WWarusi
Warusi ni ndugu zetu kabisaa wajeeee tutawapokea kwa mikono miwili .
Bila kupata nguvu naiona kenya itakuja kutusumbua baadae
Warusi bado wanazidi kuchinjwa mkuuBaada ya ushindi wa Trump nahisi kuna mtu kashikwa na tumbo la kuhara maana si kawaida yake kukaa masaa zaidi ya 24 ajapost habari za positive kuhusu Ukraine