron dome.
Hivi unajua kaka kama drone ni ngumu kudetect kuliko makombora!?
Unalikumbuka lile tukio la Iran kushusha drone nne za USA 2013 pasi na kuzidungua!??
Kazi ya khordak ile.
Halafu uifananishe Khordak na iron dome??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…