ikisimama panda
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 2,716
- 2,388
Lugha za namna hii binafsi hua zinanikera sana.Wachechnya wana balaa sana.... nadhani wameacha kutembea na 'vilainishi' sababu ya 'mfungo' π Otherwise wangesafisha 'mitaro' ya LGBTQ+
Bulgaria's recently adopted defense strategy identifies Russia as a significant threat to national security, and NATO and the European Union β as key guarantors of the nationβs interests
Hili jukwaa linakuzidi uwezo. Unatumia lugha yenye kuleta kinyaa bila sababu yoyote. Nadhani uandishi wa namna hii unatokana na malezi mabovu uliyopata utotoni. Nadhani lugha kama hiii ilikuwa ni sehemu ya maisha yako. Fanya jitihada ujikomboe. Jukwaa hili ni la great thinkers wenye hoja za maana, na si kutuletea lugha za uwanja wa fisi.Wachechnya wana balaa sana.... nadhani wameacha kutembea na 'vilainishi' sababu ya 'mfungo' π Otherwise wangesafisha 'mitaro' ya LGBTQ+
ππππTumia jicho la tatu: Wameenda kugawana madini adimu so wanamwambia mzee mbona umechukua peke yako?? Tunaomba utupe na sisi kidogo!
27 Feb, 2025 13:08
France wants in on US-Ukraine resource negotiations β minister
Defense chief Sebastien Lecornu has said that Paris has been in talks with Kiev since October over the latterβs mineralswww.rt.com
Hapa unaonekana huna akili weka idadi ya hasara au vifo vilivyotokea.Russia ni superpower ndo maana drone zote hizo hazijaleta madhara makubwa.Zaidi ya drones 300 ziliichakaza urusi Jana
Alafu tukisema urusi ni super power wa mchongo tunaonekana wakorofi
Seventy-four drones were shot down on approach to Moscow in the early hours of March 11, authorities claimed, marking the largest drone attack against Russia's capital during the full-scale war.Zaidi ya drones 300 ziliichakaza urusi Jana
Alafu tukisema urusi ni super power wa mchongo tunaonekana wakorofi
Hapa hazijapiga, zimenduguliwa kwahio ukijumlisha na zile 74, ukajumlisha na zile 300 zilizopiga. Ukrein karusha zaidi ya drone 700 Jana tu hizo kp kipanya44Urusi Leo kaipatapata fresh πππView attachment 3266573
Cool down zaidi ya drone 300 zimerushwa kwenye miaka 10 tofauti tofauti. Ila kati ya hizo 74 zilidunguliwa zikiwa njiani kuingia MoscowSeventy-four drones were shot down on approach to Moscow in the early hours of March 11, authorities claimed, marking the largest drone attack against Russia's capital during the full-scale war.
Hizi ni comment mbili za kwako, kwahio 300 zilipenya 74 , zikaangushwa?.
Shida ya Jeshi la Ukraine linafanya mashambulizi ambayo hakuna gain yoyote ya territory (kidogo walijitahidi Kursk). Wao wanashambulia kama mfa maji kama vile hawana malengo maalum. Wenzao Warusi wamepanga kwa kutumia akili wakapita katika bomba la kusafirishia gas na kuwazunguka. Hadi sasa Waukraine wakipigwa ambush hawana kwa kukimbilia maana wameshazungukwa kule Kursk. Warusi wakiwamaliza kule Kursk operesheni inayofuata ni kuteka Jimbo la Sumy ndani ya Ukraine.Cool down zaidi ya drone 300 zimerushwa kwenye miaka 10 tofauti tofauti. Ila kati ya hizo 74 zilidunguliwa zikiwa njiani kuingia Moscow