LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Bila shaka umeielewa kauli ya “nothing about Ukraine without Ukraine”. Na pia ulisikiliza hotuba ya Germany Chancellor Olaf Scholz akijibu hotuba ya US VP JD Vance kule Munich kuweka msimamo wa Ujerumani na EU kwa ujumla.
Wahuni wanasema "Europe mbele ya Marekani ni Afrika iliyochangamka"
 
Tujipe muda ila nakuhakikishia EU na NATO hawana sera ya mambo ya nje huru, always watacheza ndani ya mfumo na matakwa ya USA.
Huo ndo ukweli baba kasema , watoto mtanuna mtasema mwisho wasiku mtamsikiliza na kutekeleza matakwa ya baba, nchi za EU ni makoloni ya Marekani Hayana say mbele ya USA. Hawawezi kubishana na baba yao.
 
Dah Ukraine!
sijui wamekutwa na Nini!
Sijui ni mikosi,!
sijui ni kua na kiongozi Mjinga!
au sijui ni mpango wa mungu!
Au walidanganywa!?
Ona Sasa:-

-wanalazimika kutoa madini Yao kwa USA bila faida ambayo yangewaletea utajiri kwa ajili ya malipo ya silaha,

-Vita wamepoteza,

-Askari wao wamekufa bila faida,

-Eneo lao kubwa limechukuliwa na Urusi,

- hawatakaa wajiunge na NATO milele.
Team Russia tunashukuru malengo ya SMO yametimia, ndugu yangu kipanya sijui atakua na Hali gani saivi.
 
⚡Olaf Scholz to Bloomberg:

“It will not be possible to reach a solution at the expense of Ukrainians.”

“All those who want Europe to be part of peace must discuss this and involve European leaders in the decision-making process.”

“Europe spends more on Ukraine than Washington, everyone should take us into account.”

“The EU is strong enough to counter any US tariff threat.”
 
⚡NATO officials criticize Ukraine for wasting Western arms by relying on Soviet-style tactics.

Tensions are rising between NATO and Ukraine. UK defence sources criticised Ukraine's army for misusing Western-donated weapons. Ukrainian forces are using Soviet-style tactics, wasting expensive NATO equipment.

Ukrainian troops misuse costly NLAW missiles (£20,000 each), treating them like cheap RPGs—firing salvos worth over £100,000 instead of using NATO’s precision tactics. Reports claim Ukrainian forces have abandoned Javelin launchers, some falling into Russian hands.

“The Russian Army may now have more Javelins than the British Army," a British source said.
 
Kwa kifupi ni kwamba EU wamechanganyikiwa.

Lakini kiuhalisia hii ndo New World Order in process.

Sasa Macron kaamua kujipa jukumu la kuongoza kikao cha dharura kinofanyika kesho jumatatu kama kiongozi wa muda au twasema “de facto leader”.

Tusubiri matokeo ya kikao hicho jijini Paris.

Ila bara la Ulaya limetikiswa kwa sasa.
 
Kwa kifupi ni kwamba EU wamechanganyikiwa.

Lakini kiuhalisia hii ndo New World Order in process.

Sasa Macron kaamua kujipa jukumu la kuongoza kikao cha dharura kinofanyika kesho jumatatu kama kiongozi wa muda au twasema “de facto leader”.

Tusubiri matokeo ya kikao hicho jijini Paris.

Ila bara la Ulaya limetikiswa kwa sasa.
Why do I get the impression that these guys are simply politicking having already decided everything they actually want?
 
Back
Top Bottom