LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
On the evening of March 5, the Russian armed forces hit 61 military infrastructure facilities of the Ukrainian troops with a massive strike, the Russian Defense Ministry said.

SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Umeishia la ngap ? Mzungu Hana akili ndogo kama zako Mzee , au za babu yako Putin , huyo Russia akianza kufyatua silaha ovyo ovyo madhara yake ni makubwa , hata Korea kaskazini akiamua afyatue silaha zake ovyo ovyo madhara ni makubwa , na sio kwamba wengine hawana silaha wanazo , Ila makelele kama ya Putin ndo hawana , watu wanajua madhara ya vita , hakuna haja ya kutanua globe scale of war Kwa sababu ya mjinga mmoja , walishajionea Kwa Hitler with a terrible resolve , ....!! Ni kweli Ukraine ni mbuzi wa kafara , hata hvyo kupitia maumivu ya Ukraine ndo yatammaliza huyo Babu bila kuleta madhara kwingine, atachapika economically, politically, millitary and socially....!!

Ukrainian air defence imekuwa mwiba mkali Kwa russian airforce , multiple russian skilled fighter pilot wamekamatika , kwenye modern warfare ukishindwa kutawala anga , hamna kitu utafanya, hayo ma vifaru ya Russia hamna kitu , labda kuharibu maghorofa ya watu tu mjini
Hapo ndipo unajitekenya na kucheka mwenyewe, unaizungumzia air defense ya Ukraine bila kujua ni mfumo wa warusi . Hapo unakubaliana nami na kila mtu kwamba Russia ana silaha bora sana za mfumo wa ulinzi wa anga. Unajua kwa nini Russia ilipoingia Ukraine kazi yake kubwa ya kwanza ilikuwa ni kuiharibu mifumo hiyo? Russia anaijua hiyo mifumo kwa sababu ni yake na ipo strong sana
 
Umeishia la ngap ? Mzungu Hana akili ndogo kama zako Mzee , au za babu yako Putin , huyo Russia akianza kufyatua silaha ovyo ovyo madhara yake ni makubwa , hata Korea kaskazini akiamua afyatue silaha zake ovyo ovyo madhara ni makubwa , na sio kwamba wengine hawana silaha wanazo , Ila makelele kama ya Putin ndo hawana , watu wanajua madhara ya vita , hakuna haja ya kutanua globe scale of war Kwa sababu ya mjinga mmoja , walishajionea Kwa Hitler with a terrible resolve , ....!! Ni kweli Ukraine ni mbuzi wa kafara , hata hvyo kupitia maumivu ya Ukraine ndo yatammaliza huyo Babu bila kuleta madhara kwingine, atachapika economically, politically, millitary and socially....!!

Ukrainian air defence imekuwa mwiba mkali Kwa russian airforce , multiple russian skilled fighter pilot wamekamatika , kwenye modern warfare ukishindwa kutawala anga , hamna kitu utafanya, hayo ma vifaru ya Russia hamna kitu , labda kuharibu maghorofa ya watu tu mjini
Kwanza huyo Putin hajawa vocal kama unavyotaka kutuaminisha hapa, actually West ndio wameongea mapovu tangu mwanzo and the man is quiet, hata haongei ovyo kama vibaraka wa mabeberu na hao mabeberu.

Kama air defence force ya Ukraine ingekuwa na nguvu, Russia asingeweza kuingia na kushambulia pamoja na kuteka miji tofauti huko Ukraine, air defence force ingekuwa imara hizo nuke zisingetekwa, kumbuka katika nuke tatu, mbili tayari zipo under Russia control, na hiyo moja iliyobaki haina mda itakuwa chini yao, hiyo air defence unafanya kazi gani hadi Russian forces ziingie jikoni, are you nuts?

Acha kutuletea propaganda za BBC na CNN hapa.
 
Aliyekuambiwa Ukraine kuna vita nani, Ukraine kuna operation tu ya kijeshi tu, naweza kusema ni operation ndogo sana. Ulishawahi kuona vitani pande zote wanaomba kusimamisha mapigano kwa ajili ya jambo jingine?
Eti operation ndogo tu,ingekuwa hivyo basi hiyo panic yote pale Kremlin isingekuwepo.
 
Kwanza huyo Putin hajawa vocal kama unavyotaka kutuaminisha hapa, actually West ndio wameongea mapovu tangu mwanzo and the man is quiet, hata haongei ovyo kama vibaraka wa mabeberu na hao mabeberu.

Kama air defence force ya Ukraine ingekuwa na nguvu, Russia asingeweza kuingia na kushambulia pamoja na kuteka miji tofauti huko Ukraine, air defence force ingekuwa imara hizo nuke zisingetekwa, kumbuka katika nuke tatu, mbili tayari zipo under Russia control, na hiyo moja iliyobaki haina mda itakuwa chini yao, hiyo air defence unafanya kazi gani hadi Russian forces ziingie jikoni, are you nuts?

Acha kutuletea propaganda za BBC na CNN hapa.
Mzee hapa unaongea na mazezeta yamekuzwa na vyakula vya makopo. Genes nyingi kwenye miili yao zimeharibiwa.
 
Actions in support of the Russian military special operation in Ukraine continue throughout the country.

Drivers put Z's on their cars and run car races. Today they drove through the streets of several cities, including Novosibirsk, Yekaterinburg, Irkutsk, Vladivostok.
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa maoni ya watu mbalimbali juu ya huu mgogoro wa Ukraine na Urusi acha nami niandike kile ambacho naamini kwenye huu mgogoro.

Mapema kabisa Urusi ilipoanza mazoezi ya pamoja na Belarus, Washington ilionya kuwepo kwa uvamizi nchini Ukraine kutoka Urusi. Baadaye yakifanyika mazungumzo na ikaonekana Urusi amerudisha majeshi yake ila kauli ya siku zote ya Urusi alikuwa akisema "HATAKI VITA" shinikizo la kuchochea uvamizi lilikuwa linaendelea kutoka Magharibi na si Ukraine kwa maana Marekani alikuwa na taarifa juu ya kile ambacho Urusi inapanga juu ya Ukraine.

Putin anatangaza kuyatambua majimbo yaliyojitenga na kusema atapeleka majeshi kulinda raia na hatimaye anafanya hivyo na haishii kwenye majimbo tu aliyoyalenga anataka kung'oa serikali yote ya Ukraine na kupandikiza pandikizi lake pale. Majeshi ya Urusi yanaanza kusambaa kwenye maeneo mbalimbali ya nchi ya Ukraine. Upinzani umekuwa mkubwa sana kutwaa mji mkuu Kiev. Japo kwa wengi wanazungumza hili suala kishabiki sana kuliko kiuhalisia.

Ngome pekee ambayo imeonekana kuwa na nguvu nchini Ukraine ni kutwaa mji wa Kiev ambao ni makao makuu ya serikali na shughuli mbalimbali. Isingekuwa rahisi kwa Urusi kuchukua Kiev kama jinsi ambavyo Wamarekani wa Songwe na Warusi wa Ilula wanavyodhani. Baada ya uvamizi Zelensky alitangaza kuwapa silaha raia walinda nchi yao dhidi ya uvamizi wa Urusi na tumeendelea kuona idadi kubwa ya raia wakichukua silaha kwa ajili ya mapambano. Ukraine ni taifa lenye watu takribani milioni 42 na mji wa Kiev una watu wapatao milioni 2.7 (tuseme milioni 3)

Urusi iliandaa idadi ya wanajeshi wapatao laki moja na nusu hadi laki 2 kwa ajili ya operesheni/uvamizi huo. Idadi ya wanajeshi ambao Urusi ilipeleka Ukraine ni sawa kabisa na idadi ya wanajeshi wa Ukraine. Urusi ina wanajeshi wapatao laki 9. Nimeona media nyingi zinaandika kuwa asilimia 75 ya jeshi lipo Ukraine kitu ambacho wanashindwa kufafanua kuwa ni asilimia 75 ya wanajeshi walioandaliwa kwa ajili ya uvamizi/operesheni.

Urusi inapata shida kuuteka mji wa Kiev kutoka na aina ya mashambulizi waliyochagua au kile ambacho wameamua kufanya. Mji wenye raia milioni 3 usingekuwa mgumu kuwa mikononi mwa Urusi kama ingeamua kufanya MAUAJI ya halaiki ili kuhakikisha mji upo mikononi mwao hata kwa masaa 2 ama 5. Inawezekana na mataifa yote yanajua hivyo inawezekana Kiev kuwa chini ya Urusi kwa muda mfupi zaidi ya mbinu hii waliyotumia ya kupiga maeneo muhimu huku wakitaka raia kuondoka ili wapambane na majeshi ya Ukraine.

Kiev ingekuwa unakaliwa na wanajeshi pekee yake ni imani yangu kuwa hadi sasa Urusi ingekuwa imeteka mji huo na kuwa chini yake. Wengi tunaongea kushabiki na kushindwa kung'amua kwanini Urusi umeshindwa kuchukua mji huo hadi sasa. Jibu ni kuwa haitaki kuua raia na ingekuwa inataka kufanya hivyo idadi ya vifo ingekuwa mbaya sana huko Ukraine.

Siyo Marekani wala NATO wote wanajua uwezo wa kijeshi wa Urusi na hata wao wanajua Urusi hajatumia hata asilimia 40 ya uwezo wake wa kijeshi dhidi ya Ukraine ila kwa sababu ngozi za Waafrika ni nyeusi nasi tumemezwa na ushabiki tumeamua kugawana fimbo na kila mmoja anamchapa mwenzake kishabiki na si kiuhalisia.

Macron mapema leo ametoa pongezi kwa jeshi la Ukraine ila akakiri haoni kama watahimili nguvu za jeshi la Urusi siku za karibuni. Ni wazi wote wanajuana na wala Macron hajawaambia kinafiki anajua nini ambacho Urusi anacho. Laiti kama uwezo wake wa mashumbulizi ungekuwa umefika mwisho leo ungeziona nchi zenye nguvu kijeshi zikiibuka Ukraine moja kwa moja kuipiga Urusi ila wanajua Urusi ni nani na wameamua kumheshimu katika maamuzi yake ila wamebaki kupiga kelele na vikwazo.

Kwahiyo tunapolizungumza hili suala tusilichukulie kama malumbano ya Simba na Yanga maana haziumii nyasi huko Ukraine wanaumia watu hata kama ni wanajeshi wana familia zao. Hakuna familia inayotaka kuona inaletewa ndugu yao akiwa kwenye jeneza akiitwa shujaa.

Vladimir ameendelea kusisitiza na kusema nia yake kwa Urusi lazima itimie hata kama watafanya mazungumzo, yaani ni kuwa Urusi ili irudi nyuma ni lazima matakwa yake yasikilizwe jambo ambalo hakuna mtu au nchi itaenda mbele kuzuia uvamizi wa Urusi pale Ukraine, wataipa kichwa Ukraine ila hawataumia raia wa Ujerumani wala Canada bali wanatumia raia wa Ukraine na jeshi la Ukraine.

Urusi itafanya kile inacholenga juu ya Ukraine hata kama atamaliza mission akiwa kachoka kiuchumi ila lazima afanye na lazima atimize kile ambacho anaamini juu ya mgogoro huu. Huu si uvamizi wa kwanza kuonwa ukifanywa duniani na hata si mara ya kwanza kwa Urusi kufanya uvamizi wa aina hii. US ni kinara wa vamizi za aina hii ila hakuna siku kaonekana mbaya tumejaa unafiki wa kuikosoa Urusi na kuona ni taifa dhalimu na lenye ushetani ila tuition ya somo hili Urusi imelichukua kutoka kwa US na punde Uchina nayo itajifunza na Taiwan itatwaliwa.

Kwahiyo kama US alifanya dhidi ya wengine akaona ni sawa asinyenyuke kukemea masomo ambayo yeye mwenyewe ndiye mwalimu wake. Urusi atapoteza uchumi wake na kila aina huduma kutoka Ulaya na maeneo mengine duniani ila ili Urusi iwe na ukomavu wa leo na kesho NI LAZIMA AICHUKUE UKRAINE IWE ISIWE. ndicho ambacho Putin kamwambia Macron.

#MbaoZaMawe
URUSI HAITAKAA IWEZE KUICHUKUA UKRAINE IWE SEHEMU YAKE, HATA IPAMBANE MIAKA MILIONI.
HIZO NI NDOTO NYEVU TU ZA PUTIN.
 
hii threads sasa imejaa ngonjera nyingi na mipasho badala ya mjadala kuhusu mgogoro wenyewe
 
URUSI HAITAKAA IWEZE KUICHUKUA UKRAINE IWE SEHEMU YAKE, HATA IPAMBANE MIAKA MILIONI.
HIZO NI NDOTO NYEVU TU ZA PUTIN.
Nimesema ratizo vijana wengi mmekuzwa na maziwa ya makopo. Nutrients nyingi mmezikosa kwenye miili yenu. Uwezo wenu wa kuchanganua mambo ni mfinyu mno.

Kwanza lengo la Putin siyo kuchukua Ukraine.
Pili unavyoandika kwa herufi kubwa ni kigezo tosha kwamba kichwa chako hakiko sawa.
 
Ukrainian air defence imekuwa mwiba mkali Kwa russian airforce , multiple russian skilled fighter pilot wamekamatika , kwenye modern warfare ukishindwa kutawala anga , hamna kitu utafanya, hayo ma vifaru ya Russia hamna kitu , labda kuharibu maghorofa ya watu tu mjini
Instagram zipo clip za kutosha za hao marubani wanakamatwa kama kondoo,tena wengine walikuwa kwa ile operation ya Syria,Ukraine wanakuonyesha clip ya rubani na wanaambatanisha na picha yake akiwa Syria na kina Assad,wale wa kusema ni propaganda za Ukraine wamebaki kimyaa,maana wanawekewa na proof hapo hapo za hao Marubani wa Russia.
 
Ila Warussi wenzangu tumepeleka Jeshi Ukraine au ni amateurs??

Kusema kweli tunachapika sana kule.. Leo miji miwili wameirudisha na jeshi letu limekimbia na kuacha silaha na vifaa vita huko.

One thing, Ukraine wana jeshi zuri, nadhani wana jeshi la kupambana na nchi nyingi zenye nguvu za Ulaya na kuwahenyesha vizuri kabisa. Wakati wa Soviet ikiwa na nguvu sana walikuwa wanalitegemea sana Jeshi la Ukraine kwa combat ya ardhini.

Kama Pro-Russian, surely Ukraine wanatuhenyesha..
Kanuni ya vita ni Man 2 Man!

Wanachokifanya Ukraine baada ya kukimbia kambi wameamua kujimix na raia so wanapiga kwa kuvizia. Ni sawa na ulingo wa boxing unapigana na mpinzani wako kwa kujificha mgongoni kwa refa. Unashambulia akirudisha unajificha nyuma ya refa.

Wa Ukraine wanatumia raia kama Kinga kujificha kwenye mgongo wa raia. Putin kashawaambia waache utoto huo wa kujificha kwenye migongo ya raia waone show.
 
Nafatilia since day one.. Kusema kweli sidhani kama tumepeleka jeshi au wanamgambo.

Evacuation sio sababu, ila hili la wanajeshi wa Ukraine kushambulia wakiwa wamekaa kwenye makazi ya watu nalo ni changamoto. Maana makazi hayohayo yakishambuliwa wanarudi kusema tunaua civilians. Hapa ni kusimamisha vita na kutoa siku kadhaa watu waondoshwe ndio tuingie mzigoni vizuri. Ila kwa kuendelea hivi tutakuwa exposed vibaya sana
Wa Ukraine hilo hawataki ila kitakachofata Putin ataamuru tu kwa muda aliotoa umetosha kwa watu ku evacuate kama kuna waliobakia ata assume ni waasi!

Paper two sasa itakuwa ya kukata na shoka😅
 
hii threads sasa imejaa ngonjera nyingi na mipasho badala ya mjadala kuhusu mgogoro wenyewe
Inabidi twende hivyo hivyo baada ya Pro Putin kutaka kuiteka thread hii na propaganda zao nyingi kutoka RT,wamehama kwenye mada yenyewe wameamua kuwa mareporter wa Kremlin.
 
Wewe kwa akili yako, kama kweli unazo, unafikiri huyo kibaraka watakayemuweka atawala nani wakati kwa muda sasa Ukraine imekuwa ni nchi ambayo imekuwa ikichagua viongozi wao kwa njia ya kidemokrasia tofauti na hao wavamizi wao.

Huyo kibaraka yeye ataendeshaje nchi pasipo kupata uungwaji mkono toka kwa mataifa mengine, huoni kwamba Russia watakuwa wanamdanganya na huku hata uwezo wa kukarabati nchi watakayokuwa wameharibu hawana ukitilia maanani kwamba na wenyewe watakuwa wameelemewa na vikwazo.

The picture we have is that Ukraine is going to be completely ungovernable with the people of Ukraine likely to unleash a protracted and bloody resistance against the Russian invaders a situation that will ultimately compel the aggressors to leave Ukraine.
Uko sahihi Urusi akilazimisha kuweka kibaraka wake Ukraine itakuwa machafuko matupu na nchi isiyotawalika. Watu wa Ukraine wamejulikana kama watu wabishi na wa mapambano karne zote, hawatakubali kuwa watumwa wa Urusi bila kupambana kufa na kupona kwa miaka mingi.
 
Alisema anaenda Ukraine kuuondoa utawala wa Kinazi na kufanya "peace keeping mission "ila alipofika Ukraine hakupokelewa hata na raia mmoja wa kawaida na ua mkononi kumkarubisha na kumshukuru kuja kuwaondoa hao wanazi, Kinyume chake raia wa kawaida wamebeba silaha kuungana na rais wao Zelenskyy na wengine wameyakimbia majeshi ya Urusi.
Labda nikuulize ambacho Putin alikuwa anataka kua achieve ameshindwa ni kitu gani?,tofauti na tunachokijua sisi-maana sisi sote tunachojua ni kupitia Speech yake kwamba lengo ni Ukraine kutojiunga na NATO na kuidhifisha Ukraine kijeshi,sasa unaposema ameshindwa katika hili sijui una maana gani maana Operation bado inaendelea.
Au kuna dhumuni lingine toafuti na hili alilolisema Putin ambalo sisi hatulijui Bali wewe pekee na ndio maana unasema ameshindwa??.

Na hapo unaposema kwamba atashinda vita lakini hata weza kutawala napo ni wewe tu ndio utakuwa anaelewa Duniani,maana Dunia yote haijui Putin atafanya nini baada ya kuikamata Kiev.
 
kwa bahati mbaya, hauna akili kufikiri na kuelewa kwamba waukraine zamani walikuwa warusi, na hata mle mle ndani kuna idadi kubwa sana ya warusi, na majority ya waukrain wanaongea kirusi. ni rahisi wafanya waadopt urusi hasa kwa kiongozi watakayemweka. kama wameteketeza vituo vya kijeshi, na wanaweka wazi hawatakubali ukrain iwe na nguvu ya kijeshi, ni mjinga gani atakayekataa kuwa pamoja nao ili awe salama? ni wajinga kama wewe tu ndio watakubali.
Ukraine ni taifa la kale zaidi kabla ya Russia.
Kyiv ilikuwa jiji kubwa muda mrefu sana wakati Moscow ikiwa kijiji tu.
 
Back
Top Bottom