LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
⚡Russian Defense Minister Belousov says the production of FPV drones in Russia has grown to 4,000 drones per day.
 

Attachments

  • 43543db0-5cd8-4116-847c-52d7c569d23f.jpg
    43543db0-5cd8-4116-847c-52d7c569d23f.jpg
    63.4 KB · Views: 4
Kyiv Post:

Ukrainian soldiers working with Rapid Support Force terrorists fighting against the Sudanese government.
 

Attachments

  • 22853eda-a5d1-4d14-991d-612e8a631385.jpg
    22853eda-a5d1-4d14-991d-612e8a631385.jpg
    78.2 KB · Views: 3
Vipi mzee SYRIA ni kilometa ngapi kutoka Russia.Kumbuka US na mamluki wake wakiwemo waimngereza walibakiza 20 Km tu kuingia Damascus kuingoa serikali ya Assad.Lakini mwamba PUTIN alipoamua kungia mazima kumlinda Assad nini kilitokea? Mchezo uligeuka na sehemu kubwa ya Syria ikakombolewa.Leo hii tayari haya manafiki yanakimbilia kufungua balozi na Syria.Jana tu Germany na France zimefungua uhusiano, wa kibalozi na Syria.
Mzee wa busara aliwahi kusema "Ogopa sana mjinga anayejiamini"....... Mwisho wa kunukuu.... Chuki za jamaa zinamfanya kuwa mjinga wakati ana akili nzuri tu.
 
Hii vita Putin kashaishindwa kuimaliza - cha msingi wakae mezani wayamalize.
 
Kuna muda unajiuliza hawaoni ama hawajui
Russia hii vita anapigana nayo kiakili na kibabe sanaa
Russia vita anapiganwa ukraine nzima ila eneo lengwa kalifanya liwe dogo ili kuhakikisha anatumia resources ndogo sana
Eneo la vita limekua don bass kherson zapo na hapo kharkiv ila russia anapiga mpaka liviv
Russia alijua kama wamagharibi wanataka aivamie kivu mazima mazima ila kumbe kawazidi akili kuliko walivyodhania
Russia angekimbilia moja kwa moja kivu alikua anaenda kushinda vita kwa nguvu kubwa zisizo lazima ila angepoteza watu wake wengi sana sana sanaa
DT juzi hapa kakiri kwamba Russia ni habari nyengine jf kuna watu wanajua kuliko DT
Ndugu yanguuu...Kuna watu wanakula kuliko Trump ..na wapo BUSIKIMBI huko Buchosa ndanindani huko maisome ..makalioni mwa nchi.... Aseee....
 
Hii vita Putin kashaishindwa kuimaliza - cha msingi wakae mezani wayamalize.
Mbaya zaidi warusi wanazidi kulambishwa mchanga kila iitwapo Leo..,hii ni Jana tu,ni zaidi ya elf Moja walichinjwa 🥱🥱🥱🥱
1722408209950.jpg
 
Hivi vifaa vilitangazwa sana kabla havijaletwa uwanja wa vita,lkn Sasa vimekua chakula ya moto wa Urusi.
Watu walitumaini zitabadili mwenendo wa vita.
Tunasubiri tuone ndege F-16 zitabadilisha Nini.

Uzuri wa vita hii inatupa majibu ya ubishani wa miaka mingi juu ya uwezo wa kijeshi baina ya Urusi na west.
Maana majibu tunayaona Sasa sio Kila mtu kuandika TU ana yofikiri.
Vita ni kama mpira TU, mpira ni mchezo wa wazi na vita ni tukio la wazi.
Matokeo ya vita Kila mtu anayaona mbabe anajulikana na dhaifu anajulikana.
Nchi moja inapamabana na nchi zaidi ya 30.

Mifumo ya ulinzi ya Urusi ndio Mifumo pekee duniani Kwa Sasa ambayo imepambana na makombora Bora kabisa kutoka nchi Bora kabisa hapa duniani.
Mfano ATACMS ya USA na storm Shadow ya UK

_____________________

Russian forces have destroyed another German-made Ukrainian Leopard 2A4 tank, fresh footage that surfaced online on Tuesday shows.
______________________

The Russian Defense Ministry on Monday reported the destruction of another Ukraine-operated M1 Abrams tank, and shared drone footage of an artillery strike on the vehicle.

______________________


US-made М270А1 MLRS system was destroyed on Monday, the Russian Defense Ministry has reported, sharing footage of a ballistic missile strike on its position
The system, a heavier-tracked cousin of HIMARS capable of firing both ATACMS tactical ballistic missiles as well as smaller high-precision projectiles, was identified by a surveillance drone near the village of Novotroitskoye in Russia’s Kherson Region, which is currently occupied by the Ukrainian forces
 
Vipi Mlinganisho wa wavaa kobaz Taleban vs Marekani na washirika wake?
Iliwachukua miaka 20 na bado wakapigwa na kukimbia kwa aibu.

Unaposema numbers na Landmass una maanisha nini?

Kifupi Urusi kaonesha resilient na upper hand kwenye vita hii against NATO, European Union, Collective West na vassal states zake kama South Korea, Japan na Australia.
Misaada Yao si lolote na Wala chochote.

Ile waliyoitegemea kama hybrid warfare kuanzia Uchumi, kijeshi, information imeshindwa.

Kama Urusi ni incompetent, hao wengine utawaelezea vipi?
Mkuu nakupa heshima zote kwa andiko hili.
Kwa kukuongezea TU juu ya nondo zako hizi ulizotoa ni kwamba Sasa hivi sio muda wa ubishi Tena.
Bali Sasa hivi ni kufuatilia TU kinachotokea uwanja wa vita huko Ukraine na kuona matokeo.
Kabla ya vita na mwanzo wa vita tulidanganywa sana juu ya ukuu wa nchi za west dhidi ya Urusi.
Lkn Sasa vita tunaishubidia wenyewe na matokeo tunayaona.
Wakati huu wa vita ndio tunaweza kuona bila mtu yoyote kutuhadithia juu ya nani ni Bora zaidi kuliko mwingine.
Kwani vita ni kama mchezo wa mpira vile,yaani mpira ni mchezo wa wazi na vita ni tukio la wazi kabisa,anaeshidiwa anaonekana na anaeshinda anaonekana.
Sio Siri Dunia nzima inajua wazi kua,NATO wote hawaishi vikao,misaada kwa Ukraine ya fedha silaha na vikwazo dhidi ya nchi moja.
Dunia nzima inajua kua Urusi inakamata ardhi Kila siku,hivyo blabla kua Urusi ni dhaifu labda wakaambiwe manyani kama wataelewa,lkn akienda chekechea akawaambia kua Urusi ni dhaifu watoto watamhoji maswali kibao ya kushangaa.
 
Hivi vifaa vilitangazwa sana kabla havijaletwa uwanja wa vita,lkn Sasa vimekua chakula ya moto wa Urusi.
Watu walitumaini zitabadili mwenendo wa vita.
Tunasubiri tuone ndege F-16 zitabadilisha Nini.

Uzuri wa vita hii inatupa majibu ya ubishani wa miaka mingi juu ya uwezo wa kijeshi baina ya Urusi na west.
Maana majibu tunayaona Sasa sio Kila mtu kuandika TU ana yofikiri.
Vita ni kama mpira TU, mpira ni mchezo wa wazi na vita ni tukio la wazi.
Matokeo ya vita Kila mtu anayaona mbabe anajulikana na dhaifu anajulikana.
Nchi moja inapamabana na nchi zaidi ya 30.

Mifumo ya ulinzi ya Urusi ndio Mifumo pekee duniani Kwa Sasa ambayo imepambana na makombora Bora kabisa kutoka nchi Bora kabisa hapa duniani.
Mfano ATACMS ya USA na storm Shadow ya UK

_____________________

Russian forces have destroyed another German-made Ukrainian Leopard 2A4 tank, fresh footage that surfaced online on Tuesday shows.
______________________

The Russian Defense Ministry on Monday reported the destruction of another Ukraine-operated M1 Abrams tank, and shared drone footage of an artillery strike on the vehicle.

______________________


US-made М270А1 MLRS system was destroyed on Monday, the Russian Defense Ministry has reported, sharing footage of a ballistic missile strike on its position
The system, a heavier-tracked cousin of HIMARS capable of firing both ATACMS tactical ballistic missiles as well as smaller high-precision projectiles, was identified by a surveillance drone near the village of Novotroitskoye in Russia’s Kherson Region, which is currently occupied by the Ukrainian forces
Russia Reportedly Downs Its Own Mi-8 Helicopter, According to Russian Media

Russian media channels are reporting the loss of an Mi-8 helicopter near Donetsk. According to them, Russian air defense could have downed it.

It is reported that the helicopter could have been carrying injured people.

1722431965395.jpg
 
Back
Top Bottom