Umesoma vyanzo kutoka NORTH KOREA au WESTERN MEDIA???Soma acha porojo, tatizo hamtaki kusoma ila mnapenda tu ushabik.
ICBM ndio niniii...???India, Russia, the United States, China, the United Kingdom and France are the only countries that have operational ICBMs.
Nchi zinamiliki ICBM
Hakuna vita laini huyo,huyo kuku ukimchinja ushakata shingo atakimbia sembuse wa Ukraine. Hakuwa na busara rais
Kwenye historia yooote ya URUSI hakuna vita wamewahi shindwa? unazungumzi toka mwaka gani mpaka mwaka gani kwa mfano? kwa mfano hii vita inaitwa "first chechen war" alishinda au alishindwa? na hii "soviet-afghan war" urusi alishindwa au alishinda? na hii spanish civil war urusi alishindwa au alishinda?Urudi chini ya Putin, wamepigana Vita 7 na zote wameshinda.
In fact kwenye hostoria yote ya vita vya urusi... HAWAJAWAH KUSHINDWA.
Ni suala la muda , serikali ya Kyiv alichofanya ,nikuweka Majeshi mengi kwenye mji mkuu, ndio sababu Urudi wanapata shida .
Ila lazima watoboe..... Urudi keshapigwa vikwazo, hana tena cha kupoteza, ni kupiga tuu.
Yaan nikm Tundu Lissu alivyopigwa Risasi alafu akapona .
Mabomu ya kurusha kwa mkono
Hakika ndugu yangMuda ni Mwl. mzuri.
Tusubiri.
Huyo mwanamama, HATOKAA KUA RAIS WA BELARUS .Sviatlana Tsikhanouskaya mwanaharakati wa Belarus anafanya mobilization afanye mapinduzi amuondoe Alexander Lukashenko aliyepitisha majeshi ya Urusi kwake kuingia Ukraine.
Kuna raia 50 wa Belarus wamejitolea kuipigania Ukraine wako frontline. Urusi inaonekana haijatumia wanajeshi wazoefu imeleta wengine ni drafted
Inter Continental Ballistic Missiel
Tatizo letu ni chumvi ili tuonekane tunajua. Kuna mmoja katoka kunikasirikia hapa kwa kumcheka habari zake alizozijaza madoido utadhani yeye ndo anatoa maelekezo kwa puttin.Oyaa acha hizo basi... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yaan wewe ujue huo mpango na URUSI wasijue??
Military Transport PlaneAn 26 ni Nini?
Bado unaamini kuna UN? UN na USA ni kama vile bunge la tz na serikali ya tzAisee UN Charter mbona iko wazi sana? Kuvamia nchi ni kosa. Kwa mfano Marekani ilipovamia Iraq ilifanya kosa, Iraq ilipovamia Kuwait ilifanya kosa, Iraq ilipovamia Iran ilifanya kosa, n.k. Putin alipovamia Ukraine amekiuka UN Charter. Kama kuna matatizo au migogoro baina ya nchi yanatakiwa yapelekwe UN yajadiliwe na yasuluhishwe. Ndiyo sababu ya UN kuundwa.
Hatuna vikwazo vya uchumi, tunatembeza bakuli kupata pesa ya kuchimba matundu ya choo. Tukiwekewa vikwazo tutakunya polini mpaka kiamaYaan TZ tunamzidi NORTH KOREA?? are you serious mkuu?? Sisi tunaweza kujiendesha bila misaada??
Kati ya kutembeza bakuli na kujitegemea bora kipi [emoji23][emoji23][emoji23]Bado unaamini kuna UN? UN na USA ni kama vile bunge la tz na serikali ya tz
Hatuna vikwazo vya uchumi, tunarembeza bakuli kupata pesa ya kuchimba matundu ya choo. Tukiwekewa vikwazo tutakunya polini mpaka kiama
Vikwazo vitaumiza zaidi watu wa mjini. Huko vijijini weshazoea maji ya visima na kuhifadhi vyakula baada ya kuvuna.Hatuna vikwazo vya uchumi, tunatembeza bakuli kupata pesa ya kuchimba matundu ya choo. Tukiwekewa vikwazo tutakunya polini mpaka kiama
Hapo kwa N.KOREA kuna usiri mkubwaNi kweli Urusi ina Nguvu kubwa Sana za Kijeshi Tena Sana. Lakini hawezi hata siku moja kuthubutu kutumia kombola la Nyuklia kwenye Vita. Kombola la Nyuklia ni kwa ajili ya Duterrence(Kutishia). Kinachosababisha mpaka Sasa NATO washindwe Kuingia vitani kuisaidia Ukraine ni kwasababu Russia ana Nyuklia Waepons ambazo zikitumika Basi NO WINNER,All are LOSSERS.
Urusi ina Makombora 7500 ya Nyuklia kwa takwimu za NIT. Makombora 2500 yako tayari kufyatuliwa kuelekea Endeo lolote Lile Duniani litakapotumwa. Marekani ina Miji mikubwa 358 na Majimbo 54. Kombora Moja linaugeuza mji kuwa Majivu kabisa. Kama Mrusi akituma Makombora yote 2500 kuelekea Marekani,Basi ndani ya dakika 30 hakutakuwa na USA Duniani.
Kwa Upande Mwingine,Marekani ina Makombora ya Nyuklia 6800. Kati ya hayo, 3500 yako tayari kufyatuliwa ndani ya Dakika 5 wakipokea Order na Direction ya kuyafurumusha. Urusi ina Miji mikubwa 43. Endapo USA akiona Russia kashatuma Makombora Yake kuelekea Marekani na hakuna jinsi Basi ndani ya Dakika 5, Makombora 3500 ya Marekani yatakuwa njiani kuelekea Urusi kuteketeza Miji 43,Ndani ya Nusu saa hakutakuwa na Urusi Tena. Hiyo inaitwa MUTUAL ASSURED DESTRUCTION(MAD).
Haya Sasa,Tuseme wewe ni Raisi wa Russia,utarusha hayo Makombora kuelekea Marekani au utafanya juhudi za majadiliano?
Mwishoni mwa Vita baridi kabisa (1988) Nchi za Marekani na Urusi Zilikuwa na Akiba ya Makombora 127,000 (Laki moja na elfu ishirini na Saba). Kati ya hayo, 58,000 ya Urusi na 69,000 ya USA. Embu fikilia. Kombora Moja linafuta mji mmoja wa Dar. Je,Dunia ina Miji 127,000? Jibu ni Hapana.
Kwahiyo ndugu yangu usiwe na tempa unapokuwa unachangia hizi maada,tumia Logic utaelewa tu.
Urusi na Marekani wanajuana,wakikutana Anga Furani Kila mmoja anaangalia Nani anamaslahi makubwa na anamwachia ili kuepusha Vita.
Georgia Mwaka 2008 Marekani hakuingiza mguu kusaidia Nchi hiyo dhidi ya Uvamizi wa Russia kwasababu Marekani anajua hapo Russia ana maslahi Makubwa.
Iraq mwaka 2003 Russia hakutia Mguu kwasababu Marekani alikuwa na Maslahi Makubwa.
Libya mwaka 2011 Russia hakutia Mguu kwasababu USA alikuwa na Maslahi Makubwa.
Venezuera Marekani aliogopa Msululu wa wakimbizi kumiminika nchini Marekani hata Kama angeliamua Vita Urusi angelipisha Coz pale ni Maslahi Makubwa ya kiusalama kwa USA.
Syria pale Wote Urusi na USA wanamaslahi na ndio maana mpaka Sasa wameigawana kijanja. Urusi inamhitaji Assad kwasababu Anamdai pesa ndefu. Marekani anahitaji Mafuta ndio maana mpaka leo Majeshi ya Marekani yapo Syria kulinda Visima vya Mafuta.
Kuhusu Ukraine,hata Marekani anajua kabisa Maslahi ya Urusi ni Makubwa kwahiyo lazima akae pembeni. Atashiriki tu kijanja lakini sio moja kwa moja.
Kuhusu NORTH KOREA,Yeye Ana Mabomu 10 TU ya Nyuklia kwahiyo hata akiacha atupe Mabomu yake Marekani atateketeza Miji 10 ya Marekani Kati ya 358. Kwa upande mwingine,NORTH KOREA ana miji 7 Mikubwa. Marekani akituma Makombora Yake ya Nyuklia 3500 nadhani unaona kabisa Makombora Mengine hayana pa Kupiga kabisa.
MTz 255Dar.
Kuwa smart minded person bhasi, hapa tunaongelea Finland,Sweden na Poland as Ukraine hakuwa member yet ingawa alishatuma maombi. Sasa wewe unaleta habari zingine zenye taarifa na sababu nyingine za uvamizi.Walivyoingia iraq na libya hao ni wanachama wa NATO?
Humu ndani kuna wachambuzi hadi unaogopa, yaani unajiuliza watu kama hawa kwanini hawapo JWTZ. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tatizo letu ni chumvi ili tuonekane tunajua. Kuna mmoja katoka kunikasirikia hapa kwa kumcheka habari zake alizozijaza madoido utadhani yeye ndo anatoa maelekezo kwa puttin.
Kuna mipaka yetu ina matatizo madogo madogo ,wanajeshi wanatumia nguvu kuhakikisha tupo salama. Hawa wataalam inabidi max asaidie watambulike kuisaidia nchi kimkakati.Humu ndani kuna wachambuzi hadi unaogopa, yaani unajiuliza watu kama hawa kwanini hawapo JWTZ. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ngoma si rahisi Kama unavyodhani jionee hapaHawa Ukraine hawatakiwi kuongea
Kwanza wanapata wapi muda wa kuongea, hapo kufanya vitendo tu, na sio kuongea huku Putin anazidi kusogea