Ndugu yangu,Kila nchi hua haipendi vita hapa duniani,lkn Kuna muda ukifika na maadui zako wakivuka mstari mwekundu utapigana TU,utaks usitake.
Mkuu Huk Luk katupa msamiati wake mmoja haumu hapa Jana TU,kua "ukishindwa kuvuka mto Leo ,uta utalazimika kuvuka bahari kesho."
Iko hivi,china asipomsaidia Urusi Leo ili awe huru maisha yake yote,basi kesho atakua mfungwa wa Marekani atake asitake.maana west wakimshinda Urusi,anaefuata atakua china,china akishindwa kuingia vitani basi akubali kupangiwa Kila kitu na west pamoja na kuamrishwa aachane na ishu ya Taiwan.
Je IPi ni rahisi kwa china?