LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
International court prosecutors kumfungulia case ya mauaji Putin na kuanzisha vita na nchi nyingine bila sababu yoyote .
573FB09A-883E-4493-9F77-65D55EF951FD.jpeg
573FB09A-883E-4493-9F77-65D55EF951FD.jpeg
573FB09A-883E-4493-9F77-65D55EF951FD.jpeg
A160FD39-3D88-4790-90C7-BEE58103B1C1.jpeg
62395939-6DBD-4F08-A85F-0A31EC3652F4.jpeg
 
Kina Bhachchan (wahindi) wamewaomba raia wao wote waliopo Kyiv kuondoka mji huo, hali ni mbaya sana leo. Yaani Putin anawapelekea moto mkali mnooo!

 
Ukimkosea mkubwa wako unapigwa tu, just that. Putin is a strong man, he's made Russia a very strong nation. Hata huyo mmarekani na unable wake hawezi pigana na mrusi bila allies wake, manake lazima aungwe mkono na Germany, France na UK ndio alianzishe.
 
Lengo kubwa ni sababu za kiusalama kwa Russia,
lkn pia ikumbukwe kuwa hawa jamaa hawajakurupuka tu na kuanza kushamburia au kuingia kijeshi Russia ni moja kati ya nchi kubwa na zilizo endelea kitechnology hivyo wameweza kutambua mipango kabla haijatekelezwa
Mmmm eti kiusalama kwa lipi hasa ?
 
Wameshaketi pande zote mbili kikao tujadiliana na vita imeshasimama kwahy muda wowote vita inaisha
 
Kama iraq walisingizia kuwa na silaha za nyuklia na wakapigwa

Ukraini nae tunamsingizia kibri kwa mkubwa wake acha achakazwe kwanza suala la sababu litakuja jadiliwa baada ya kichapo
 
Dogo kazidi jeuri kwa kaka so acha kwanza apewe adhabu, akili imkae sawa..!
 
Hajamaliza kazi tu Putin? Bado yu ngali apiga?
 
Yes

Duuuh acheni ushabika wa maandazi basi tufanye comparison ya nuclear warheads baina ya nato versus russia
Russia ana nuclear war heads 6255
Usa 5558
Ufaransa 290
Uk 230
Israel 90
Yaan ukichukulia idadi yote ya nuclear aliyonayo mrusi kwa kulinganisha na nato na washirika bado kawazid parefu tu.
Tukisema tuweke na wachina hapo na north korea basi nato wanapigwa mchana kweupe.
Kuna wafuasi humu tumewasikia kuwa eti georgia ilimpiga urusi daah.kwanza tulale zetu maana tunakumbuka kisago kilichotembezwa mpaka nchi ya georgia ikapoteza majimbo yake mawili
Mkuu kwa vile mataifa makubwa na yenye nguvu yaliingia mkataba wa kusitisha utengenezaji wa silaha za nyuklia. Basi usitarajie au kufikiri kuwa Marekani na washirika wake hawakutengeneza tena (kinyemela) silaha hizo. Mmarekani sio mjinga wa kukubali kushindwa silaha hizo na Urusi, ni lazima atakuwa na zingine ambazo idadi yake wanajua wenyewe. Ila pia hata Urusi analijua hilo, kwahiyo huenda na yeye anatengeneza zingine kimya kimya. Nnachomaanisha hapa ni kwamba hizi taarifa kuhusu silaha hizo ni za kisiri zaidi, kilichofanyika hapo ni kila mmoja kuilisha matango pori dunia, ila uhalisia wanaujua wenyewe.
 
Waziri wa mambo ya nje wa Russia amesema nchi yake sasa inataka kuwajua marafiki zake wa kweli.
Amesema Ulaya ni Himaya ya Waongo wanaounga mkono Unazi mamboleo huko Ukraine.

Hali inazidi kuwa tete.

Sidhani Afrika kama tunahusika na huo utambuzi.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom