Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 6,658
- 6,700
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu Mkwara ningekua mimi ni Comedy ningeshamuamkia Mzee Putini Shikamoo Mzee wangu.Russia wanasema kwamba kinachoendelea hapo Kharkov ni trailer tu na ni maandalizi ya mapiga ya summer (summer offensive).
View attachment 2990534
Kama watu wengine wanavyoshangaa hapa Tanzania tunaibiwa na genge flani linajulikana linaiba hadharani kabisa linatuumiza tunakosa barabara wala maji na huduma mbovu lakini ndio hivyo tu.Huh kuna clip inatembea, huyu huyu Blinken anaeshawishi watu waende frontline waka kaangwe vizuri huku yeye akiwa jukwaani hapo Kiev akicheza na Gitaa.
View attachment 2990616
F really kweli they care, katika Nchi wanayo tuaminisha kua ipo Vitani dhidi ya "Enemy" mwenye nguvu zaidi yake hivyo misaada ya kina inahitajika. Anafika eneo la mapambano anapanda jukwaani kucheza na Gitaa, kweli?
Kwa raia wa Ukraine wenye akili timam hili jambo wanalichukuliaje? Of course kuna pink ponies wanaona kawaida and enjoyable. Ila kwa Baba, Mama, au mke ambae mtu wake kachukuliwa kwa lazima then kwenda kufia frontlines kwa ajili ya hawa viumbe uchungu alio nao haupimiki.
Kuna wakati hua najarib kuvaa viatu vyao, inaniwazisha sana. Aiseee ni kheri kua na ulemavu wa mwili ila sio ulemavu wa akili. Kwa binadam ambae ana matatizo akilini mwake en yet hajioni kama ana tatizo yule mbuzi zizini ana ubora kuliko yeye.
View attachment 2990584
With the help of map just for illustration, US to Ukraine ni thousands miles (Yellow to Green), Ila watu wanafunga safari kwenda kuhakikisha mtu na jirani yake hawapatani abadani.
Ukrainians sijui nani kawaloga, na how comes serikali inaeza control population of millions astray, mmh? Ina maana hawawezi kupinga endapo wanapotezwa? Kwanini they are heading into total destruction, total collapse calmly utafikiri mikondoo. (Hapa huenda hata kondoo wakawa na nafuu).
Pia kama kweli ni Serikali ya raia wa Ukraine, imewekwa na raia wa Ukraine kwa ajili ya raia wa Ukraine kwanini ifanye kazi kwa maslah ya US nje ya interests za Ukrainians wenyewe?
Tukiangalia wanaokimbia na kujitoa kafara kuvuka mto kuingia Romania, wengine kunusurika wengine kufia majini wakijarib kutoroka kukamatwa kupelekwa front, hii hali inaongea mengi sana kuhusu Raia wa kawaida hapo Ukraine, Wanateseka sio kidogo.
When the rich wage WAR, its the POOR who DIES, it's the poor who SUFFERS. West wana print fedha kupeleka Ukraine, ila raia wa kawaida ndio wanaonja joto la jiwe huko fronts.
Angekua ni raia Urusi au mtu mwenye asili ya Urusi,ungevisikia vyombo vya habari vya Magharibi na mashabiki wao wanakuambia,"Putin mtu mbaya sana,Putin ni muuaji mkubwa."Putin ndio kamuua.Jamaa sidhani atapona nina wasiwasi sana
Ha ha haa.Hata kama sio head of state! Ndo apokelewe na diwani na wajumbe wa serikali ya mtaa?
We jamaa wewe Karkiv inapelekewa moto huo 😂Tutazidi kuwachinja warusi Kwa wingi kadri iwezekanavyo 😇 😇 😇
The total combat losses suffered by Russian invasion forces since the incursion on February 24, 2022, have amounted to 477,430, including 970 in the past day alone.
That’s according to the estimates from the General Staff of Ukraine’s Armed Forces, Ukrinform reports.
Also, Ukraine’s Defense Forces destroyed 7,418 Russian tanks (+13 over the past 24 hours), 14,246 (+19) armored fighting vehicles, 12,317 (+30) artillery systems, 1,057 MLR systems, 792 anti-aircraft warfare systems, 349 warplanes, 325 helicopters, 9,728 (+11) UAVs, 2,151 (+2) cruise missiles, 26 warships, a submarine, 16,549 (+40) vehicles and fuel tankers, and 2.019 (+2) units of specialized equipment.
VIDEO OF THE DAY
😂 dahNaam, ni zaidi ya mia Tisa walilambishwa mchanga Jana 🥱 🥱 🙌
Hizi reshuffle zimekaa kisiasa zaidi....View attachment 2991077🇷🇺 NEW DEFENSE MINISTER KNOWS "PERFECTLY WELL" HOW TO MANAGE MILITARY SPENDING - PUTIN:
Russian leader meets with top army commanders including new defense chief Belousov.
Putin thanks former chief Shoigu for his work and explains how Belousov's knowledge and experience will boost military and country's economy:
"Belousov understands perfectly well what needs to be done in order for the economy of the entire security bloc and the Ministry of Defense, as a key link in this bloc, to be included in the overall economy of the country"- Putin.
Kimkakati zaidi, si kisiasa.