The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hiki kilio kinatoka wapi? 😬😬🤣Putin ni mwendo wa kuwanyoosha tu hatishiwi nyau😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki kilio kinatoka wapi? 😬😬🤣Putin ni mwendo wa kuwanyoosha tu hatishiwi nyau😅
Hahahaha hawa wahuni wakipewa order wakamalize show ni kitendo cha masaa 24 tu watakuwa washakamata kichwa cha Zelensky 😅New video from Kadyrov.
“These are the legendary commandos of the special forces police regiment named after Hero of Russia A.A. Kadyrov of the Ministry of Internal Affairs for the Chechen Republic under the leadership of dear BROTHER Zamid Chalaev. The soldiers are in excellent spirits. They are impatiently waiting for the order to advance to Ukraine to clean up the territory from the Nazis and their henchmen,” writes the head of Chechnya.
View attachment 2140614
SLAVA UKRAINEMuda wowote kuanzia sasa urusi inaweza kuuteka mji 4 kwa ukubwa wakati huo huo baada ya coca cola kusema hawafanyi biashara warusi wameanza kumwaga soda hizo chooniView attachment 2140724
Si kweli ni mji mmoja tu hadi sasa ndio Russia wamechukua ambao ni Kherson.kharkiv upo chini upande keiv warusi wapo sumy gomel na irpin sumy na jana waliiichukua meliupol kieu watu wengi sana wanasubiri waondolewe
hawa watu hawabackup hoja zao na facts ht kidogo, ukraine ni nchi yny historia yake ht crimea pia ina historia yake si mali ya ukraine wala urusi, watu wanasikiliza uongo wa putin wanabeba km ulivyo, kitu ambacho ni kweli ni kuwa hii ukraine ya sasa iliundwa kwa kuongezewa baadhi ya maeneo kutoka urusi,poland na romania, lkn ukraine ni nchi iliokuwepo tangu enzi na enzi,Ukraine ni taifa la kale zaidi kabla ya Russia.
Kyiv ilikuwa jiji kubwa muda mrefu sana wakati Moscow ikiwa kijiji tu.
Putin haui raia ila wanajeshi wa Ukraine waliojichanganya na raia ndio wanachapika! Ameomba wananchi watoke uwanja wa Operation ya jeshi ili awakung’ute wa Ukraine vizuriKumSupport Putin anayeua raia wasio na hatia,wanawake na watoto,ni lazima uwe mvutaji wa bangi mzuri,tena ile ya makete au arachuga🤔
Spy katiwa korokoloniView attachment 2140745hii meli ya kisasa ya ukraine ukraine walitaka kuizamisha ili warusi wasiipate wakakutana na risasi nzito kutoka kwa vijana wa putin basi juhudi za kuizamisha zikaishia hapo
kwa reply hizi,akili yako bado ndogo kuelewa haya mambo.uwe mpenzi msikilizaji ,haya Mambo waachie great thinker's!Huna akili pathetic!!
Wito watolewa Putin kuwa assassinated kwa usalama wa DuniaPutin haui raia ila wanajeshi wa Ukraine waliojichanganya na raia ndio wanachapika! Ameomba wananchi watoke uwanja wa Operation ya jeshi ili awakung’ute wa Ukraine vizuri
Nina wasi wasi mkubwa Zelensky na familia yake hawapo UkraineHahahaha hawa wahuni wakipewa order wakamalize show ni kitendo cha masaa 24 tu watakuwa washakamata kichwa cha Zelensky 😅
KMarekani na washirika wake zaidi ya 10 tena wenye nguvu waliivamia Iraq, kuiteka Iraq iliwa chukua miezi miwili pamoja na kutumia nguvu kubwa.
Kwa kigezo hicho ulitakiwa kutambua ya kwamba vita sio lele mama kama unavyo fikiri wewe.
Ukitaka kujua ya kwamba Urusi hatumii nguvu kubwa angalia idadi ya vifo ni ndogo.
Marekani siku kumi za kwanza za uvamizi nchini Iraq zaidi ya watu 30,000 walikuwa tiyari wameuawa na maelfu ya wengine kujeruhiwa ,hali yakuwa sasa hivi Ukraine walio uliwa hawa zidi 3,000.
Jana Chanel ya Al jazira ilikuwa ina fanya mahojiano na kamanda mstaafu wa Marekani akawa ana sema ya kwamba kwa anavyo ijua Urusi bado haojatumia hata asilimia 20 ya nguvu zake na akasema kikosi kilocho tumika kuivamia Ukraine kiliundwa mwaka 2016 na ndio maana asilimia kubwa ni vijana wadogo wengi hawana uzoefu wa vita.View attachment 2140717
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Kama tunadanganywa , basi nyie ndo mtuambie ukweli, kama Russia amepiga ban maraia wake waitoe ukweli kuhusu what is going on behind the enemy line , nini anataka kukificha ....!! YouTube imejamaa ndege zinazotunguliwa na vifaru vilivyoharibiwa , captured russian pilot and so on ...!! Huyo veteran ni Nani ? Ukraine ni nchi dhaifu Sana ukilinganisha na Urusi , hata hvyo wanadefend fiercely na kila mmoja anashangaa , dhidi ya taifa linalotuaminisha kuwa lipo vizuri upande wa millitary..!!Na kuhusu death tolls wanazozitoa Ukraine kwamba wameua wanajeshi 10,000+ na kuangusha ndege 44 na helicopter 44 ni uongo wa wazi kabisa..
Nilikuwa napita mitandaoni asubuhi hii nikakutana na mwanajeshi mmoja veteran wa US mwenyewe anasema kapigana mara mbili Afghanistan na mara moja Iraq hakuna ukweli wowote unaweza kumuaminisha Russia amepoteza all that within 9 days. Anasema kuna uongo mwingi sana tunadanganywa kwenye vita kupitia tunazoziita NEWS. Na huyu amekuwa jeshini miaka 22, propaganda at its best as he said..
Naskia zelensky kakimbilia Poland😅Nina wasi wasi mkubwa Zelensky na familia yake hawapo Ukraine
SLAVA UKRAINE
Ndani ya Russia zinafanya kazi.View attachment 2140543Vita vya kiuchumi ni vibaya zaidi kuliko vita vya makomborà.Assume Upo Moscow,kwenye Account unazo dollar milioni Halafu Huwezi kutoa bank Wala kununua kitu chochote supermarket.View attachment 2140544
Ukraine hakuna usalama kuna vita. Wanajeshi na raia walio tayari kupigana wanajitahidi kuhakikisha kuwa nchi yao haiangukii mikononi mwa Urusi na mpaka sasa wamejitahidi sana na watakaposhindwa kuna uwezekano mkubwa masalia ya waasi yakabaki kupigana na serikali ya Puttin. Baadhi ya watu kuwapa hongera kwa kuwazuia warusi mpaka sasa ndiko kunakokufanya uone watu wana ushabiki wa kindezi.Mna ushabIki wa kindezi sana nyie watu. Mnachukulia operations za kijeshi kama siasa na Samia na Mbowe. Huoni kama Ukrainian forces wanawazuia watu wasiondoke ili kuweka chambo ya kujilinda na Russia, hadi Jana almost 1.5m wameondoka nchini kama wakimbizi, nyie mnadhani Ukraine ipo salama sana.
Eti raia atayetoa taarifa zauongo kuhusu Jeshi atafungwa Miaka 15 😬😬.K
Kama tunadanganywa , basi nyie ndo mtuambie ukweli, kama Russia amepiga ban maraia wake waitoe ukweli kuhusu what is going on behind the enemy line , nini anataka kukificha ....!! YouTube imejamaa ndege zinazotunguliwa na vifaru vilivyoharibiwa , captured russian pilot and so on ...!! Huyo veteran ni Nani ? Ukraine ni nchi dhaifu Sana ukilinganisha na Urusi , hata hvyo wanadefend fiercely na kila mmoja anashangaa , dhidi ya taifa linalotuaminisha kuwa lipo vizuri upande wa millitary..!!
Kila mara mambo yanapokuwa magumu Kwa urusi tunaambiwa mara ooh urusi katuma mgambo tu na sio experienced fighter , mara ooh anafanya operations ndogo , mara ooh anatumia silaha za kizaman , mara hataki kutumia silaha nzito na blah blah kibao ...
Vyovyote itakavyokuwa ni mpuuzi tuu anayeweza kuamini jeshi la Urusi linaweza kustand against US in a full firefight ..!!
Urusi hawez kushawishi hata nchi moja ikatoa vikwazo Kwa US , Ila US ana uwezo huo , ndo utajua Nani mkubwa na nani ni Bwana mdogo .... Kifo cha Putin kinakuja taratibu
Sawa yeye kabla hajawa assassinated lazma marekani iwe kama majaruba ya mpunga lakini😅!Wito watolewa Putin kuwa assassinated kwa usalama wa Dunia