LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Bado hujasema!

Zelensky says situation in Kharkiv 'extremely difficult' as Russia makes biggest gains in months​


"The direction remains extremely difficult – we are strengthening our units," Zelensky said after holding a meeting in Kharkiv, Ukraine's second-largest city, with his top commander and senior military leaders.


Wakati huohuo:

Kharkiv: Ukraine's second city 'under missile attack', mayor says​



Ihor Terekhov made his comment not long after regional governor Oleh Syniehubov said at least five Russian drones had struck the northeastern city late on Thursday.


 

Big blunder’ to let China and Russia get close – US strategist​


US President Joe Biden’s cabinet has made a major policy mistake by driving Russia and China into a strategic partnership, Heritage Foundation fellow Michael Pillsbury said on Thursday.

Pillsbury spoke to Fox and Friends as Russian President Vladimir Putin met with his Chinese counterpart Xi Jinping in Beijing on his first foreign trip since inauguration.

“To draw, to push together two nuclear powers, Russia and China, it’s really a blunder of the highest order,” he told Fox News’ Brian Kilmeade.

According to Pillsbury, China spent much of the past 75 years in conflict with the Soviet Union, “so to see them come together like this to me is just shocking.”
 
Hizi reshuffle zimekaa kisiasa zaidi....

T14 Armata Gagnija
Reshuffle ya Waziri wa Ulinzi haijakaa kisiasa ilikuwa inastahili. Hizi za deputies waliokuwa arrested ndio zimekaa kisiasa, kwa Urusi kiongozi anaweza kula rushwa na akajulikana ila akaachwa. Siku asipohitajika anatafutiwa visingizio aondoke, hawakubali kumuondoa mtu waseme amepwaya nafasi yake.

Hao wengine sio kwamba ni wasafi almost wote hao wizi wanafanya. Alafu kuna nafasi jeshi la Urusi automatically yeyote anayekuwepo ataiba hata kiasi kidogo hivyo sio shida sana kama atafanya kazi vizuri, sehemu kama Rostec, Rosoboronexpot au tender za jeshi. Mifumo yao inatoa mwanya, kwanza wana bureaucracy nyingi na kuna mifumo inaenda kwa maamuzi binafsi ya viongozi.

Sergei Shoigu kakaa nafasi hiyo tangu 2012 muda wake umetosha. Tena Shoigu alimrithi Serdyukov ambaye alikuwa raia mwanauchumi na alifanya mageuzi makubwa jeshini ndani ya muda mfupi, ingawa alipingwa sana na wezi. Process zake nyingi za renovation, upgrade, training, modernization zimefanyika na zimeisaidia Urusi pakubwa
1000410089.jpg


Naamini hata huyu raia aliyeingia atafanya mambo ya muhimu. Mtu mwingine anayetakiwa kustaafu ni Chief of General Staff, General Valery Gerasimov.
Huyu exceptionally aliingia nafasi hiyo kwa vigezo sio siasa, hata wapinzani walipongeza yeye kuteuliwa. Ila kadumu muda mrefu inahitajika mawazo mapya. Ambaye alikuwa wa mageuzi ni Sergey Surovikin ila tangu suala la Prigozhin amekuwa out of favour. Alafu Surovikin sio ndio mzee, sio likondoo na hiyo kwa siasa za Urusi sio sifa.

Russian Navy former commander wake Admiral Nikolai Yevmenov nilikuwa namkubali
1000410130.jpg

Mwaka jana ghafla akaanza kukosa kwenye matukio ya kijeshi. Mwezi March mwaka huu akawa replaced kiubaridi na aliyepo sasa anakaimu

Urusi hii vita wanafanya na wanajifunza mabadiliko. Ni tabia yao kila vita ikiisha wanajitafakari, hii sasa imedumu muda mrefu haina haja kusubiri iishe. Ilipoisha Chechen wars wakafanya mageuzi, vita ya Georgia wakagundua wana madhaifu mengi sana wakafanya mageuzi (alikuwepo Serdyukov ana kama mwaka akiwa Waziri wa Ulinzi akawasha moto), war on Donbass ilikuwa small scale ila walijifunza vitu viwili vikubwa:
1. Matumizi ya drones
2. Matumizi ya electronic warfare (silaha zao nyingi za EW waliziupgrade na kuzipima kipindi hiki)

Kwenye annexation of Crimea 2014 hawakupigana maana Ukraine ilikuwa dhaifu. Ukraine ikaenda kujifua Ulaya ikafanya mageuzi makubwa sana kuanzia maofisa, sare, training, silaha, utoaji wa vyeo na kuondoa Soviet mentality. Ndio maana maofisa wa Ukraine wengi ni miaka 40 na 50 katikati hapo. Ikaja vita ya 2022 Ukraine ikawa tofauti kabisa na ilivyotarajiwa.

So far haya mageuzi yanaenda kuipa nguvu mpya Urusi. Hata hivyo Shoigu na Gerasimov hawajafanya vibaya, ila kazi kubwa naona imefanywa na Russian Central Bank na wizara ya uchumi, uzuri kule hakuna chawa wewe kama hujui hupewi cheo. Hawa watu mipango yao inatiki kuliko hata ile ya shirika la kijasusi la Urusi. Hivyo vichwa pale sio vya kawaida, kama huyu Gavana Elvira Nabiullina
1000410192.jpg


Kwanza Nabiullina aliwahi kuwa Waziri wa Uchumi, then huyu Waziri wa Ulinzi wa sasa ndio akamrithi madaraka. Therefore naamini mahitaji ya jeshi la Urusi kwa sasa ni kwenda kwa uchumi mkali kuliko kawaida. Kinachoibeba Urusi kwa sasa ni wataalamu wa uchumi kuliko jeshi lenyewe.
 
Reshuffle ya Waziri wa Ulinzi haijakaa kisiasa ilikuwa inastahili. Hizi za deputies waliokuwa arrested ndio zimekaa kisiasa, kwa Urusi kiongozi anaweza kula rushwa na akajulikana ila akaachwa. Siku asipohitajika anatafutiwa visingizio aondoke, hawakubali kumuondoa mtu waseme amepwaya nafasi yake.

Hao wengine sio kwamba ni wasafi almost wote hao wizi wanafanya. Alafu kuna nafasi jeshi la Urusi automatically yeyote anayekuwepo ataiba hata kiasi kidogo hivyo sio shida sana kama atafanya kazi vizuri, sehemu kama Rostec, Rosoboronexpot au tender za jeshi. Mifumo yao inatoa mwanya, kwanza wana bureaucracy nyingi na kuna mifumo inaenda kwa maamuzi binafsi ya viongozi.

Sergei Shoigu kakaa nafasi hiyo tangu 2012 muda wake umetosha. Tena Shoigu alimrithi Serdyukov ambaye alikuwa raia mwanauchumi na alifanya mageuzi makubwa jeshini ndani ya muda mfupi, ingawa alipingwa sana na wezi. Process zake nyingi za renovation, upgrade, training, modernization zimefanyika na zimeisaidia Urusi pakubwaView attachment 2992506

Naamini hata huyu raia aliyeingia atafanya mambo ya muhimu. Mtu mwingine anayetakiwa kustaafu ni Chief of General Staff, General Valery Gerasimov.
Huyu exceptionally aliingia nafasi hiyo kwa vigezo sio siasa, hata wapinzani walipongeza yeye kuteuliwa. Ila kadumu muda mrefu inahitajika mawazo mapya. Ambaye alikuwa wa mageuzi ni Sergey Surovikin ila tangu suala la Prigozhin amekuwa out of favour. Alafu Surovikin sio ndio mzee, sio likondoo na hiyo kwa siasa za Urusi sio sifa.

Russian Navy former commander wake Admiral Nikolai Yevmenov nilikuwa namkubaliView attachment 2992505
Mwaka jana ghafla akaanza kukosa kwenye matukio ya kijeshi. Mwezi March mwaka huu akawa replaced kiubaridi na aliyepo sasa anakaimu

Urusi hii vita wanafanya na wanajifunza mabadiliko. Ni tabia yao kila vita ikiisha wanajitafakari, hii sasa imedumu muda mrefu haina haja kusubiri iishe. Ilipoisha Chechen wars wakafanya mageuzi, vita ya Georgia wakagundua wana madhaifu mengi sana wakafanya mageuzi (alikuwepo Serdyukov ana kama mwaka akiwa Waziri wa Ulinzi akawasha moto), war on Donbass ilikuwa small scale ila walijifunza vitu viwili vikubwa:
1. Matumizi ya drones
2. Matumizi ya electronic warfare (silaha zao nyingi za EW waliziupgrade na kuzipima kipindi hiki)

Kwenye annexation of Crimea 2014 hawakupigana maana Ukraine ilikuwa dhaifu. Ukraine ikaenda kujifua Ulaya ikafanya mageuzi makubwa sana kuanzia maofisa, sare, training, silaha, utoaji wa vyeo na kuondoa Soviet mentality. Ndio maana maofisa wa Ukraine wengi ni miaka 40 na 50 katikati hapo. Ikaja vita ya 2022 Ukraine ikawa tofauti kabisa na ilivyotarajiwa.

So far haya mageuzi yanaenda kuipa nguvu mpya Urusi. Hata hivyo Shoigu na Gerasimov hawajafanya vibaya, ila kazi kubwa naona imefanywa na Russian Central Bank na wizara ya uchumi, uzuri kule hakuna chawa wewe kama hujui hupewi cheo. Hawa watu mipango yao inatiki kuliko hata ile ya shirika la kijasusi la Urusi. Hivyo vichwa pale sio vya kawaida, kama huyu Gavana Elvira Nabiullina View attachment 2992501

Kwanza Nabiullina aliwahi kuwa Waziri wa Uchumi, then huyu Waziri wa Ulinzi wa sasa ndio akamrithi madaraka. Therefore naamini mahitaji ya jeshi la Urusi kwa sasa ni kwenda kwa uchumi mkali kuliko kawaida. Kinachoibeba Urusi kwa sasa ni wataalamu wa uchumi kuliko jeshi lenyewe.
hamasa yangu, umeandika bila bias hongera sana
 
Za kuambiwa changanya na zako!

Russian troops advance - but situation 'stabilised', says Zelenskyy​


Volodymyr Zelenskyy says the situation in Kharkiv has "stabilised" as of today, as cited by news outlet RBC-Ukraine.


He says Russian forces have advanced 10km (6 miles) in one area of the region, which has been intensely targeted by Moscow in a bid to stretch Ukraine's already-outnumbered troops.


Ukraine's defence lines stretched as Russian troops advance​


 
Reshuffle ya Waziri wa Ulinzi haijakaa kisiasa ilikuwa inastahili. Hizi za deputies waliokuwa arrested ndio zimekaa kisiasa, kwa Urusi kiongozi anaweza kula rushwa na akajulikana ila akaachwa. Siku asipohitajika anatafutiwa visingizio aondoke, hawakubali kumuondoa mtu waseme amepwaya nafasi yake.

Hao wengine sio kwamba ni wasafi almost wote hao wizi wanafanya. Alafu kuna nafasi jeshi la Urusi automatically yeyote anayekuwepo ataiba hata kiasi kidogo hivyo sio shida sana kama atafanya kazi vizuri, sehemu kama Rostec, Rosoboronexpot au tender za jeshi. Mifumo yao inatoa mwanya, kwanza wana bureaucracy nyingi na kuna mifumo inaenda kwa maamuzi binafsi ya viongozi.

Sergei Shoigu kakaa nafasi hiyo tangu 2012 muda wake umetosha. Tena Shoigu alimrithi Serdyukov ambaye alikuwa raia mwanauchumi na alifanya mageuzi makubwa jeshini ndani ya muda mfupi, ingawa alipingwa sana na wezi. Process zake nyingi za renovation, upgrade, training, modernization zimefanyika na zimeisaidia Urusi pakubwaView attachment 2992506

Naamini hata huyu raia aliyeingia atafanya mambo ya muhimu. Mtu mwingine anayetakiwa kustaafu ni Chief of General Staff, General Valery Gerasimov.
Huyu exceptionally aliingia nafasi hiyo kwa vigezo sio siasa, hata wapinzani walipongeza yeye kuteuliwa. Ila kadumu muda mrefu inahitajika mawazo mapya. Ambaye alikuwa wa mageuzi ni Sergey Surovikin ila tangu suala la Prigozhin amekuwa out of favour. Alafu Surovikin sio ndio mzee, sio likondoo na hiyo kwa siasa za Urusi sio sifa.

Russian Navy former commander wake Admiral Nikolai Yevmenov nilikuwa namkubaliView attachment 2992505
Mwaka jana ghafla akaanza kukosa kwenye matukio ya kijeshi. Mwezi March mwaka huu akawa replaced kiubaridi na aliyepo sasa anakaimu

Urusi hii vita wanafanya na wanajifunza mabadiliko. Ni tabia yao kila vita ikiisha wanajitafakari, hii sasa imedumu muda mrefu haina haja kusubiri iishe. Ilipoisha Chechen wars wakafanya mageuzi, vita ya Georgia wakagundua wana madhaifu mengi sana wakafanya mageuzi (alikuwepo Serdyukov ana kama mwaka akiwa Waziri wa Ulinzi akawasha moto), war on Donbass ilikuwa small scale ila walijifunza vitu viwili vikubwa:
1. Matumizi ya drones
2. Matumizi ya electronic warfare (silaha zao nyingi za EW waliziupgrade na kuzipima kipindi hiki)

Kwenye annexation of Crimea 2014 hawakupigana maana Ukraine ilikuwa dhaifu. Ukraine ikaenda kujifua Ulaya ikafanya mageuzi makubwa sana kuanzia maofisa, sare, training, silaha, utoaji wa vyeo na kuondoa Soviet mentality. Ndio maana maofisa wa Ukraine wengi ni miaka 40 na 50 katikati hapo. Ikaja vita ya 2022 Ukraine ikawa tofauti kabisa na ilivyotarajiwa.

So far haya mageuzi yanaenda kuipa nguvu mpya Urusi. Hata hivyo Shoigu na Gerasimov hawajafanya vibaya, ila kazi kubwa naona imefanywa na Russian Central Bank na wizara ya uchumi, uzuri kule hakuna chawa wewe kama hujui hupewi cheo. Hawa watu mipango yao inatiki kuliko hata ile ya shirika la kijasusi la Urusi. Hivyo vichwa pale sio vya kawaida, kama huyu Gavana Elvira Nabiullina View attachment 2992501

Kwanza Nabiullina aliwahi kuwa Waziri wa Uchumi, then huyu Waziri wa Ulinzi wa sasa ndio akamrithi madaraka. Therefore naamini mahitaji ya jeshi la Urusi kwa sasa ni kwenda kwa uchumi mkali kuliko kawaida. Kinachoibeba Urusi kwa sasa ni wataalamu wa uchumi kuliko jeshi lenyewe.
Mwanzo Nikasoma Nikafika mstali wa Tatu nikoana ngoja kwanza Nikague Id nani huyu kumbe Mjuaji Zero!!
 
Tutazidi kuwachinja warusi Kwa wingi kadri iwezekanavyo 😇 😇 😇 😇 😇

⚡⚡Russia’s total combat losses from February 24, 2022, to May 17, 2024, are estimated at 489,870, including 1,410 servicemen killed or wounded in action in the past day alone.
That’s according to the General Staff of Ukraine’s Armed Forces, Ukrinform reports.

Also, Ukraine’s troops destroyed 7,547 enemy tanks (+18 in the past 24 hours), 14,552 (+14) armored combat vehicles, 12,603 (+38) artillery systems, 1,071 (+1) multiple rocket launchers, 800 (+2) anti-aircraft warfare systems, 353 (+2) warplanes, 326 (+1) helicopters, 10,073 (+45) UAVs, 2,200 cruise missiles, 26 warships/cutters, a submarine, 17,104 (+56) vehicles and fuel tankers, and 2,062 (+7) units of specialized military equipment.
 
Back
Top Bottom