LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Huyo poland hana akili kabisa ...anajitia mwenyewe mtegoni hiyo ni habari njema kwa putin ndiyo maana putin yupo kimya kuhusu hiyo mipango ya poland...ni kete ambayo urussi anatamani sana poland ajichanganye kwa kuisukuma
Medved alishatoa huo ushauri kwa Poland kwamba Rusia ipo tayari kugawanya ukraine na Poland. Maana kiasili western Ukraine ni sehemu ya ardhi mama ya Poland kama ambavyo estern Ukraine ilivyokuwa sehemu ya ardhi mama ya Rusia.
 
Medved alishatoa huo ushauri kwa Poland kwamba Rusia ipo tayari kugawanya ukraine na Poland. Maana kiasili western Ukraine ni sehemu ya ardhi mama ya Poland kama ambavyo estern Ukraine ilivyokuwa sehemu ya ardhi mama ya Rusia.
Kwa hiyo nato nao wanataka kuvamia ukrain au huyo Poland naye atapigwa na nato na waukrain ?maana wakifanya hivyo Poland wanakuwa wamefanya kama urussi inavyo fanya sasa
 
Kwa hiyo nato nao wanataka kuvamia ukrain au huyo Poland naye atapigwa na nato na waukrain ?maana wakifanya hivyo Poland wanakuwa wamefanya kama urussi inavyo fanya sasa
Poland wataingia wao kama wao. kama siyo kuwa ndani ya NATO Poland wangeshaivamia Ukraine siku mingi sana maana Ukraine ya asili ardhi yao ni eneo dogo tui la kyiv. Enzi za USSR Ukraine waliongezewa ardhi kubwa tu kutoka kwa majirani zake maana wakati ule Utawala wa serikali kuu ulikuwa moja. Hivyo, Poland ana hamu ya kurudisha ardhi yake.

Siku Urusi akikaribia tu Kyiv Poland lazima amege ardhi yake
 
huyu bwana kipara inaonekana naye ana vurugu, pengine siku moja atakuwa waziri wa mambo ya Nje.
nafikiri Sergei lavrov hana muda ataachia ngazi kwa sababu ya umri
==================
Nebenzya — about North Korean troops:

I want to ask one very simple question: even if we imagine that everything our Western colleagues claim about military cooperation between Russia and the DPRK suddenly turned out to be true, why are the US and its allies trying to impose on the whole world the rotten logic that they have the right to help the Zelensky regime, mobilizing for this purpose the entire military and intelligence potential of NATO, while Russia's allies do not have the right to do this?

Where, ladies and gentlemen, do you get this neocolonial sense of your own exceptionalism and impunity and the unfounded belief that what you can do, others cannot?
 
Nebenzya called on the West to admit that the course of fighting Russia at the hands of Ukrainians has failed:

"There will be no repetition of the scenario with the Minsk agreements and the freeze so that the Zelensky regime could lick its wounds.

Just as there will be no entry of Ukraine, in one form or another, into NATO. All the goals of our SMO, including demilitarization and denazification, remain in force and do not change. But what is changing, and rapidly, is the size of the territory remaining under the control of the Kiev regime"
 
Lavrov called Zelensky's plan schizophrenic:

Since 2014, Ukraine has consistently adopted laws banning the Russian language in education, the media, culture, and all other areas. Recently, the [Ukrainian] parliament banned the canonical Ukrainian Orthodox Church.

Let me remind you in this regard that Article 1 of the UN Charter requires respect for human rights regardless, as it says there, of race, gender, language, and religion.

But the West turns a blind eye to this gross violation of the charter by the Russophobic, racist regime in Kiev, continuing to promote Zelensky's dead-end, I would even say stupid, "peace formula," which calls for Russia's capitulation.

And a couple of weeks ago, this citizen published an equally schizophrenic "victory plan." Of course, neither the formula, nor the plan, nor the fantasies about the membership of Kiev-controlled Ukraine in either NATO or the European Union bring peace to Europe.

Stability in this part of the Eurasian continent will be achieved only if long-term, reliable security guarantees are provided. For example, in the form in which they were set out in our initiatives of December 2021 and were rejected by the West.
 
,👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💯✔️👍
 
Behind the curtain negotiation naona imebuma,
Ukraine na washirika waliomba kuwe na makubaliano ya kutoshambulia vyanzo vya nishati ya umeme, ukizingatia wanaingia kwenye winter season, Russia kaikataa
Kuwepo na cease fire kwa muda, nayo imekataliwa sababu Ukraine angeitumia ku regroup ukizingatia ana shortage ya man power na anaitaji enlist askari takribani 160,000
 
Jiulize pesa zingine zinaendaga wapi??

⚡President Zelensky blasts Western partners:

Ukraine received only 10% of the aid package voted for by Congress in 2024. It's not funny.

“Too much for what? We just want to live. Is that too much?” Zelensky responds to Western leaders criticizing his “Victory Plan” demands.
 

Attachments

  • d90ea1a6-25dd-45a5-b212-fcf97604b1c7.jpg
    11.9 KB · Views: 2
⚡Zelensky on Poland:

We asked Poland to protect at least Stryi (Lviv region) to protect the gas storage. Are the Poles shooting down missiles? No.

We also really wanted to get MiGs from Poland, but we were refused because they had "not enough" of them.

And without providing them to us, the Poles did not even dare to shoot down the missiles themselves.
 
Obvious, US hawezi kukubali, maana A.D zitakazotumika ni za kwake, ikitokea zika fail kuhit hizo missile reputation na market ya patriot itazidi kuharibika kama ilivyotokea kwa drones za mturuki

Na huo mji Russia hawezi kuuacha kutuma maana ndio receiving na entry point ya silaha za msaada kutoka Ulaya na training ya mercenaries
 
According to U.S. Secretary of State Antony Blinken, there are now approximately 10,000 North Korean soldiers in Russia, with about 8,000 stationed in the Kursk region. This assessment was shared after a meeting between U.S. and South Korean Defense and Foreign Affairs Ministers in Washington.

While the United States has not yet confirmed North Korean involvement in active combat, Blinken expects this could occur in the coming days. Reports indicate Russian forces are training North Korean troops in artillery use, anti-aircraft missile operation, and basic infantry tactics, signaling plans to deploy them on the front lines.

Blinken emphasized that if North Korean forces engage in hostilities or support operations against Ukraine, they would be treated as legitimate military targets. He described Russia’s outreach to North Korea as a “clear sign of weakness,” noting that Russian losses in eastern Ukraine have reached approximately 1,200 soldiers daily—the highest rate since the war began. This is the first instance in a century of Russia relying on foreign military support.
 
Wakati vita vinaanza zelensky alijidai yuko serious sana na vita hadi akawa habadilishi nguo vipi siku hizi baada ya kichapo bado habadilishi nguo?
Tangu alivoyachakaza majeshi ya Putin na kuyafukuza kutoka Kyiv kama mbwamwitu alianza kubadilisha nguo mkuu!
 
The Moscow Oil Refinery, now protected with anti-drone nets.

The nets were installed approximately at the beginning of October. This oil refinery is one of the largest in Russia. On September 1, a drone attack damaged one of its units.

Notably, local news outlets in Ufa reported yesterday evening on a drone attack targeting another refinery, where one of the drones reportedly got caught in a similar net.
 
North Korean troops are likely to suffer heavy losses in Ukraine, potentially exceeding those of Russia, Estonian Colonel Ants Kiviselg, head of the Estonian Defense Forces Intelligence Center, told the Estonian public broadcaster ERR on Nov. 1.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…