Special Weapons and Tactics Unit

Special Weapons and Tactics Unit

Aadilu

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
645
Reaction score
463
Nchi imekua kiutandawazi, Tanzania ya leo si ya mwaka 1978, Uhalifu wa kutumia silaha umeongeza, ugaidi ndio kila kukicha utekaji nyara nao unashika kasi, Hivi, tulishawahi kujiuliza yaliyotokea westgate kule Westland Nairobi yakitokea Pale Quality Plaza tutachukua hatua gani.

Hivi leo watokee Watu kama 9 hivi wenye silaha nzito na mbinu za medani, wakavamia shule moja let's say St Marys na kuanza kuua ovyo tutawafanyaje? Polisi hawa wa kawaida wataweza mziki huo?

Bila shaka tunahitaji kikundi maalum kutoka idara za ulinzi na usalama chenye uwezo wa kupambana na matukio kama haya, Special weapons and tactics.

Mimi nashauri tu tuanzishe hii kitu naona kama tumejisahau sana...
 
swat inastahili kipaumbele kwa namna hii ya maisha tuliyonayo sasa, mbinu na uwezo wa majambazi zimebadilika sana.
 
Huna uhakika tu na unachokisema ila Tanzania kipo polisi kinaitwa CRT( crisis responses team) ila ndo hivyo hakithaminiwi saana kwa maaana ya motivation and privileges. Baadhi ya mikoa kipo hai kama Kgma.

Askari hawa walipata mafunzo toka marekani hata bunduki zao ni tofauti na polisi wa kawaida ni zile sniper riffle.
 
Hivi unavyosikiaga polisi wamepambana na majambazi yenye silaha wadhani wale wanakuwaga polisi wakawaida? Kwasababu halijawahi tokea tukio kama hilo la westgate nchini ndomana umekuwa na maswali na sio vibaya kuuliza. Ila jua kipo na kinaitwa Crisis Response Team na kinafanya kazi pale kinapohitajika
 
Mi nadhani kikosi hiko kipo unakumbuka wale majambaz 12 waliojifichaga hotelini nadhani ilikua moshi walikua na siraha nzito na mabomu zikapigwa toka asb mpaka mchana wakauawa wote.
 
Mi na wewe, Serikali huundwa na watu na watu ndio sisi

Wewe upo kwa kundi la Watanzania sawa na wengine weeeengi hata mimi ila yanapokuja masuala ya usalama kama hayo sasa maneno yanapungua na watu wachache wanafanya kazi!!!!!

Hata hao unaowaita Serikali sio woooote wanajua aspect
za ulinzi!!!!!!

Watu hawajajisahau asilani,wapo gado kabisa we lala hapo kula lewa ni sababu watu wapo kazini!!!!!!
 
Sijawahi kusikia kwenye magazeti wala kwenye TV, Kingekuwepo tungejua tu.

Kwa nini unadhani kila kitu kinaweza tu kuwepo kwenye magazeti na kwenye TV????!!!
Kabla ya muungano uliwahi kuona askari wa mwavuli live hapa Tanzania???!!!
Umewahi kusikia mashindano ya shabaha kwa risasi za moto????!


Hujui mengi tu mkuu na inatakiwa iwe hivyo na ndio maana kuna division of labour and specialization
 
Huna uhakika tu na unachokisema ila Tanzania kipo polisi kinaitwa CRT( crisis responses team) ila ndo hivyo hakithaminiwi saana kwa maaana ya motivation and privileges. Baadhi ya mikoa kipo hai kama Kgma.

Askari hawa walipata mafunzo toka marekani hata bunduki zao ni tofauti na polisi wa kawaida ni zile sniper riffle.
Kigoma? Si huko ndiko wavuvi ziwa Tanganyika wanatekwa na kunyang'anywa mali zao kila uchao!
 
hata kamka kikiundwa hutajua hadi pale kitakapohitajika kufanya kazi.....ishu za usalama ni secret...!!!
 
sijawahi kusikia kwenye magazeti wala kwenye tv, kingekuwepo tungejua tu.

kinaitwa crt maana yake ni crisis rensponce team(never mind about spelling).kilanzishwa 2010 kama sikosei na walikua wana watu toka marekani ndo wana train.kipo jeshi la polisi ila sina uhakika kama bado kina run.naomba kuwasilisha mkuu
 
Kigoma? Si huko ndiko wavuvi ziwa Tanganyika wanatekwa na kunyang'anywa mali zao kila uchao!

hapana mkuu sio kigoma peke yake ila ni pote sema ina bidi serikali ikiwekee mkazo kwani kinasaidia kwa majanga,hata mdogo wangu yumo ila hayupo kigoma,yeye yupo moshi
 
Back
Top Bottom