simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnajifanya wajuaji humu JF na kucheka cheka na vi emoji kama wanawake wa bar, hao shoga zako hata top 10 hawapo. Una swali lingine?Google utamkuta hata usipogoogle leo hata ipite miaka mingapi we google utamkuta
Wanapita kimya kimya huku wanaumia mioyoMashabik wa ukraine siwaoni kabisa ha ha ha ha
“This is a time of opportunity. If you and I get our bearings, believe me, in six months people will forget that this happened.”
Lukashenka on Western sanctions against Russia and Belarus: Galip SV Liwagu
“And there is no need to say: “We will survive the sanctions.” Listen, we experienced them as much as we wanted. We can do without them, we have everything in order to live and work normally.”View attachment 2146782
😎😎 Nivizuri kupeana moyo katika wakati mgumu.
We unashindwa kujiuliza hao Askari kwanini wanatoka kwenye ukanda wa magaidi mashariki ya kati lengo la Putin ni kusogeza magaidi Ulaya kwa kisingizio cha kupigana na Ukraine ili wapenye wakawape jotro Ulaya hiyo ni mbinu kali sana nimeamini Warusi wanaakili kubwa sana... Aise safari hii NATO na EU lazima wanye mavi mengi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji123][emoji635]Baada ya kuteketezwa wale toys wa mwanzo sasa nao wameanza kutafuta askari wa kukodi.
Nao watafyekwa
View attachment 2146830
Baada ya kuteketezwa wale toys wa mwanzo sasa nao wameanza kutafuta askari wa kukodi.
Nao watafyekwa
View attachment 2146830
duh si kwa msongo huu wamawazo una shida gani hasa mbona povu sanaMnajifanya wajuaji humu JF na kucheka cheka na vi emoji kama wanawake wa bar, hao shoga zako hata top 10 hawapo. Una swali lingine?
Awaalike mara ngapi?Na Zelensk nae atawaalika wanaomuunga mkono then moto ndio utawaka
Russia inaenda kuchakaa.Zelesky ameruhusu nchi yake kuwa uwanja wa mapambano kati ya USA/NATO na URUSI.
Hapo NATO wanapelekewa moto kwao kweli kaamua kuua nchi yake mwenyewe. Baada ya miaka 20 hesabu za Putin zitakuwa zimekamila baada ya hao 16000 kuzaliana Ukraine na kuwa wengiWe unashindwa kujiuliza hao Askari kwanini wanatoka kwenye ukanda wa magaidi mashariki ya kati lengo la Putin ni kusogeza magaidi Ulaya kwa kisingizio cha kupigana na Ukraine ili wapenye wakawape jotro Ulaya hiyo ni mbinu kali sana nimeamini Warusi wanaakili kubwa sana... Aise safari hii NATO na EU lazima wanye mavi mengi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji123][emoji635]
mmmmh ! Ona hilinaloRussia inaenda kuchakaa.
Baki na ujinga wako ila hiyo ndo habari.mmmmh ! Ona hilinalo
Wataisha wote..kmmaeeKiongozi mwingine mwandamizi wa Jeshi la Urusi , Major General,auwawa Ukraine:View attachment 2146869View attachment 2146870
hiii ! ebu licheck hiliBaki na ujinga wako ila hiyo ndo habari.
KGB lilikuwa dude hatari sana lina mbinu zote za umafia, watu waliona Putin mjinga kushindwa kuipiga ukraine haraka kumbe mwenzao anataka kuicheza hiyo ngoma Ulaya nzima. Maisha ndani ya NATO yatakuwa ya wasiwasi sana na hapo wakitaka kupambana na hao magaidi itabidi wawaue waukraine.Ila hili lakuleta Jihadist Ulaya lazima watamkumbuka Putin maisha yao yote😀😀😁😁