Kwani before exchange Ukraine alikuwa ana advance huko frontline!?Kumbuka kwa makubaliano haya, military aid and intelligence for Ukrain resumed!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani before exchange Ukraine alikuwa ana advance huko frontline!?Kumbuka kwa makubaliano haya, military aid and intelligence for Ukrain resumed!
Russia washaingia Dnipro, hujasikia?!Kumbuka kwa makubaliano haya., military aid and intelligence for Ukrain resumed!
Russian forces continue to make confirmed advances in Kursk Oblast and have likely begun attacking Sudzha.Wataendelea na operesheni mpaka watakapokubaliana kuanza hii ceasefire.
Kama bakhmut tuHuko Kursk ni kabuli la Ukraine, hakuna pakukimbilia wala kujificha!
Russian forces appear to be destroying bridges in Kursk Oblast and along the international border, likely as part of efforts to prevent Ukrainian forces from withdrawing from Kursk Oblast into Ukraine.
March 8, 2025, 9:00pm ET
Institute for the Study of War
This page collects ISW and CTP's updates on the conflict in Ukraine. In late February 2022, ISW began publishing daily synthetic products covering key events related to renewed Russian aggression against Ukraine.www.understandingwar.org
Putin huwa simuelewi, anaweza akakubali hii ceasefire.Putin ka unaniskia usikubali ceasefire baba wanataka kure-group.. endeleza kichapo Hadi kieleweke kimoja!
Bora rasilimali za nchi zitumike kuliko kujisalimisha kwa nduli Putin 🏃Kwa exchange ya rasilimali za nchi
Tumekusikia mchambuzi wetu kutoka namtumbo🏃🏃Hii ishu ya Kursk kama kuna something fishy,
Aidha U.S alijua mapema kuwa Urusi wamedhamiria kurudisha eneo lao kwa gharama yoyote na hakuna namna ya kuzuia, ili kuficha aibu wakapata njia ya kuweka masharti magumu kwenye resource deal akateae alafu wakae pembeni hadi Urusi atakapomaliza operation yake
U.S walijua Ukraine atakataa masharti ya rasilimali, ila atakimbilia Ulaya, sasa wakaamua wamuonyeshe bila wao Ulaya hawana uwezo wa kumsaidia
Tatu ni kuwa labda U.S na Urusi walishakubaliana nyuma ya pazia.
Maana siku mbili tatu hizi ni kama Ulaya wamepiga kimya
Hapa Ukraine kacheza karata muhimu.., Ukraine anajua kabisa urusi hawezi kukubali ceasefire wakati bado ardhi yake inaendelea kukaliwa kimabavu.., urusi akikataa ceasefire Ina maana uhusiano wa Ukraine na USA utazidi kuimarika mara dufu..,hapo tutarajie vikwazo zaidi kuwekwa dhidi ya urusiPutin huwa simuelewi, anaweza akakubali hii ceasefire.
Kuondoa imani Ni haki yako,,,, lakin urusi itakuwa na namna bora zaid kuliko fikra yako, maana wana experience kubwa na mambo hayo kuliko weweUrusi wakikubali hili nitapoteza imani nao.... Huu ndio ule wakati wa kupiga kichwa cha nyoka baada ya nyoka kuonekana anapoteza uhai.
Tusubiri kwanza dawa iwaingie kisha mambo mengine yataendelea.Hapa Ukraine kacheza karata muhimu.., Ukraine anajua kabisa urusi hawezi kukubali ceasefire wakati bado ardhi yake inaendelea kukaliwa kimabavu.., urusi akikataa ceasefire Ina maana uhusiano wa Ukraine na USA utazidi kuimarika mara dufu..,hapo tutarajie vikwazo zaidi kuwekwa dhidi ya urusi
Mikakati ya Urusi akitaka akumalize ni mibaya sana kwa adui. Anaanza kwanza kwa kukata supply route ya mahitaji muhimu ya adui yake. Then, baada ya hapo anakuweka mtu kati. Kwa mfano Wanajeshi wa Ukraine walioko Kursk hawawezi kutoka huko na kurudi Ukraine maana madaraja yote yamebomolewa. Kuna waliotaka kutoroka siku ya jana (Jumanne) kwa kutumia barabara walipofika darajani wakakuta hakuna daraja na wakakabiliana na kichapo.Kama bakhmut tu
Kwa lugha rahisi ni kwamba wamefanywa kitoweo.Zelensk anashindwa kuelewa kuwa vita ni wanajeshi na sio Silaha.kama hakuna wanajeshi basi Silaha ni kazi bure.wanajeshi waliokufa Kurks wangeweza kukomboa hata mkoa mmoja ndani ya UkraineMikakati ya Urusi akitaka akumalize ni mibaya sana kwa adui. Anaanza kwanza kwa kukata supply route ya mahitaji muhimu ya adui yake. Then, baada ya hapo anakuweka mtu kati. Kwa mfano Wanajeshi wa Ukraine walioko Kursk hawawezi kutoka huko na kurudi Ukraine maana madaraja yote yamebomolewa. Kuna waliotaka kutoroka siku ya jana (Jumanne) kwa kutumia barabara walipofika darajani wakakuta hakuna daraja na wakakabiliana na kichapo.
Lakini mara ya kwanza Zere alipo goma kusaini mkataba si mlijazana humu kumsifu kuwa ni mwanaume hawezi kuuza nchi yake sasa hivi imekuwaje tena?Bora rasilimali za nchi zitumike kuliko kujisalimisha kwa nduli Putin 🏃