Trump atadumu miaka 4 tu madarakani ataondoka hivyo putin sio mpumbavu kiasi hicho eti avunje mipango kisa miaka 4 ya Trump.Russia kwa kusaidiana na BRICS ilikuwa imisha anza kuondoa USA kwenyw dominance yake,kama PUTIN atakuwa mjinga kiasi cha kukabiliana na Trump atakuwa ameangusha imani yote.
Cha muhimu,aendelee kupeleka moto huko Ukraine mpaka mashoga USA wawaondoe wanajeshi wao.
Kosa Kubwa analofanya zelensky ni kujibizana na Trump hadharani, Trump ni silence killer, ukimpanda kichwani tu, anakuonyesha ukubwa wa USA kwa vitendo, rejea rais wa mexico alivyokataa kupokea wakimbizi, show yake aliipataKuanzia March naona hakutakuwa free starlink networks, Hii maana yake Ukraine hatakuwa na rwal time satelite intel, artillery shells cordinates, drones perations
U.S hatouza silaha Ukraine, hii pia maana yake atakuwa na Patriots defence bila missiles, no Atacams na Artillery. Ni sawa na kuwa cripled
Naona baada ya kumjibu Trump, sasa wanamuonyesha demo
Itoshe kusema Zelensky hana hakili!Kuanzia March naona hakutakuwa free starlink networks, Hii maana yake Ukraine hatakuwa na rwal time satelite intel, artillery shells cordinates, drones perations
U.S hatouza silaha Ukraine, hii pia maana yake atakuwa na Patriots defence bila missiles, no Atacams na Artillery. Ni sawa na kuwa cripled
Naona baada ya kumjibu Trump, sasa wanamuonyesha demo
hakili = akiliItoshe kusema Zelensky hana hakili!
😂😂😂😂hakili = akili
Poa poa😂😂😂😂
Huwezi amini, sikugundua mpaka uliponirekebisha.
Ahsante sana!
Kwa kumbukumbu nzuri ngoja niiache hivyo hivyo!
Ukraine ni mafala tu
Kipanya kishaanza kuadimika humu, itakuwa anajiandaa kuhamia Israel kwa Netapusi!Kwani ki-rat anasemaje? Je, anakubaliana na hoja hizi?