Na hilo kapu anatembea nalo hadi kwenye vilabu vya pombe..... Hakuna wa kurukaUnaota baada ya shibe ya Ubwabwa maharage. Yaani akina Moldova na Estonia ndo waichakaze Rusia hadi China bila Marekani. Kwa habari yako NATO ndo Marekani, hakuna NATO nje ya Marekani. Siku marekani akisema anatoka NATO ndo imeisha hiyo. Marekani alichofanya ni kuyakusanya makoloni yake ndani kapu moja akaliita NATO.
Wasabatho Kwa kutunga story hamjambo!!Wanaodhani kuna super power mwingine ataibuka zaidi ya NATO kuitawala Dunia siku zijazo hasomi bibilia na tayari maandalizi ya NATO yamekamilika kwa asilimia kubwa.Ukisoma danieli sura ya 8 yote utapata majibu,Marekani itaangamia katika harakati za kuisimamisha NATO , Russia na China wataangamizwa kabisa na umoja wao utapotezwa kabisa,yataibuka mataifa manne ambayo ndiyo yatakua nguzo ya NATO kwa wakati huo mataifa hayo yatakua German,UK, Italy na France wakati huo USA itakua imeangamizwa katika vita kubwa baina ya NATO na mataifa yatakayoongozwa na Russia na China ,ila NATO itaibuka mshindi katika vita hivyo huku ukiwa imempoteza baba Yao mpendwa U.S.A maana atakua ameangamizwa vibaya ,China na Russia nazo zitafutiliwa mbali ,uchumi wa Dunia utaanguka vibaya,mamilion ya binadamu wataangamia kutokana na silaha nzito zitakazotumika kipindi hicho, NATO itakuja kuangamizwa na Yesu tuu pekee ,hakuna tena utawala utakaotawala baada ya NATO ,zaidi ya ufalme wa mbinguni.mwenye ufahamu na afahamu
Daniel alitoa unabii huo maelfu ya miaka kabla ya KristoNdio maana nimesema kutatokea maafa makubwa sana ambayo hayajawahi kutokea ,kasome Daniel sura yote ya kumi ila ukianzia 8 ndio utapata picha , Daniel aliona kondoo dume mwenye pembe ,(huyo kondoo anawakilisha mataifa yanayopinga ubeberu ,zile pembe mbili ni mataifa mawili ambayo ni China na Russia,)
Kondoo huyo ataelekea kuzikabili nchi za magharibi lakini Daniel anasema aliona beberu mkubwa mwenye pembe moja akitokea magharibi(beberu huyu anawakilisha NATO na ile pembe yake moja anayoitegemea ni U.S.A).Kisha beberu huyo atapambana na yule kondoo dume na atamshinda ,pamoja na kushinda atakua amepoteza ile pembe yake moja ambayo ni U.S.A hivyo NATO itashinda Vita dhidi ya China na Russia na washirika wao ila itampoteza U.S.A kwan atakua ameharibiwa kabisa na makombora ya nukes,NATO itazidi kujitanua kwa speed na kutawala dunia yote na maisha yatakua magumu sana maana Ulimwengu utakua umeangamizwa na makombora kwa sehemu kubwa.Soma Daniel yote 10.asiye amini na asiamini hulazimishwi kuamini
Mwisho wa Hili igizo ni nini? Maana naona no kama Vile Mambo ya missile kuongea zenyewe yameishia hewani ghafla sana...Tunaendelea na igizo letu!
US intelligence had warned that Russia may fire a second "Oreshnik" ballistic missile at Ukraine in the near future, likely in a continued effort to dissuade the West from providing further military assistance to Ukraine.
December 11, 2024, 5:30pm ET
Institute for the Study of War
This page collects ISW and CTP's updates on the conflict in Ukraine. In late February 2022, ISW began publishing daily synthetic products covering key events related to renewed Russian aggression against Ukraine.www.understandingwar.org
Ni wote kupata wanachokitaka (win win situation).Mwisho wa Hili igizo ni nini?
Walokole mna ujinga mwingi Sana🤔Wanaodhani kuna super power mwingine ataibuka zaidi ya NATO kuitawala Dunia siku zijazo hasomi bibilia na tayari maandalizi ya NATO yamekamilika kwa asilimia kubwa.Ukisoma danieli sura ya 8 yote utapata majibu,Marekani itaangamia katika harakati za kuisimamisha NATO , Russia na China wataangamizwa kabisa na umoja wao utapotezwa kabisa,yataibuka mataifa manne ambayo ndiyo yatakua nguzo ya NATO kwa wakati huo mataifa hayo yatakua German,UK, Italy na France wakati huo USA itakua imeangamizwa katika vita kubwa baina ya NATO na mataifa yatakayoongozwa na Russia na China ,ila NATO itaibuka mshindi katika vita hivyo huku ukiwa imempoteza baba Yao mpendwa U.S.A maana atakua ameangamizwa vibaya ,China na Russia nazo zitafutiliwa mbali ,uchumi wa Dunia utaanguka vibaya,mamilion ya binadamu wataangamia kutokana na silaha nzito zitakazotumika kipindi hicho, NATO itakuja kuangamizwa na Yesu tuu pekee ,hakuna tena utawala utakaotawala baada ya NATO ,zaidi ya ufalme wa mbinguni.mwenye ufahamu na afahamu
Kazi ya vijana wakakamavu wa rais zelensinky ni kuendelea kuwachinja tu warusi,hii ni Jana, zaidi ya elf Moja na miatatu walilambishwa mchanga 🥱 🥱 🥱 🥱 View attachment 3175282
Kursk ni wap vileNato rusheni basi mawe urusi mbona mmepoa??
Soon Kyiv inarushiwa dude lisilokamatikaOreshnik inatua lini Kyiv, kelele zimezidi jukwaani
Kule Povosk mapigano yapo kwenye viunga vya huo mji. Mji ambao una kiwanda kikubwa cha kuzalisha chuma na makaa ya mawe katika Ulaya Mashariki. Huenda mji huo ukaangukia mikononi mwa Majeshi ya Urusi wiki ijayo. Hii ni kwa mujibu wa Gazeti la Kyiv Independent.Kazi ya vijana wakakamavu wa rais zelensinky ni kuendelea kuwachinja tu warusi,hii ni Jana, zaidi ya elf Moja na miatatu walilambishwa mchanga 🥱 🥱 🥱 🥱 View attachment 3175282
Una source ya hii story?Kule Povosk mapigano yapo kwenye viunga vya huo mji. Mji ambao una kiwanda kikubwa cha kuzalisha chuma na makaa ya mawe katika Ulaya Mashariki. Huenda mji huo ukaangukia mikononi mwa Majeshi ya Urusi wiki ijayo. Hii ni kwa mujibu wa Gazeti la Kyiv Independent.
Nenda The Kyiv Independent utaiona Mkuu.Una source ya hii story?