LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Nachoona Putin atapoteza wanajeshi wengi,wengi watakaoenda Ukraine asilimia kubwa hawatarudi hai
Ukifuatilia CNN, BBC, SKY NEWZ utaona kabisa URUSI amezidiwa pakubwa.

Ila kwa ground UKRAINE hawapumui, viwanja vya ndege, miundombinu, kambi zao nk ziko vibaya muda huu.
Vita sio kitu ambacho utafucha, matokeo yanaonekana wazi kuwa UKRAINE hali yake ni mbaya, hadi Raia wanashika bunduki maana yake wamepoteza askari wengi sana.

Na muda huu hawavai kombat ili kujichanganya na Raia na ndio maana Urusi akapendekeza Raia waondolewe, mtakuja hapa kulalamika miji ya Ukraine kuwa vifusi muda si mrefu.
 
Warusi wanakufa.. Hakuna ubishi
Hata ndege zao zinatunguliwa.. ila wanazo nyingi..
Kitu ambacho sio kizuri na hakisemwi ni baadhi ya askari wa Ukraine kushambulia warusi huku wakiwa karibu na majengo ya raia.
Askari wengine wa Ukraine wanajificha kwenye majengo ya raia wakiwa na ant tanks.. Sasa Mrusi akijibu inaonekana anashambulia raia..
Hili halisemwi ili likomweshwe ili raia wasichanganywe na wajeshi
Kujificha kwenye makazi ya raia ni techniques za vita ndugu, unataka waje mbele vifua wazi? Kwani wao kwenye makazi ya watu walikuwa wanaelekea wapi? Je askari wa Ukraine siyo jukumu lao kulinda raia wao?
 
Hii ni takwimu kulingana na Jeshi la Ukraine Leo hii.Kama utabisha wanaruhusu ukatafute chanzo chako unachoota Cha uhakika:
......
Today's Urkrainian defense reports

Verified by actual Urkrainians, in Ukraine. The source os clearly listed in the graphic, feel free to find your own sources.

These are the indicative estimates of Russia's losView attachment 2144522ses as of March 9, according to the Armed Forces of Ukraine.
Kyiv independent waongo somehow. Nimeacha kuwategemea wao tu bila source nyingine
 
Ukifuatilia CNN, BBC, SKY NEWZ utaona kabisa URUSI amezidiwa pakubwa.

Ila kwa ground UKRAINE hawapumui, viwanja vya ndege, miundombinu, kambi zao nk ziko vibaya muda huu.
Vita sio kitu ambacho utafucha, matokeo yanaonekana wazi kuwa UKRAINE hali yake ni mbaya, hadi Raia wanashika bunduki maana yake wamepoteza askari wengi sana.

Na muda huu hawavai kombat ili kujichanganya na Raia na ndio maana Urusi akapendekeza Raia waondolewe, mtakuja hapa kulalamika miji ya Ukraine kuwa vifusi muda si mrefu.
Mlisema tar 3 Kieve inatekwa,labda channels zipi we unazoangalia maana karibia zote naziangalia ,kila upande inafanya propaganda onyesheni basi askari wa ukraine wakitekwa siyo maneno
 
Sasa ulitaka nikuambie nini ili uelewe, kwamba hawawezi kutuma pesa popote, ni uongo? Swift system doesn't work, Russians can't send more than $10,000 abroad, nao ni uongo?

Kumbe huwa unaenda riverside kujiuza mzee, pole sana Ila mimi sio kenge, najadili na wanaojielewa. BTW, I work for the Russians, sijui unataka nini kingine. Na sifanyi mijadala na wasiojielewa.
Mkuu tushaelewa hapa nani ana shida,achana nae,huhitaji wala kuendelea na majibizano nae.Kama mtu anabishia hata facts zilizo wazi utafanya nini ili akuelewe zaidi ya kuambulia lugha ya maudhi kama ndiyo silaha yake ya mwisho.
 
WATANGALIA VIPINDI VYA KATUNI

Eurosport will stop broadcasting in Russia tonight.

Several employees of the TV channel wrote about this in their social networks.

Vladimir Sinitsyn: “Information has come that from 19:30 Moscow time our channel will stop broadcasting to Russia. We will work for other countries of the Russian-speaking space.”

Mikhail Biryukov: “Thank you, Eurosport. Today I say goodbye to a job that taught me everything and provided me with everything.

Earlier, the media wrote that Discovery was suspending the broadcasting of its channels in Russia. These include Eurosport 1 and Eurosport 2.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
The Yandex.Zen platform will be available only to users from Russia, this is due to the inability to provide high quality personalization in other languages, the company said.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
😂😂😂Kuna Watu wanaona Warusi ni malaika ni kama vile miili Yao haingii risasi!!
Putin kutumia nguvu kubwa kushambulia miji ya Ukraine Mpaka maeneo ya raia kama hospital ni dalili ya maji kufika shingoni!!
Kumbe hata hujielewi, Waukraine wanavua magwanda ya jeshi kisha wanajichanganya na raia mitaani au kwenye huduma za kijamii na kuwafanyia ambush warusi huku wakizuga kama raia. Lakini kumbuka pia kuna raia wa ukraine wanazo silaha za vita wanafanya ambush kwa warus unategemea mrusi afanyeje. Ndio mana amewahimiza raia wasiotaka madhara waondoke ukraine na wewe mwenyewe unaona wanavohama ukraine. Then utaona kyiev inavochukuliwa through total war. Sahivi mrusi anatumia akili kuubwa sana kuepuka masacre.
 
Sasa ulitaka nikuambie nini ili uelewe, kwamba hawawezi kutuma pesa popote, ni uongo? Swift system doesn't work, Russians can't send more than $10,000 abroad, nao ni uongo?

Kumbe huwa unaenda riverside kujiuza mzee, pole sana Ila mimi sio kenge, najadili na wanaojielewa. BTW, I work for the Russians, sijui unataka nini kingine. Na sifanyi mijadala na wasiojielewa.
Kwa hiyo akisema anafanya na Warusi bila ushahidi kuweka tutamwamini na kumuelewa?

Hata hapo Chunya Warusi wapo wanachimba dhahabu na madini mengine, hii haikufanyi wale wapishi wawe wajuvi wa mambo.
 
The US ambassador in Moscow appealed to American citizens: leave Russia now or think of a plan for how to do without the help of the embassy.

It seems to me that the President of the United States will soon make the same appeal to American citizens: think over a plan for how to do without the help of the White House.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Mlisema tar 3 Kieve inatekwa,labda channels zipi we unazoangalia maana karibia zote naziangalia ,kila upande inafanya propaganda onyesheni basi askari wa urusi wakitekwa siyo maneno
Atakwambia angalia RT ndiyo inasema ukweli 🙂
 
Funzo lingine kubwa linalopatikana kwenye mzozo huu, bila kujali nani atashinda ni kuwa: Usiwaamini mataifa ya magharibi kwa asilimia 100. Ni wanafiki, wana double-standards, kampuni zao za kimataifa (MNEs) ni state owned kama za China tu.
Wanabagua watu kimadaraja. Ishi nao kwa akili!
Mimi hata kwa asilimia moja siwaamini kabisa...they are devils
 
The heads of the Defense Ministries of Ukraine and Georgia will take part in a meeting of NATO defense ministers on March 16, the meeting will be held in person, the alliance said in a statement.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Kujificha kwenye makazi ya raia ni techniques za vita ndugu, unataka waje mbele vifua wazi? Kwani wao kwenye makazi ya watu walikuwa wanaelekea wapi? Je askari wa Ukraine siyo jukumu lao kulinda raia wao?
Sawa mkuu, hiyo technique sio nzuri..
wajifiche bila kujichanganya na raia..
Sasa ikishushwa rocket na hao raia si wanakufa...
 
Wamalizane wapi....Urusi hovyo, wewe uliona wapi baba kumpiga mtoto na marungu,mapanga,magongo nk!!
Sasa mtoto ataanza kumvizia baba mwenye bastola na manati [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mtoto mtovu wa nidhamu utamchekea?
Piga kerbu Moja takatifu
 
The issue of Ukraine's membership in the EU will be one of the main issues at the summit in Paris - the representative of the European Union.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Hii ni takwimu kulingana na Jeshi la Ukraine Leo hii.Kama utabisha wanaruhusu ukatafute chanzo chako unachoota Cha uhakika:
......
Today's Urkrainian defense reports

Verified by actual Urkrainians, in Ukraine. The source os clearly listed in the graphic, feel free to find your own sources.

These are the indicative estimates of Russia's losView attachment 2144522ses as of March 9, according to the Armed Forces of Ukraine.
Na wewe umeamini propaganda outlet ya Ukraine?
 
Back
Top Bottom