LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Putin alivyo muoga kajificha kwenye mahandaki tena chooni
Lee Van Cleef,
Lee Vladimir Creef
Maoni Huru.

Hebu wenyewe oneni komenti kama hii!
Mtu kama huyu ni Pro USA UkraiNato ukimjibu mtasema tumemfanya adui na tumeonesha makasiriko.
Sasa hoja kama hii hata Pro NATO wenzake wanaona aibu.
Hivi kweli Mwamba VVP baba mtakatifu wa vita mtu pekee alieweza kuwakalisha nchi zote za west zaidi ya 53 ndio anaweza kujificha chooni kwa sababu ya makombora sita yote yaliyotunguliwa?/
 
Putin anasubiriwa afanye kama anajikuna Ili wamgonbanie kama mpira wa kona
Hao wa kumgombania Urusi kama mpira wa Kona ni akina nani?wanatokea Sayari Gani?
Maana kama ni Hawa mnaowasubiri naona wao ndio wamechelewa kwa sababu mgogora wa Ukraine na Urusi unafanana kabisa na mgogoro wa Iraq,Yugoslavia na Libya ambapo hao unaowaamini wala hawakuitwa walienda wenyewe,Sasa huku Ukraine kawaita wee ili wapeleke jeshi lao, wamegoma kwenda,mwisho kakata tamaa.
Kawaomba waweke No fly zone wee wakamkatalia,
lakini juzi TU hapa walienda kumsaidia Israel kujaribu kuangusha makombora ya Iran yaliyokua yanaelekezwa Israel.
Kitu pekee wanachofanya ni kupigana wakiwa nyuma ya mgongo wa Ukraine.
Lakini kibaya zaidi hata huko Afghanistan wote walikimbizwa.
Kama hutaki shauri Yako.
 
Kim na Ayatollah wamsikiliza Russia. Umeona Israeli alishambulia tena Iran?

Hiyo ni kwasababu yaaminika Korea Kaskazini na Iran tayari wamefikia viwango vya kuweza kutumia bomu la nyuklia.
Mtasema wenyewe!
===
Kyiv says Russia has launched an intercontinental ballistic missile at Ukraine - it would mark the first attack from such a weapon in almost three years of war

BBC.
Hawa jamaa washangaza sana walimwengu, kwani wao wamemruhusu Zelensky atumie makombora yao na Russia kabeep tu wao mara wajawa na hofu.

Hofu ni ya nini?
 

Mkuu, tatizo hapa JF tupo watu wa aina mbalimbali ila wengi khasa hapa jukwaa la kimataifa wapenda sana kuleta mizaha.

Hivyo waelimishe usichoke tuna vijana wa Gz hapa.
 
Halafu hata tovuti ya wizara ya ulinzi ya Russia πŸ‡·πŸ‡Ί yaani hata habari ya shambulio hili hawajaiweka wala hawataki kuzungumzia chochoze zaidi ya mambo wanayoyaelezea kila siku.
Ndo vita ilivyo Putin yupo apata kahawa akicheza Chess.

Sasa katupa hiyo kete ya ajabu na nasikia warusi wenyewe wameidaka kabla haijavunwa na adui asiipeke maabara kuifanyia utafiti.

Mie niliwaambia jana Russia alikuwa akitayarisha mitambo na shughuli zake nyingi ni usiku mnene ndo hushusha mizigo.
 
Kama Putin ana hizo nguvu mnazo claim hapa anashindwa nini kuimaliza Ukraine na kuiondoa kwenye uso wa dunia??
Putin aongoza moja ya taifa kubwa duniani ni lazima aonyeshe ile yaitwa "responsible leader".

Putin na Russia wana nchi marafiki na kubwa duniani China, India, Mexico na Afrika Kusini wapo kuunda BRICS hivyo hawataki hitilafu.
 
Updates: Taarifa za kijasusi zatolewa na UK zasema mistari ya mbele ya mapambano ya Ukraine imezidiwa.

Taarifa hizo zadai kuwa jeshi la Ukraine limekuwa likipungua kadri ya siku zinavyozidi kusonga mbele na kwamba Russia sasa hivi lina jeshi kubwa kupita wakati alipoanzisha vita miaka miwili ilopita.

Majeshi ya Ukraine yamekuwa yakizidiwa na kuzidi kurudishwa nyuma katika jimbo la Donetsk ulioko katika mkoa wa Donbas upande wa mashariki.

Taarifa hizo zaendelea kujulisha umma kuwa majeshi ya Russia hadi leo yameishachukua miji ya Kupyansk, Chasiv Yar, Toretsk, Kurakhove na Vuhledar.

Mji wa Chasiv Yar ni moja ya miji ambayo nilisema yaenda kuchukuliwa na Russia katikati ya mwezi September mwaka huu.

Hali hii yaonyesha kwamba Russia imekuwa ikizidisha juhudi za kuchukua maeneo zaidi kabla ya utawala wa Marekani wa Donald Trump haujaanza kazi rasmi mara atapoapishwa mwezi Januari 2025.
 
Pres Putin's next actions are well thought out and calculated to teach not only Ukraine a lesson but the World about the strength of Russia would be my guess. He has shown himself a wise leader - Russia should be proud and confident.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…