Wanaodhani kuna super power mwingine ataibuka zaidi ya NATO kuitawala Dunia siku zijazo hasomi bibilia na tayari maandalizi ya NATO yamekamilika kwa asilimia kubwa.Ukisoma danieli sura ya 8 yote utapata majibu,Marekani itaangamia katika harakati za kuisimamisha NATO , Russia na China wataangamizwa kabisa na umoja wao utapotezwa kabisa,yataibuka mataifa manne ambayo ndiyo yatakua nguzo ya NATO kwa wakati huo mataifa hayo yatakua German,UK, Italy na France wakati huo USA itakua imeangamizwa katika vita kubwa baina ya NATO na mataifa yatakayoongozwa na Russia na China ,ila NATO itaibuka mshindi katika vita hivyo huku ukiwa imempoteza baba Yao mpendwa U.S.A maana atakua ameangamizwa vibaya ,China na Russia nazo zitafutiliwa mbali ,uchumi wa Dunia utaanguka vibaya,mamilion ya binadamu wataangamia kutokana na silaha nzito zitakazotumika kipindi hicho, NATO itakuja kuangamizwa na Yesu tuu pekee ,hakuna tena utawala utakaotawala baada ya NATO ,zaidi ya ufalme wa mbinguni.mwenye ufahamu na afahamu