LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Tafadhali naomba ufunguke vizuri. Umeongea vitu vizito sana vya kiroho na hivyo inabidi uviweke wazi ili tuweze kuelewa na hiyo ndiyo itakuwa faida kwako na kwetu pia. Tafadhali naomba utufanunulie vizuri maelezo yako haya, yako kitaalamu mno kiroho!
Hahahahh atufafanulie kiroho
 
ndo hivyo sio kitu kipya kwake, ndio maana alisema iwe akivamia au asipovamia wale jamaa wakitaka kuweka vikwazo wataweka tu kwahio waendelee na 50 zao na yeye 50 zake
Hakunaga mshindi kwenye vita. Eukraine inapoteza, Russia inapoteza. Wale ni ndugu ilitakiwa wasikilizane. Unakosaje ushawishi kwa jirani yako mwenye historia moja na wewe mpaka unamvamia na kuuwa raia wake ambao kihistoria ni warussia wenzako tu?
 
Dah! Nimecheka kama mazuri!

Aisee NATO sio watu wale yani wamemsusa jamaa kabisa

Ukraine ready to discuss neutrality, Zelensky says​

The Ukrainian president says Kiev has been left to fend for itself as NATO is “afraid” to give it any guarantees
Ukraine ready to discuss neutrality, Zelensky says

File photo: Ukrainian President Volodymyr Zelensky, February 14, 2022. [emoji2398] AP Photo/Efrem Lukatsky
Accusing the West of leaving Ukraine to face Moscow alone, President Volodymyr Zelensky said on Friday he was not afraid to negotiate an end to the Russian “invasion,” but would need security guarantees to do so.
Speaking in the early hours of the morning from Kiev, Zelensky said he had reached out to “partners” in the West to tell them that Ukraine’s fate was at stake.
“I asked them – are you with us?” Zelensky said. “They answered that they are with us, but they don’t want to take us into the alliance. I’ve asked 27 leaders of Europe, if Ukraine will be in NATO, I’ve asked them directly – all are afraid and did not respond.”
“We were left by ourselves. Who is ready to go to war for us? Honestly, I don’t see anybody. Who is ready to give Ukraine guarantees of NATO membership? Honestly, everybody is afraid,”
the president added.
Russia sent troops into Ukraine on Thursday, with President Vladimir Putin declaring a special military operation to “demilitarize and denazify” the country. Moscow has since told Kiev that it would consider negotiating with the Zelensky government if it agrees to discuss neutral status for the country, among other things.
In an address on Friday, Zelensky said he is open to talking about the possibility of a neutral status for Ukraine, but insisted that his country needs third-party guarantees.
“We are not not afraid of Russia, we are not afraid to talk with Russia, talk about everything: security guarantees for our country and a neutral status. But we are not in NATO now – what security guarantees will we have? Which countries will give them?” he said, before adding that there should be talks to bring an end to the Russian military offensive.
Kremlin spokesman Dmitry Peskov said on Thursday that “neutral status and rejection of hosting [offensive] weapons systems” are Putin’s “red lines” for Ukraine and that the ball was now in Kiev's court.
You can share this story on social media:
  • 264

  • 1
 

Ukraine ready to discuss neutrality, Zelensky says​

The Ukrainian president says Kiev has been left to fend for itself as NATO is “afraid” to give it any guarantees
Ukraine ready to discuss neutrality, Zelensky says

File photo: Ukrainian President Volodymyr Zelensky, February 14, 2022. © AP Photo/Efrem Lukatsky
Accusing the West of leaving Ukraine to face Moscow alone, President Volodymyr Zelensky said on Friday he was not afraid to negotiate an end to the Russian “invasion,” but would need security guarantees to do so.
Speaking in the early hours of the morning from Kiev, Zelensky said he had reached out to “partners” in the West to tell them that Ukraine’s fate was at stake.
“I asked them – are you with us?” Zelensky said. “They answered that they are with us, but they don’t want to take us into the alliance. I’ve asked 27 leaders of Europe, if Ukraine will be in NATO, I’ve asked them directly – all are afraid and did not respond.”
“We were left by ourselves. Who is ready to go to war for us? Honestly, I don’t see anybody. Who is ready to give Ukraine guarantees of NATO membership? Honestly, everybody is afraid,”
the president added.
Russia sent troops into Ukraine on Thursday, with President Vladimir Putin declaring a special military operation to “demilitarize and denazify” the country. Moscow has since told Kiev that it would consider negotiating with the Zelensky government if it agrees to discuss neutral status for the country, among other things.
In an address on Friday, Zelensky said he is open to talking about the possibility of a neutral status for Ukraine, but insisted that his country needs third-party guarantees.
“We are not not afraid of Russia, we are not afraid to talk with Russia, talk about everything: security guarantees for our country and a neutral status. But we are not in NATO now – what security guarantees will we have? Which countries will give them?” he said, before adding that there should be talks to bring an end to the Russian military offensive.
Kremlin spokesman Dmitry Peskov said on Thursday that “neutral status and rejection of hosting [offensive] weapons systems” are Putin’s “red lines” for Ukraine and that the ball was now in Kiev's court.
You can share this story on social media:
  • 264

  • 1
NATO ni wapuuzi lakini Ukraine ni mpuuzi zaidi,anaweka ushirika na watu ambao hawako tayari ku guarantee security yake?

Upuuzi huu anafanya Japan,Korea Kusini na wajinga wengine,wasipojifunza kwa hili la UKraine itakula kwao one day.

Staili anayotumia Israel ndio nzuri,unakuwa na ushirika na Marekani lakini pia unakuwa na uwezo wa kujihami mwenyewe.
 
WAKRISTU duniani wanataka UKRAINE ilindwe bila vita, WAISLAMU duniani wanashabikia URUsi iipige ukraine na kuiangamiza, ni ipi dini bora? wapagani wafuate dini ipi?

ipi inataka amani na upatanisho, madhehebu hayo kwa Afrika Mashariki hayajaonyesha mrengo wowote.
hii Analysis umeitoa wapi?
 
mdogo wangu nyani na wewe umeingia mtego wa "maamuma"? unashabikia nchi huru kuvamiwa?
MAREKANI KWA MIAKA 300 ya uhuru imewahi kuiteka nchi na kuifanya sehemu yake? Iraq , Libya, somalia zimechukuliwa na kufanywa sehemu za USA?

URUSI wanavamia na kuteka nchi na kuzifanya sehemu zake, wewe upo hapo?

tatizo la Tz utapiamlo wa akili.
Unadhani zile states zaidi ya 50 kazipata kwa mikataba ya mahakamani
 
Nani huwa anapanga viwango vya FIFA, huwa ni timu husika inajipanga? Nani huwa anapanga matajiri duniani, ni mtu husika badala ya taasisi kama Forbes, nani anapanga nchi zenye uchumi, umaskini, maradhi, njaa, GDP. Nani anayethibitisha mgonjwa anaumwa kansa ya damu, mifupa au mapafu, kwamba ni mgonjwa mwenyewe?

Unaandika as if Russia wako Mars au uwezo wa kijeshi ni viazi vinachimbwa chini havionekani
Kwa hiyo mkuu military secrets can be obtained anywhere and anyhow?
 
Hahahahh atufafanulie kiroho
Anaonyesha dhahiri kabisa kuwa kuna kitu kikubwa cha kiroho anachokijua lakini kwa bahati mbaya ameamua kuki-withhold. Possibly kwa sababu vya kiroho huwa havina emperical evidence; kwa hiyo ameamua kuki-withhold kukwepa maswali ya wale ambao wanajua sayansi peke yake halafu huku kwingine wako NIL
kissa anyigulile
 
Back
Top Bottom