KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
They're always thinking about business, mining, weapons etc even before peace is established in the area.German defense company Rheinmetall is prepared to supply weapons for a potential international peacekeeping mission in Ukraine following the end of Russia’s war, the company's CEO, Armin Papperger, said on March 12, Deutsche Welle reported.
Hii ni ulongooo mtupuEuropean countries may launch "direct and immediate" strikes on Russian assets if a ceasefire is violated.
Urusi size yake ni Ukraine mkuu,huko uingereza unampeleka mbali mno hapawezi🏃🏃Bw. J. D. Vance Makamu wa Rais wa Trump aliwaambia Waingereza wasahau kuwa wanaweza kutunishana msuli na Urusi maana Urusi wako vitani kipindi chote cha maisha yao. Akasema Uingereza haijawahi pigana vita yoyote ya maana kwa muongo mmoja sasa. Hivyo ikijaribu itatiwa adabu.
Ngoja nikuwekee Link kabisa 🏃🏃🤩🥰Hii ni ulongooo mtupu
Walikuwa hawajapata sababu mkuu,mara hii watakuwepo wenyewe fieldKwa nini hawakumtia adabu hapo kabla?
Chihuahua country kama Finland itakaa kimya tuFinland has announced its 28th military aid package for Ukraine, valued at approximately 200 million euros ($217.4 million), the Finnish Defense Ministry said on March 13.
Putin amekubaliana na mapendekezo ya Marekani ya ceasefire ya siku 30.View attachment 3269419
Putini : sasha wewe ndiye mtu pekee kukupa chakula kupitia limeza hili kubwa kama ukuta wa china kwa sababu nakuheshimu sana.
Sasha : unewabakishia hao wawakilishi wa marekani waliokuja kutembea.
Putini: sasha, sasha nakwita mara nne kama mlio wa jogoo, tule kwanza ndipo tuzungumzie habari za marekani na ukraine.
Sasha: ni kweli kaka mdogo, hata wao wanasema uamuzi upo kwako.
NB:
Sasha ndiye lukashenko
Ameyakataa kwa lugha ya diplomasia, kwa sababu mapendekezo yapo utupu.Putin amekubaliana na mapendekezo ya Marekani ya ceasefire ya siku 30.
1. Russia will negotiate the next steps to end the conflict and reach acceptable agreements based on the situation on the ground" - PutinPutin amekubaliana na mapendekezo ya Marekani ya ceasefire ya siku 30.
Kwanini hawatumii ndege vita kuumaliza mchezoWazee wa pipeline!Ukiwaangalia unajua wazee wa kazi!
View attachment 3269069
View attachment 3269071View attachment 3269073
Lilikuwa ni suala la unatoa au utoi!? Hawezi kummvibia kaka mkuu USAPutin amekubaliana na mapendekezo ya Marekani ya ceasefire ya siku 30.
Bado trump anaishi kwenye miaka ya 80 wanadhan bado usa wananguvu hapoU.S. President Donald Trump has declined to comment on whether he plans to speak with Russian President Vladimir Putin but warned that Russia would face "devastating" consequences if it does not agree to a ceasefire.
Ingawa ameweka condition za kufikiwa hiyo ceasefire ambazo kama zikitelezwa zitamwacha hoi Ukraine.Lilikuwa ni suala la unatoa au utoi!? Hawezi kummvibia kaka mkuu USA
Ukisoma between the line amekataa kwa sura ya diplomasia, kwa sababu huo mpango wenyewe haujitoshelezi kimkakati.Lilikuwa ni suala la unatoa au utoi!? Hawezi kummvibia kaka mkuu USA