maharage ya ukweni
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,415
- 3,213
Kilichonistusha hapa ni kwamba Russia baada ya kusema hivyo wakamlizia kwamba "Russia 🇷🇺 haikuhusika na hayo mazungumzo"Kumbe kulikua Kuna mazungumzo nyuma ya pazia
Assad agreed to step down following back-channel talks with unspecified armed groups and left the country, instructing officials to conduct “a peaceful transfer of power,” the Russian Foreign Ministry said on Sunday.
Jaribu tu kuunganisha dot kiutuuzima utaelewa