Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha nini?
Na bongo movie na wasanii wetu..nmefuraha aliposema wasanii wa Mbele wanashoot video kwenye magari mzuri ambayo kiuhalisia sio ya kwao wakishamaliza kushoot wanaita uber wanaondoka,ila wasanii wa kubwa wa Africa wengi wana milikimagari mzuri .Jamaa yupo vizuri sana kwenye kichwa.....Vyombo vya habari vya kwetu vijifunze kitu hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mada za maana kama hizi hazina wachangiaji ila zile za kijinga Jinga utakuta comments hadi 600.Na bongo movie na wasanii wetu..nmefuraha aliposema wasanii wa Mbele wanashoot video kwenye magari mzuri ambayo kiuhalisia sio ya kwao wakishamaliza kushoot wanaita uber wanaondoka,ila wasanii wa kubwa wa Africa wengi wana milikimagari mzuri .
Aisee its lesson ...We have a long way kama atujabadili attitude zetu ..Akon is real ..tena hata African American wanatushangaa sana
Sent using Jamii Forums mobile app