LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
What happened in the Oval Office is unprecedented.

Zelenskyy is in major trouble now.

Trump hapendi kabisa kujibiwa kihivyo hususan na mtu ambaye anategemea msaada wake.

Ndo ubaya wa kuwa tegemezi huo.

Putin huko aliko anasugua mikono kama Birdman 🤣.
 
NATO , EUROPE , BIDEN ADMIN . WATAKUMBUKWA KWA HILI.

So far kuna interview kafanya Tucker Carlson na Jeffrey Sach , Jeffrey Sach anasema hii ilikua mipango ya marekani toka miaka ya tisini kwenda East kupitia Nato mpaka kuwafikia Warusi na lilikua suala la muda tu kubackfire - Na anaamini Trump anaweza weka mambo sawa kama ana nia ya kuweka mambo sawa, ila aliwaonya sana europe kua kumfata usa kwenye jambo hili litawacost hawakusikia, anaenda mbali na kusema yeye binafsi alimpigia kura Biden, ila alivoingia madarakani kwenye foreign policy , akaona dhahiri Biden hajazinduka kwani hizi mbinu haziwezi fanya kazi
 
Tofauti ya TRUMP na late MAGUFULI ni aina ya malezi waliokulia, wote wanafanana kwenye hulka ya mazungumzo.
==========
TRUMP TO ZELENSKY: YOU HAVE TO BE MORE THANKFUL

"I gave you the Javelins to take out all those tanks. Obama gave you sheets. You don't have the cards. With us, you have the cards, but without us you don't have any cards."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…