kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Nilikuwa nasoma makala fulani kuhusu Eastern Ukraine. Yaani wanaseme hilo ndilo eneo lenye rutuba kwa uzalishaji katika masuala ya kilimo, lina madini yenye thamani na limejengwa viwanda vingi. Nadhani ndio maana Russia anang'ang'ania kuteka maeneo ya mashariki ingwa pia huko mashariki kuna watu wengi wenye asili ya Urusi.NI TYPING TUU ,MKUU KAPITIE MADESA KIDOGO RUSSIA HAJACHUKUA 18% YA ARDHI YA UKRAINE KWA VITA HIVI VYA MIAKA 2.5.KACHEK VIZURI FILE ZAKO.
MKUU KUSHINDWA KIMKAKATI MAANA YAKE NI KUSHINDWA KURECOGNIZE RISK ,COSTS,NA UKUBWA WA OPERATION(HAPA IKIWEPO MDA).
RUSSIA GHARAMA ANAZOINGIA NI KUBWA MNO ,KULINGANISHA NA ALICHOPATA MIAKA HII 2.5,PIA RISK NI KUBWA SANA KWA TAIFA HILO KUYUMBA KIUCHUMI,VITA KUPANUKA ZAIDI,VITA KUCHUKUA MDA MWINGI.
Yote hayo yametokea baada ya NATO kuingilia kati Ukraine.NI TYPING TUU ,MKUU KAPITIE MADESA KIDOGO RUSSIA HAJACHUKUA 18% YA ARDHI YA UKRAINE KWA VITA HIVI VYA MIAKA 2.5.KACHEK VIZURI FILE ZAKO.
MKUU KUSHINDWA KIMKAKATI MAANA YAKE NI KUSHINDWA KURECOGNIZE RISK ,COSTS,NA UKUBWA WA OPERATION(HAPA IKIWEPO MDA).
RUSSIA GHARAMA ANAZOINGIA NI KUBWA MNO ,KULINGANISHA NA ALICHOPATA MIAKA HII 2.5,PIA RISK NI KUBWA SANA KWA TAIFA HILO KUYUMBA KIUCHUMI,VITA KUPANUKA ZAIDI,VITA KUCHUKUA MDA MWINGI.
Tayari Israel ameshashambulia Lebanon ameua watu zaidi ya 50 na kujeruhi 300.
FACTBOX: Breakthrough attempts repulsed: situation in Kursk Regionsawa msemaji wa jeshi la urusi ukiwa katika nchi maskini
Himars ina bei ghali sana ikichomwa moto mashoga hutamani kuliaRussia says its Iskander missile destroys US-made HIMARS in Sumy Region
The crew of an Iskander tactical missile system of the Russian Armed Forces carried out a missile strike on the position of an M142 HIMARS of Ukrainian forces in the settlement of Shaposhnikovo
Hii inahusiana nini na vita Kati ya Russia na Ukraine
Ni kama tu Tangzo la biasharaHii inahusiana nini na vita Kati ya Russia na Ukraine
Sasa si ulete wewe hizo taarifaNasikia Kuna mashetani (Satan) yamelipuliwa huko kwa supapawa tunaomba taarifa kwa kina mlio karibu na eneo la tukio.
Mm Niko mbali na eneo la tukio mkuu tumsubiri KipanyaSasa si ulete wewe hizo taarifa
Sema.umesikia wapi mbona media zote hakuna hiyo taarifa.Mm Niko mbali na eneo la tukio mkuu
Ni kweli Niko Bar mkuu ila nakunywa maji huku nikitizama Aljazeera live coverage.Sema.umesikia wapi mbona media zote hakuna hiyo taarifa.
AU UPO BAR UNAKUNYWA POMBE unasinzia halafu ukishituka unajiandikia tu
Hii failure test ya sarmat bila nuclear warhead, yenye nuclear warhead walifanya 2023, ambayo ilikuwa successfulNasikia Kuna mashetani (Satan) yamelipuliwa huko kwa supapawa tunaomba taarifa kwa kina mlio karibu na eneo la tukio.
Unaonekana auko aputodeti kabisaHii failure test ya sarmat bila nuclear warhead, yenye nuclear warhead walifanya 2023, ambayo ilikuwa successful
Nadhani hii wanataka iwe na non nuclear with powerful kinetic energy Ili waitumie Ukraine kama West wakiruhisu deep strike ndani ya Urusi
NI TYPING TUU ,MKUU KAPITIE MADESA KIDOGO RUSSIA HAJACHUKUA 18% YA ARDHI YA UKRAINE KWA VITA HIVI VYA MIAKA 2.5.KACHEK VIZURI FILE ZAKO.
MKUU KUSHINDWA KIMKAKATI MAANA YAKE NI KUSHINDWA KURECOGNIZE RISK ,COSTS,NA UKUBWA WA OPERATION(HAPA IKIWEPO MDA).
RUSSIA GHARAMA ANAZOINGIA NI KUBWA MNO ,KULINGANISHA NA ALICHOPATA MIAKA HII 2.5,PIA RISK NI KUBWA SANA KWA TAIFA HILO KUYUMBA KIUCHUMI,VITA KUPANUKA ZAIDI,VITA KUCHUKUA MDA MWINGI.