Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
We mduanzi,UngeSoma the telegraph wanasemaje badala ya kuongea kuongea kitu usichoelewa.Vipi bangi yako ya chooni imekaa mda gani kichwani!?
KAma hujaelewa omba kutafsiriwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mduanzi,UngeSoma the telegraph wanasemaje badala ya kuongea kuongea kitu usichoelewa.Vipi bangi yako ya chooni imekaa mda gani kichwani!?
Russia kasema no fly zone in Ukraine ni kichocheo cha vita haraka haraka wakasitisha mpango huo, kasema nchi yoyote kuingia Ukraine naye ni mshirika haraka haraka wengine wameamua kuwa neutral. Unataka awe na ubavu gani mwingine zaidi ya huo?Ukraine ipi ...!!!Russia huo ubavu Hana
Halafu vita inakwenda pia na bajeti , Putin kapeleka majeshi kuvamia bila ya bajeti.Ona huyu naye..et operation ndogo , Raisi ametangaza ni full scale invasion alaf unasema operation ndogo , ?? Russia uwezo mdogo full stop ...case closed, now kaomba real combat imetokea ni mda wa kutuaminisha sasa
somalia imeshika unadhani al shabab wanatokea wapiHueleweki..wanawazuia kivip si umesema Russia imeshika nchi wanajesh wa Ukraine wanatokea wapi ss? somali imeshika inchi
Hahahha...nchi inayolisha ulaya nzima ishindwe kulisha watu 30,000?Halafu vita inakwenda pia na bajeti , Putin kapeleka majeshi kuvamia bila ya bajeti.
Wanajeshi wa Russia wapo Frontline huku Wana Stave.Muda si mrefu wataanza kupora vyakula vya raia wa Ukraine 😂😂😂
Kwani US alimpiga Iraq siku moja, unadhani kuivamia nchi ni kutype kwa keyboard yako hapo. Naona unakuwa yule msemaji wa Iraq Muhammad Saeed al-Sahhaf...anatandikwa huku anasema tunawamaliza wamarekani.Ona huyu naye..et operation ndogo , Raisi ametangaza ni full scale invasion alaf unasema operation ndogo , ?? Russia uwezo mdogo full stop ...case closed, now kaomba real combat imetokea ni mda wa kutuaminisha sasa
Nimekuuliza swali nijibu basi mwanangu. Umeshawahi kuvuta bagi ukiwa chooni!?We mduanzi,UngeSoma the telegraph wanasemaje badala ya kuongea kuongea kitu usichoelewa.
KAma hujaelewa omba kutafsiriwa!
Mimi nawaonea huruma sana wakazi wa Kiev wanaojifanya wanapigania nchi bila mafunzo na target kubwa ya Russia ni Kiev akiingia hapo Putin atatumia ushauri wa magenerali wake waliomshauri kuipiga Ukraine kwa kipigo kizito sanaMna ushabIki wa kindezi sana nyie watu. Mnachukulia operations za kijeshi kama siasa na Samia na Mbowe. Huoni kama Ukrainian forces wanawazuia watu wasiondoke ili kuweka chambo ya kujilinda na Russia, hadi Jana almost 1.5m wameondoka nchini kama wakimbizi, nyie mnadhani Ukraine ipo salama sana.
Ingekua hivyo basi na sisi tungesurrender kipindi kile Iddi Amin dada amevamia na kumega kule eneo la kagera
Tena alitumia miezi mingi kuipiga nchi inayoingia Mara 10 ya ukraine. Iraq haikuwa na jeshi kubwa, Iraq alitengwa na dunia nzima, Iraq hakuwa na silaha zaidi ya mabomu ya kurusha kwa mkono na bunduki za kukoki. Russia anapambana na nchi yenye jeshi la tatu kwa ubora ulaya nzima, jeshi lenye dhana na vifaa vya kisasaKwani US alimpiga Iraq siku moja, unadhani kuivamia nchi ni kutype kwa keyboard yako hapo. Naona unakuwa yule msemaji wa Iraq Muhammad Saeed al-Sahhaf...anatandikwa huku anasema tunawamaliza wamarekani.
Mzee hawa wameamua kujiondoa ufahamu. Itabidi uwashughulikie kwa kadili ya akili zao.Inaoneokana ubongo wako haufanyi kazi vizuri mkuu
Maana yeye ange angeachana na kutumika na NATO haya yasingetokea? Hakuwa amevamiwa mkuu
Umeishia la ngap ? Mzungu Hana akili ndogo kama zako Mzee , au za babu yako Putin , huyo Russia akianza kufyatua silaha ovyo ovyo madhara yake ni makubwa , hata Korea kaskazini akiamua afyatue silaha zake ovyo ovyo madhara ni makubwa , na sio kwamba wengine hawana silaha wanazo , Ila makelele kama ya Putin ndo hawana , watu wanajua madhara ya vita , hakuna haja ya kutanua globe scale of war Kwa sababu ya mjinga mmoja , walishajionea Kwa Hitler with a terrible resolve , ....!! Ni kweli Ukraine ni mbuzi wa kafara , hata hvyo kupitia maumivu ya Ukraine ndo yatammaliza huyo Babu bila kuleta madhara kwingine, atachapika economically, politically, millitary and socially....!!Russia kasema no fly zone in Ukraine ni kichocheo cha vita haraka haraka wakasitisha mpango huo, kasema nchi yoyote kuingia Ukraine naye ni mshirika haraka haraka wengine wameamua kuwa neutral. Unataka awe na ubavu gani mwingine zaidi ya huo?
Kama NATO wenyewe ambao wapo jirani na Urusi wamefanya tathmini na kuona matokeo ya kuingia Ukraine kichwa kichwa kutengeneza vita kubwa sana nashangaa mkazi mmoja wa nanyumbu anapingana na hofu waliyonayo wahusika. Kweli Tanzania ina kila kundi la watu
Wapo nje kidogo ya mji mkuu ,Ukraine jana ilikuwa inasema kwamba Urusi inauzingira mji huo na wenda wana jiandaa kufanya ambush ya nguvu.Nakumbuka siku ya kwanza tulitangaziwa majeshi ya urusi yameteka uwanja wa ndege mji mkuu kiyv,lakini baadae tukaambiwa huo uwanja umerejeshwa uthibi wa majeshi ya ukrain,naomba kujua hatima ya wanajeshi wa urusi waliondoka huko au ilikuwaje
Unaishi dunia ya ngapi kijana!?Umeishia la ngap ? Mzungu Hana akili ndogo kama zako Mzee , au za babu yako Putin , huyo Russia akianza kufyatua silaha ovyo ovyo madhara yake ni makubwa , hata Korea kaskazini akiamua afyatue silaha zake ovyo ovyo madhara ni makubwa , na sio kwamba wengine hawana silaha wanazo , Ila makelele kama ya Putin ndo hawana , watu wanajua madhara ya vita , hakuna haja ya kutanua globe scale of war Kwa sababu ya mjinga mmoja , walishajionea Kwa Hitler with a terrible resolve , ....!! Ni kweli Ukraine ni mbuzi wa kafara , hata hvyo kupitia maumivu ya Ukraine ndo yatammaliza huyo Babu bila kuleta madhara kwingine, atachapika economically, politically, millitary and socially....!!
Ukrainian air defence imekuwa mwiba mkali Kwa russian airforce , multiple russian skilled fighter pilot wamekamatika , kwenye modern warfare ukishindwa kutawala anga , hamna kitu utafanya, hayo ma vifaru ya Russia hamna kitu , labda kuharibu maghorofa ya watu tu mjini
Twambie kwanza Marekani na washirika wake zaidi ya 10 walitumia muda gani kuiteka Iraq.Umeishia la ngap ? Mzungu Hana akili ndogo kama zako Mzee , au za babu yako Putin , huyo Russia akianza kufyatua silaha ovyo ovyo madhara yake ni makubwa , hata Korea kaskazini akiamua afyatue silaha zake ovyo ovyo madhara ni makubwa , na sio kwamba wengine hawana silaha wanazo , Ila makelele kama ya Putin ndo hawana , watu wanajua madhara ya vita , hakuna haja ya kutanua globe scale of war Kwa sababu ya mjinga mmoja , walishajionea Kwa Hitler with a terrible resolve , ....!! Ni kweli Ukraine ni mbuzi wa kafara , hata hvyo kupitia maumivu ya Ukraine ndo yatammaliza huyo Babu bila kuleta madhara kwingine, atachapika economically, politically, millitary and socially....!!
Ukrainian air defence imekuwa mwiba mkali Kwa russian airforce , multiple russian skilled fighter pilot wamekamatika , kwenye modern warfare ukishindwa kutawala anga , hamna kitu utafanya, hayo ma vifaru ya Russia hamna kitu , labda kuharibu maghorofa ya watu tu mjini
Hawa pro US wanachojisahaukisha hapa ni kuwa huyo NATO amekataa kabisa kuingiza majeshi yake kupambana dhidi ya Russia, Ukraine na huyo Zelencky wameomba sana kujiunga NATO kwa dharura na wamepigwa pini, unadhani wao no wajinga? Germany na ubabe wake wote hajigusi kwa vile ana maslahi makubwa kwa Russia, kifupi wao wataongea tu na kuweka vikwazo lakini hutaona hata mmoja wao kujiingiza moja kwa moja kupambana Russia.Tena alitumia miezi mingi kuipiga nchi inayoingia Mara 10 ya ukraine. Iraq haikuwa na jeshi kubwa, Iraq alitengwa na dunia nzima, Iraq hakuwa na silaha zaidi ya mabomu ya kurusha kwa mkono na bunduki za kukoki. Russia anapambana na nchi yenye jeshi la tatu kwa ubora ulaya nzima, jeshi lenye dhana na vifaa vya kisasa