LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Putin ni mwendo wa kuwanyoosha tu hatishiwi nyau😅
Hiki kilio kinatoka wapi? 😬😬🤣

Screenshot_20220304-204536.png


Screenshot_20220304-204629.png
 
New video from Kadyrov.

“These are the legendary commandos of the special forces police regiment named after Hero of Russia A.A. Kadyrov of the Ministry of Internal Affairs for the Chechen Republic under the leadership of dear BROTHER Zamid Chalaev. The soldiers are in excellent spirits. They are impatiently waiting for the order to advance to Ukraine to clean up the territory from the Nazis and their henchmen,” writes the head of Chechnya.
View attachment 2140614
Hahahaha hawa wahuni wakipewa order wakamalize show ni kitendo cha masaa 24 tu watakuwa washakamata kichwa cha Zelensky 😅
 
kharkiv upo chini upande keiv warusi wapo sumy gomel na irpin sumy na jana waliiichukua meliupol kieu watu wengi sana wanasubiri waondolewe
Si kweli ni mji mmoja tu hadi sasa ndio Russia wamechukua ambao ni Kherson.

Mingine yote hadi sasa hawaweza kuchukua na waendelea kushuhudia causalities nyingi tu, ikiwemo supplies chain zao.

Russia alishindwa kabisa kuteka Kiev ndio maana ameamua kupeleka nguvu nyingi kusini ile aje aungane na Vikosi vya Waasi na Askari kutoka Beralus

Putin: Ukraine’s resistance threatens its statehood​

Russian President Vladimir Putin has warned Ukraine that its statehood is in jeopardy.

“If they continue to do what they are doing… they are calling into question the future of Ukrainian statehood,” he said on Saturday.
 
Ukraine ni taifa la kale zaidi kabla ya Russia.
Kyiv ilikuwa jiji kubwa muda mrefu sana wakati Moscow ikiwa kijiji tu.
hawa watu hawabackup hoja zao na facts ht kidogo, ukraine ni nchi yny historia yake ht crimea pia ina historia yake si mali ya ukraine wala urusi, watu wanasikiliza uongo wa putin wanabeba km ulivyo, kitu ambacho ni kweli ni kuwa hii ukraine ya sasa iliundwa kwa kuongezewa baadhi ya maeneo kutoka urusi,poland na romania, lkn ukraine ni nchi iliokuwepo tangu enzi na enzi,
 
KumSupport Putin anayeua raia wasio na hatia,wanawake na watoto,ni lazima uwe mvutaji wa bangi mzuri,tena ile ya makete au arachuga🤔
Putin haui raia ila wanajeshi wa Ukraine waliojichanganya na raia ndio wanachapika! Ameomba wananchi watoke uwanja wa Operation ya jeshi ili awakung’ute wa Ukraine vizuri
 
Putin haui raia ila wanajeshi wa Ukraine waliojichanganya na raia ndio wanachapika! Ameomba wananchi watoke uwanja wa Operation ya jeshi ili awakung’ute wa Ukraine vizuri
Wito watolewa Putin kuwa assassinated kwa usalama wa Dunia
 

Attachments

  • Screenshot_20220304-203727.png
    Screenshot_20220304-203727.png
    118.7 KB · Views: 15
Marekani na washirika wake zaidi ya 10 tena wenye nguvu waliivamia Iraq, kuiteka Iraq iliwa chukua miezi miwili pamoja na kutumia nguvu kubwa.

Kwa kigezo hicho ulitakiwa kutambua ya kwamba vita sio lele mama kama unavyo fikiri wewe.

Ukitaka kujua ya kwamba Urusi hatumii nguvu kubwa angalia idadi ya vifo ni ndogo.
Marekani siku kumi za kwanza za uvamizi nchini Iraq zaidi ya watu 30,000 walikuwa tiyari wameuawa na maelfu ya wengine kujeruhiwa ,hali yakuwa sasa hivi Ukraine walio uliwa hawa zidi 3,000.

Jana Chanel ya Al jazira ilikuwa ina fanya mahojiano na kamanda mstaafu wa Marekani akawa ana sema ya kwamba kwa anavyo ijua Urusi bado haojatumia hata asilimia 20 ya nguvu zake na akasema kikosi kilocho tumika kuivamia Ukraine kiliundwa mwaka 2016 na ndio maana asilimia kubwa ni vijana wadogo wengi hawana uzoefu wa vita.View attachment 2140717

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
K
Na kuhusu death tolls wanazozitoa Ukraine kwamba wameua wanajeshi 10,000+ na kuangusha ndege 44 na helicopter 44 ni uongo wa wazi kabisa..

Nilikuwa napita mitandaoni asubuhi hii nikakutana na mwanajeshi mmoja veteran wa US mwenyewe anasema kapigana mara mbili Afghanistan na mara moja Iraq hakuna ukweli wowote unaweza kumuaminisha Russia amepoteza all that within 9 days. Anasema kuna uongo mwingi sana tunadanganywa kwenye vita kupitia tunazoziita NEWS. Na huyu amekuwa jeshini miaka 22, propaganda at its best as he said..
Kama tunadanganywa , basi nyie ndo mtuambie ukweli, kama Russia amepiga ban maraia wake waitoe ukweli kuhusu what is going on behind the enemy line , nini anataka kukificha ....!! YouTube imejamaa ndege zinazotunguliwa na vifaru vilivyoharibiwa , captured russian pilot and so on ...!! Huyo veteran ni Nani ? Ukraine ni nchi dhaifu Sana ukilinganisha na Urusi , hata hvyo wanadefend fiercely na kila mmoja anashangaa , dhidi ya taifa linalotuaminisha kuwa lipo vizuri upande wa millitary..!!
Kila mara mambo yanapokuwa magumu Kwa urusi tunaambiwa mara ooh urusi katuma mgambo tu na sio experienced fighter , mara ooh anafanya operations ndogo , mara ooh anatumia silaha za kizaman , mara hataki kutumia silaha nzito na blah blah kibao ...

Vyovyote itakavyokuwa ni mpuuzi tuu anayeweza kuamini jeshi la Urusi linaweza kustand against US in a full firefight ..!!

Urusi hawez kushawishi hata nchi moja ikatoa vikwazo Kwa US , Ila US ana uwezo huo , ndo utajua Nani mkubwa na nani ni Bwana mdogo .... Kifo cha Putin kinakuja taratibu
 
Mna ushabIki wa kindezi sana nyie watu. Mnachukulia operations za kijeshi kama siasa na Samia na Mbowe. Huoni kama Ukrainian forces wanawazuia watu wasiondoke ili kuweka chambo ya kujilinda na Russia, hadi Jana almost 1.5m wameondoka nchini kama wakimbizi, nyie mnadhani Ukraine ipo salama sana.
Ukraine hakuna usalama kuna vita. Wanajeshi na raia walio tayari kupigana wanajitahidi kuhakikisha kuwa nchi yao haiangukii mikononi mwa Urusi na mpaka sasa wamejitahidi sana na watakaposhindwa kuna uwezekano mkubwa masalia ya waasi yakabaki kupigana na serikali ya Puttin. Baadhi ya watu kuwapa hongera kwa kuwazuia warusi mpaka sasa ndiko kunakokufanya uone watu wana ushabiki wa kindezi.
 
K

Kama tunadanganywa , basi nyie ndo mtuambie ukweli, kama Russia amepiga ban maraia wake waitoe ukweli kuhusu what is going on behind the enemy line , nini anataka kukificha ....!! YouTube imejamaa ndege zinazotunguliwa na vifaru vilivyoharibiwa , captured russian pilot and so on ...!! Huyo veteran ni Nani ? Ukraine ni nchi dhaifu Sana ukilinganisha na Urusi , hata hvyo wanadefend fiercely na kila mmoja anashangaa , dhidi ya taifa linalotuaminisha kuwa lipo vizuri upande wa millitary..!!
Kila mara mambo yanapokuwa magumu Kwa urusi tunaambiwa mara ooh urusi katuma mgambo tu na sio experienced fighter , mara ooh anafanya operations ndogo , mara ooh anatumia silaha za kizaman , mara hataki kutumia silaha nzito na blah blah kibao ...

Vyovyote itakavyokuwa ni mpuuzi tuu anayeweza kuamini jeshi la Urusi linaweza kustand against US in a full firefight ..!!

Urusi hawez kushawishi hata nchi moja ikatoa vikwazo Kwa US , Ila US ana uwezo huo , ndo utajua Nani mkubwa na nani ni Bwana mdogo .... Kifo cha Putin kinakuja taratibu
Eti raia atayetoa taarifa zauongo kuhusu Jeshi atafungwa Miaka 15 😬😬.

Sheria ya Takwimu ya Jiwe 😄😄
 
“I was in another room, lying. I just lay there."

A resident of the city of Kirovskoye miraculously survived as a result of the morning shelling of the Armed Forces of Ukraine. She was saved by the fact that the shell flew into the next room.

Due to the attack of the Ukrainian military, a gas pipeline was also damaged in the city, Luganskinformtsentr reports.
 
Wito watolewa Putin kuwa assassinated kwa usalama wa Dunia
Sawa yeye kabla hajawa assassinated lazma marekani iwe kama majaruba ya mpunga lakini😅!
Halafu kumu assasinate sio rahisi maana ana support ya China na kwa Kiduku yani show itakuwa kali sana
 
The Ukrainian authorities of Mariupol announced the evacuation from the city along the humanitarian corridor a day after the deadline agreed with Russia, the evacuation will take place from three places by buses, you can also leave the city by private transport, RIA Novosti reports.
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom